Ukweli ni kwamba mkulima kijijini anaumia zaidi na Mfumuko wa Bei, tofauti na tunavyoaminishwa

Ukweli ni kwamba mkulima kijijini anaumia zaidi na Mfumuko wa Bei, tofauti na tunavyoaminishwa

Wewe ni mkulima?tuache sisi wakulima hasa wa mpunga tupate faida tufidie hasara tuliyoipata kwa zaidi ya miaka 7,kwa kuuza mazao yetu kwa hasara huku pembejeo zikiwa juu
 
Wewe FaizaFoxy unajua utamu wa hela lakini.

Mkulima hajawahi kufikiria Hilo Hata siku moja
Kwa hiyo unataka serikali iwe inaenda inawapigia magoti wakulima ili na kuwaomba wawe wanaweka akiba.

Ya kwamba mtu mzima huna akili ya kujua kuwa ukivuna unatakiwa kuweka akiba ya chakula kwa ajili ya familia yako ila unasubiri serikali ukukumbushe.
 
Wewe ni mkulima?tuache sisi wakulima hasa wa mpunga tupate faida tufidie hasara tuliyoipata kwa zaidi ya miaka 7,kwa kuuza mazao yetu kwa hasara huku pembejeo zikiwa juu
Hamna shida Si mmepata hela saivi, msimu ujao tutawakodishia hekali moja kwa laki 3, kila mtu afe na chake.

Matunda ya kupanda bei ya mazao na aridhi ya kuzalishia lazima iwe ghali pia. Usafiri pembe njeo na hata hela ya kulipa vibarua
 
Wewe ni mkulima?tuache sisi wakulima hasa wa mpunga tupate faida tufidie hasara tuliyoipata kwa zaidi ya miaka 7,kwa kuuza mazao yetu kwa hasara huku pembejeo zikiwa juu
Sijakushikilia lakini wewe ni mmoja wa madalali machawa wa matajiri.
Mlishawanyonya wakulima sasa msisingizie eti wakulima wanapata faida.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Rais mkwele alichagua baadhi ya mikoa kuwa ghara la chakula mikoa hiyo morogoro mbeya songwe songea sumbawnga wakulima walikuwa wakivuna serikali inanunua mahindi inaweka akiba.

Ikitokea njaa serikali inawazia kwa bei ilionunulia alipo kuja rasi mshezi akasema hakuna chakula cha bule asie fanya kazi asile akakimbilia kufunga mipaka huo ni ujinga.

Kilimo ni biashara kama zingine huwezi mzuiya mtu kuuza biashara yake atakako lamuhimu serikali iludishe mpango wa kununua mahindi mpunga.
Kumbe! Ndio hivyo
 
Wewe FaizaFoxy unajua utamu wa hela lakini.

Mkulima hajawahi kufikiria Hilo Hata siku moja
Hilo ni swali la kijinga sana, utamu wa oesa zikutumikie, sio uzitumikie.

Hapo kinachotakiwa ni elimu tu. Kuacha kuishi kwa mazowea waanze kulima kwa kujitakia maendeleo sio kuchumia tumbo tu.
 
Anatakiwa afikirie mbele kuweka akiba kwa ajili ya matumizi kwa familia.

Sasa hiyo pia serikaali inatakiwa imuekee sheria mkulima ya kubakisha chakula kwa ajili ya familia?
Ningumu mkuu wakulima wengi ni maskini wa kipato wengi wanauza mazao kabla ya kukomaa, wanauza mazao kabla ya kuvuna wanakuwa wameshachukua pesa siku ya kuvuna mazao yanakuwa siyo mazao yao tena.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mkulima mdogo,ambao ndio 95% ya wakulima nchini,ambaye anauza sasa kwa bei kubwa.
Wanaouza ni wachuuzi ambao hawajui hata mpunga unavumwaje shambani.
Wakulima walushauza kitambo kwa bei ya njaa kwa sababu hata maghala ya kutunzia vyakula hawana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kweli mkulima anauza mazao kabla ya kuvuna kwaiyo hawezi kujiwekea akiba

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Sijakushikilia lakini wewe ni mmoja wa madalali machawa wa matajiri.
Mlishawanyonya wakulima sasa msisingizie eti wakulima wanapata faida.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hivi nyinyi mbona mna akili za kipumbavu? wananyonywa kwani hao mnao waita madalali walienda kwa wakulima na bunduki na kuwarazimisha wawauzie hayo mazao yao kwa hiyo bei inayo itwa ndogo?

Alafu kingine huyo mfanya biashara yeye hana haki ya kupata faida kiasi kwamba yeye akienda akanunua kwa mkulima aje akuuzie bei unayo taka ww hata kama hailipi.

Mna mawazo ya kimasikini sana.
 
