Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

Unaoa kwa lengo lipi Ili tukushauri la ngono,mlinzi wa nyumba, business partner,mpishi,mlezi wa watoto,heshima,sifa nk.
Kila mwanamke qnafiti eneo maalumu.
Mfano anaweza kuwa mzuri sana kwenye ngono lakini heshima na adabu hana,mpishi mzuri lakini mtapanyi WA Mali,mlinzi wa nyumba lakini si mkarimu
Uzi ufungwe.

Huyu mpuuzi anataka mwanamke awe na kila kitu.
 
Mimi Kwa akili zangu timamu nashauri Bwaga....kuishi na Mtu huna hisia nae ni zaidi ya jela,sawa umemmtoa bikra,so what?98percent watu wameolewa bila bikra....Shit happens
 
Naww umeamin kabisa kwamba hao waliokutangulia hawajaingiza dushee!! Shame
 
We nae punguza makali ya maneno si useme ki beans au beanslet🤣🤣🤣?aaah Missy Gf mchukue shoga yako
🤣🤣🤣🤣 Sis haya napunguza.!!
Huyo jamaa anazingua ujue, hataki kumpa mwenzie burudani..!! Ss kitu kidogo km iko anakuja kusema huku, akiambiwa aingie uvinza si ndo atatuletea malalamiko mazito zaidi.?
 
🤣🤣🤣🤣 Sis haya napunguza.!!
Huyo jamaa anazingua ujue, hataki kumpa mwenzie burudani..!! Ss kitu kidogo km iko anakuja kusema huku, akiambiwa aingie uvinza si ndo atatuletea malalamiko mazito zaidi.?
Hajui kabisa umuhimu wa kibeans eti anachoka,basi atafute aliyekeketwa...
 
Back
Top Bottom