Ukweli ni kwamba mkulima kijijini anaumia zaidi na Mfumuko wa Bei, tofauti na tunavyoaminishwa

Vijana hawawezi kuvutiwa na umasikini

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Serikali kila mwaka inawachukua viijana zaidi ya elfu kumi kuwapeleka kuwalimisha mashamba uko jkt kwa zaidi ya miaka miwili je umeshawai kuona jkt wakiwa matajiri ? Au vijana wanao maliza jkt wakirudi uraiani wanaenda kujitegemea kwa kilimo? Vijana wanao maliza kulimishwa kama misukule kule jkt wote hakuna anayekubali kurudi kwenye kilimo, Bora wanao waende kuomba kazi ya ulinzi walipwe mshahara laki na nusu kuliko kwenda shamba kulima ata mboga mboga,na walipo kuwa uko utumwani jkt walikuwa wanalimishwa wangeona faida ya kilimo kupitia kilimo uko jkt.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Inafikirisha sana, mkulima anauza magunia ya mahindi apate pesa ya sukari na sabuni n.k halafu anakwenda kununua kilo moja ya sembe.
Mleta mada, the burning spear, yuko sahihi. Ni kwamba hakuna mkulima anayelima kila kitu hivyo hakuna anayejitosheleza kwa kila aina ya chakula. Atauza kwa mfano mahindi akanunue mahitaji na vyakula vingine ambavyo bei iko juu mara dufu!
 
Unataka kusema Miaka yote zaidi ya 70 Chakula kilikuwa hakitoki nje Tanzania.

Unataka kusema Miaka yote tumenunua mchele 1500 per kg mipaka ilikuwa imefungwa.

Tusijifiche nyuma ya serikali dhaifu amabayo haiwezi kudhibiti Mambo
 
Watu hawajui haya wanakimbikia kusema mkulima anafaidi.

Hakuna mkulima anayelima Kila kitu mengine Lazima anunue
 
Hyo bei ya 100,000+ kwa gunia la mpunga iliwatosha kabisa na wameweza kufanya mambo makubwa tu

Sio kama kipindi cha Magufuri gunia la mpunga waliuza 50,000+
Mahindi yalioza kwa kukosa soko huko mbeya
 
Hyo bei ya 100,000+ kwa gunia la mpunga iliwatosha kabisa na wameweza kufanya mambo makubwa tu

Sio kama kipindi cha Magufuri gunia la mpunga waliuza 50,000+
Mahindi yalioza kwa kukosa soko huko mbeya
Hakuna siku mahindi yatakuja kukosa soko labda wafanyabiashara waache biashara ya mahindi na waafrika tuache kula, Serikali imeingia mkataba na Shirika la wakimbizi dunia kuwauzia mahindi kwaiyo mahindi haya kukosa soko sema vyakula vilikuwa bei chini wananchi tulikuwa tuna uhakika wa kula chakula cha m
Kutosha.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Msikariri maisha na msidhani mkulima ndio wa kutafutia pointi za kisiasa
 
Dear members nawataarifu kuwa tuko wakulima ambao tumenufaika na bei hiz,binafsi Leo nmeuza gunia 100 za mpunga debe 7 kwa 170,000 namshukuru raid na waziri wa kilimo kwa msimamo wao.Hiiimenipa morale nmeongeza eneo LA kulima mpunga na mahindi nmelima mwaka huu.mahindi ntayawekea mbolea as nmepata mtaji kutoka kwenye mpunga.Kwa ujumla safari ya maendeleo ni step by step I hope mwakni wakulima zaidi watanufaika.bei zikiendelea hivi tutapata maendeleo tuvumilieni kidogo na sisi tunufaike.By the way huku sumbawanga ni mvua ndo kikwazo ila mahindi yameshakomaa likiwaka wiki Moja mahindi mapya yanatoka.
 
Msimu wa Mavuno Bado haujanza rasmi , mvua mwaka huu zilichelewa kuanza kunyesha kidogo, Mahindi Bado hayajakauka masjambani maeneo mengi wanategemea kuanza kuvuna may katika Maeneo ya Songwe -Tunduma, KITETO Bado hawajanza wanaovuna Mahindi wanakutana na changamoto ya Mvua, mfano. Nimevuna kidogo ila changamoto ya kuanika juani huku mvua,
 

Attachments

  • VID_20230429_131635.mp4
    3.9 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…