Ningumu mkuu wakulima wengi ni maskini wa kipato wengi wanauza mazao kabla ya kukomaa, wanauza mazao kabla ya kuvuna wanakuwa wameshachukua pesa siku ya kuvuna mazao yanakuwa siyo mazao yao tena.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Sasa hapo kosa la serikali liko wapi?
 
ACHA UMBE WEWE KIJIJINI USHAWAHI KUISHI??WENZAKO HUKU SISI TUNACHOMA VIAZI TUNAKUNYWA NA CHAI ISIYO NA SUKARI,TUNAKULA UGALI NA NYANYA ,USIPENDE KUSIKILIZA REDIO ZITAKUCHANGANYA AU HUJUI MDA MWINGINE PANYA WANAKULA WAYA UTASIKIA DIAMOND KAMUOMBA HARMONIZE APIGE PICHA NA KAJALA
 
Sasa hapo kosa la serikali liko wapi?
Ni kuwa ruhusu raia kutoka nchi jirani kwenda kununua chakula kwa madalali, Serikali ingeweka mkakati wa kujenga viwanda ili tuweze kuzalisha unga na kupaki nafaka kwenye vifunga shio, kuliko kuuza mazao kiolela, mfano Bakhressa akijenga viwanda vya kuzalisha unga, mchele, maharage hii itamsaidia mkulima kuuza bidhaa za shambani kwake moja kwa moja kiwandani kuliko kupitia kwa walanguzi .

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Wakulima huuza mpunga kwa madalali
Madalali huuzia madalali
Madalali huuzia madalali

Dalali wa mwisho anamuuzia mfanyabiashara anayemuuzia mfanyabiashara anayemuuzia mtumiaji wa mwisho
 
Ningumu mkuu wakulima wengi ni maskini wa kipato wengi wanauza mazao kabla ya kukomaa, wanauza mazao kabla ya kuvuna wanakuwa wameshachukua pesa siku ya kuvuna mazao yanakuwa siyo mazao yao tena.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kwa asilimia kubwa huwa ni mipangilio isiyo mizuri ya familia. Lazima watu wajitahidi kuweka akiba ya chakula. Niliwahi kuishi Mwanza na kuliona hili, mkulima anavuna mazao mengi na kipindi cha mavuno ndiyo ngoma huwa zimeshamiri (sijui inaitwa gobogobo?). Pale chakula ndiyo kinapotea kwa wingi bila ya kujua kuwa kesho kutwa kitahitajika kwa ajili ya familia.
 
Ni kuwa ruhusu raia kutoka nchi jirani kwenda kununua chakula kwa madalali, Serikali ingeweka mkakati wa kujenga viwanda ili tuweze kuzalisha unga na kupaki nafaka kwenye vifunga shio, kuliko kuuza mazao kiolela, mfano Bakhressa akijenga viwanda vya kuzalisha unga, mchele, maharage hii itamsaidia mkulima kuuza bidhaa za shambani kwake moja kwa moja kiwandani kuliko kupitia kwa walanguzi .

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hivi duniani kuna biashara isiyo kuwa dalali?
Inaonekana ww ni mweupe kwenye biashara bidhaa yeyote ile mpaka inafika kwa mtumiaji huwa imepitia kwenye cheni ndefu.
Hata wakifanya hivyo unavyo sema ww bado hao unao waita madalali hawa epukiki maana sio kila mtu ataweza kusafirisha mazao yake kupeleka kiwandani.

Alafu kingine biashara ya mazao sio kama biashara ya simu au gari ya kwamba yana kuwa na bei moja miaka yote.

Bei ya mazao huwa haitulii kwenye bei moja kwa sababu bei ya mazao huamuliwa na musimu husika ina maana msimu ukiwa na mazao mengi basi bei ya mazao hushuka na msimu ukiwa na mazao ukiwa na mazao machache bei ya mazao upanda.
 
Ila waafrika huna ni watu tunao penda kudekezwa kama watoto.

Kwani hao wakulima huwa wanashikiwa bunduki kuuza hayo mazao yao kwa bei ndogo?

Je, hao wakulima ni watoto wadogo mpaka washinde kuweka akiba ya chakula mpaka wanauza chote?

Yaani mtu umeowa una mke na watoto unashindwa kujua kuwa ukivuna unatakiwa kuweka akiba ya chakula kwa ajili ya familia yako mpaka ukumbushwe na serikali? Mbona kuoa na kuzaa watoto haukiusubili serikali ukukumbushe?

Je, wafanya biashara unao waita madalali wao hawana haki ya kupata faida?
Hawa ndio ''wanyonge" wanaotaka serikali iwasaidie Hadi jinsi ya kufikiri
 
Back
Top Bottom