Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

Ndugu yangu ungemuacha tu na bikra yake manake from the beginning ulishajua she is not ur type, ila tatizo la wanaume hata akiona humfai atataka akulale kwanza ndo afanye maamuzi, umemkosea sana sana. But usijilazimishe kumuoa kisa umemtoa bikra it will get worse humo ndoani mana mwanaume hukaa na kutulia alipopenda sio alipopendwa na mkipenda mmependa na msipopenda hamjapenda sio kama sisi wanawake, ukijilazimisha huyo dada hakuna rangi ataacha ona humo ndani. Na kingine sio kama hizo relationship ndo zimemfanya awe hivyo, hicho anachopitia ni athari ya mustabation hajataka tu kukwambia ukweli, it seems ana fanya mustabation kiasi kwamba amepoteza hisia na mwanaume.
sahihi kabisa hapo mwishoni(musterbate)
 
Unaoa kwa lengo lipi Ili tukushauri la ngono,mlinzi wa nyumba, business partner,mpishi,mlezi wa watoto,heshima,sifa nk.
Kila mwanamke qnafiti eneo maalumu.
Mfano anaweza kuwa mzuri sana kwenye ngono lakini heshima na adabu hana,mpishi mzuri lakini mtapanyi WA Mali,mlinzi wa nyumba lakini si mkarimu
Naoa nipate utulivu na amani ya moyo.Naona siwezi kuvipata kwa huyu sababu sina hisia nae kabisa
 
Ndugu yangu ungemuacha tu na bikra yake manake from the beginning ulishajua she is not ur type, ila tatizo la wanaume hata akiona humfai atataka akulale kwanza ndo afanye maamuzi, umemkosea sana sana. But usijilazimishe kumuoa kisa umemtoa bikra it will get worse humo ndoani mana mwanaume hukaa na kutulia alipopenda sio alipopendwa na mkipenda mmependa na msipopenda hamjapenda sio kama sisi wanawake, ukijilazimisha huyo dada hakuna rangi ataacha ona humo ndani. Na kingine sio kama hizo relationship ndo zimemfanya awe hivyo, hicho anachopitia ni athari ya mustabation hajataka tu kukwambia ukweli, it seems ana fanya mustabation kiasi kwamba amepoteza hisia na mwanaume.
Ahsante sana
 
Watoto wa kiume tena wa Da Slam.
Haya,mbege,chips mayai, unachoka sana. Sasa kama uwezo huo huna,unataka nini tena? Na wewe inaonekana mfuko wa nguvu zako ulishatoa ukalia ugali,mayai ukakaangia chips.
Kajiunge CHAPUTA, acha kuhangaika na wanawake huwawezi.
 
Mkuu,Kwa Mtazamo wangu,Kama shida yako ni kuoa na kuanzisha familia meaning watoto hata huyo OA.Kama lengo lako ni kutafuta soulmate wako mnayeshibana basi MY FRIEND ulizingua na umezingua.Ushauri wangu kama shida ni hiyo effect ya masturbation ambayo ndio inayomsumbua huyo binti basi ni kukaa na kuzungumza maan huyo hakuwa anasuguliwa na ME,it either alikuwa anasagana na KE wenzake au self PLEASURE.So cha muhimu ni kujua Kama unaweza kupata aliye BORA zaidi yake ama LA.

Maana Unapotafuta BIKRA wakati wewe ni Mzoefu hayo ndio unayokutana nayo.All in All Kama unaweza sogeza muda kidogo ila Mpate muda wa Kuweka Chemistry yenu SAWA basi Take time and see her as a woman,a mother and a friend.Mkiweza kujenga Hayo Ndio ya Msingi.Great SEX Utaipata POPOTE ila RESPECT,LOVE and FRIENDSHIP Haipatikani KIrahisi na ndicho TUNACHOHITAJI KWENYE NDOA.
 
Ndugu yangu ungemuacha tu na bikra yake manake from the beginning ulishajua she is not ur type, ila tatizo la wanaume hata akiona humfai atataka akulale kwanza ndo afanye maamuzi, umemkosea sana sana. But usijilazimishe kumuoa kisa umemtoa bikra it will get worse humo ndoani mana mwanaume hukaa na kutulia alipopenda sio alipopendwa na mkipenda mmependa na msipopenda hamjapenda sio kama sisi wanawake, ukijilazimisha huyo dada hakuna rangi ataacha ona humo ndani. Na kingine sio kama hizo relationship ndo zimemfanya awe hivyo, hicho anachopitia ni athari ya mustabation hajataka tu kukwambia ukweli, it seems ana fanya mustabation kiasi kwamba amepoteza hisia na mwanaume.
Ni kweli huyo demu alikuwa anapiga puchu, wanaume wamle kwa kumsugua kisimi na bikra wanaiona, thubutu, wangemtoa hiyo bikra yote.
 
Back
Top Bottom