Ukweli ni kwamba Zanzibar kuna wachezaji wengi wenye vipaji

Ukweli ni kwamba Zanzibar kuna wachezaji wengi wenye vipaji

Yule beki wa kulia mlandege mzuri sana itapendeza kama atakuja kuchukua nafasi ya Paul godfrey.
 
hakuna mtu sierious anaweza kufanya uwekezaji sehemu ambayo haiwezi kumlipa. Mpira wa sasa ni Biashara, Kwa mazingira ya Zanzibar yalivyo ni ngumu kulipa kibiashara
Ni sahihi....
Pia unaweza ukanisaidia, why team hata moja haijafuzu Nusu, wakati wanavipaji lukuki.
 
Ukiangalia mashindano ya mapinduzi yanayoendelea,nimebaini wachezaji wengi wa Visiwani Wana vipaji.

Mechi za KMKM na Mlandege zina vijana wadogo lakini wako aggressive Sana. Kiukweli Zanzibar kungekuwa na udhamini kama Bara, timu zao zingekuwa mbali sana.

Akina Yanga na Simba huko Bara ni kubebwa tu ndio washinde. sasa Waamuzi wa Kombe la mapinduzi wamekataa huo upuuzi.

Hongera Sana watu wa Zanzibar.
Kipaji BILA nguvu Ni kazi bure. Nani atakuhitaji.

Tz Kuna vipaji vingi lkn kwenye nguvu tumefeli. Na itatugharimu sana.
 
Huna akili timamu? Mbona unajichanganya,Kwanza Zanzibar ni Nchi ndogo yenye hadhi ya Mkoa 😂😂😂 ,kuna Nchi yenye hadhi ya Mkoa?.

Kama kitu kidogo hichi unashindwa
kuelewa ndio akili ya maendeleo itatoka wapi?

Kwanza Bara inawachelewesha Sana Wazanzibar,imagine akili kama zako afu unawazaukabila.
Mkuu samahani kama nimekukera.

Hadhi niliyokusudia ni ile ya ukubwa na sio vinginevyo.

Kiukweli ukichukua mkoa kama lindi ukilinganisha na zanzibar basi zanzibar bado ni kasehemu kadogo sana ukilinganisha na mkoa wa lindi

Hivyo zanzibar na lindi kihadhi ya ukubwa bado lindi ina hadhi kubwa sana.
Hivyo nchi ya zanzibar ina hadhi ya chini sana kwa ukubwa kuliko mkoa wa lindi.

Lakini pia hata kwa uwingi wa watu,mkoa wa dar una watu wengi sana kuliko zanzibar hivyo kihadhi ya idadi ya watu bado zanzibar ina watu wachache mno kulinganisha na dar,hivyo nchi ya zanzibar ina hadhi ya chini kwa idadi ya watu kuliko mkoa wa dar.

Kwa hivyo sijaona kwa nini unune ndugu yangu
 
Mkuu samahani kama nimekukera.

Hadhi niliyokusudia ni ile ya ukubwa na sio vinginevyo.

Kiukweli ukichukua mkoa kama lindi ukilinganisha na zanzibar basi zanzibar bado ni kasehemu kadogo sana ukilinganisha na mkoa wa lindi

Hivyo zanzibar na lindi kihadhi ya ukubwa bado lindi ina hadhi kubwa sana.
Hivyo nchi ya zanzibar ina hadhi ya chini sana kwa ukubwa kuliko mkoa wa lindi.

Lakini pia hata kwa uwingi wa watu,mkoa wa dar una watu wengi sana kuliko zanzibar hivyo kihadhi ya idadi ya watu bado zanzibar ina watu wachache mno kulinganisha na dar,hivyo nchi ya zanzibar ina hadhi ya chini kwa idadi ya watu kuliko mkoa wa dar.

Kwa hivyo sijaona kwa nini unune ndugu yangu
Ukubwa wa maeneo ndio ukubwa wa kiserikali?
 
Hiyo aggressiveness ipo siku zote au ni zile bangi wanazovuta wakikutana na Simba?
Ukiangalia mashindano ya mapinduzi yanayoendelea,nimebaini wachezaji wengi wa Visiwani Wana vipaji.

Mechi za KMKM na Mlandege zina vijana wadogo lakini wako aggressive Sana. Kiukweli Zanzibar kungekuwa na udhamini kama Bara, timu zao zingekuwa mbali sana.

Akina Yanga na Simba huko Bara ni kubebwa tu ndio washinde. sasa Waamuzi wa Kombe la mapinduzi wamekataa huo upuuzi.

Hongera Sana watu wa Zanzibar.
 
Uongo huu, timu zote 4 ambazo zimeingia nusu fainali zinatoka bara, hivyo vipaji huo Zanzibar vilikuwa wapi muda huo?
 
Ni sahihi....
Pia unaweza ukanisaidia, why team hata moja haijafuzu Nusu, wakati wanavipaji lukuki.

Football ni zaidi vipaji. Kama kipaji kitupu kingelikua kinatosheleza Brazil wangekua wanabeba makombo kila siku. Kipaji bila ya kuwa na nidhamu, physical fitness, Right mentality ni bure tu.
 
Back
Top Bottom