Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Maluku
 
mjadala umefungwa rasmi hapa...sina la kuongeza
 
mwanangu akijakuwa na akili kama hii namkataa
 
Kwa utafiti wangu tu nimegundua wakanaan hawapo tena
Wafilisti hawapo tena
Waliopo pale ni waarabu wa kiislamu waliovamia tu
Warudi kwao wawaachie wayahudi eneo lao
Ww unawafahamu wakanaan na wafilisti walikuwa na sura gani na rangi gani? Je una hakika gani kuwa waliopo pale ndio wale wa Israel wa kale na sio wazungu ws ulaya?
 
Kwa mfano tukitumia vitabu vya kuaminika kama biblia ardhi ya wapalestina itakua eneo gani?
Bado hainiingii akilini
 
Nilijua wewe ni tapeli tu uliposema ni mkristo.
 
Uko yalipewa makabila mengine ya israel, ila kwa hapo israel kabila la Yuda lilipewa hilo eneo
 
Najua wapo sana ulishasikia wakiipinga Israel ni kwasababu wanaelewa wao huishi kwa amani kabisa bila vurugu
 
Israel
Hao waarabu wangebaki huko kwao tu
Mfano hapa kwetu tanzania wenyeji hasa walikuwa mbilikimo wenyewe tu wakaona hawawezi kujichanganya na watu wa Jamii zingine wakasepa sehemu nyingine
 
We tatizo lako unaikurupukia Biblia
Biblia inasema Mungu alimwambia abraham hivi nitalithibitisha agano langu nawe, wazawa wako na vizazi vyao vyote milele
Tena nitakuwa Mungu wako na Mungu wa wazawa wako milele
Nitakupa wewe na wazawa wako nchi hii ambapo unaishi kama mgeni, yaani nchi yote ya kanaan iwe Mali yenu milele nami nitakuwa Mungu wao
Mwanzo 17/7-8
 
Wote ni wakuja pale, wageni tu wote!
Hamna original that’s all
 
Hiyo ni ahadi ya nchi yetu Tanzania, that’s all!
 
Sikulaumu ni uelewa wako umefikia hapo
 
Nilijua wewe ni tapeli tu uliposema ni mkristo.
Ni vizuri tupende kujibu hoja kuliko kushambuliana kwa matusi..... Nmeuliza kama wapalestina na waisrael wote ni watoto wa abraham je ni kwanni mtoa mada anadai hyo nchi ni ya waisrael pekee ilihali alipewa Abraham ambaye hakuwa Musiraeli??

2. Kibiblia ardhi waliyopewa israel mbona kuna maeneo wanaishi ambayo hayapo kwenye ramani ya kibiblia ya nchi ya ahadi?? Kwanni wasiishi ndani ya mipaka ile ya kibiblia??

3. Kibiblia nchi ya ahadi inaanzia mto nile hadi huko Iraq je ni kwanni waisrael wasiende huko wadai hyo ardhi ila wamekazana kuwapora palestina nchi yao??

4. Kibiblia wakristo wote ni warithi wa AHADI ZOTE ZA ABRAHAM ambayo moja yao ni NCHI YA AHADI sasa kwanni bado mnalazimisha nchi ile ni ya wayahudi tu wakati biblia ilishasema wakristo wote tumekuwa taifa teule na warithi wa abraham kama wanawe why bado mnaitenga israel kama ina baraka za kitofauti kiasi wana entitlements kwa ardhi ya palestina.....unaweza ukanipa mstari wa biblia baada ya wagalatia inaohalalisha hilo??

Mimi tapeli zitto junior nasubiri majibu
 
Wakanaan na walerisi sasa hivi wanaishi wapi?
Wakanaan hawapo
Waperisi hawapo
Wapalestina halisi hawapo
Waliopo eneo hilo ni wavamizi wa kiislamu wa kiarabu wanaojiita wapalestina wakati sio wapalestina halisi
Mi nawashauri warudi kwao la sivyo watakufa wote au wakubali masharti ya Wenye ardhi israel
 

Mwanzo 15:18
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,

Huu ndio mstari niliokuambia usome na ndio oroginal mpaka wa nchi ya ahadi ila sijasikia wayahudi wakidai misri ama syria na iraq ila wanadai palestina pekee je unaweza nisaidia ni kwanni wanafanya hivo alafu nyie bado mnatoka mapovu humu kuwatetea..... Why palestina sio misri iraq na syria???

Nasubiri majibu
 
Hebu waza kama great thinker,wewe kwenu wapi? je urudishwe kwenu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…