rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,020
- 3,309
Panya road weng chimbuko lake n uko.Sijui ni kwa nini sijawahi kuvutiwa kuishi maeneo ya Kusini ya jiji la Dar kama huko Mtoni, Mbagala, Chanika, Tabata, Lumo, Mtoni, Temeke, G/Mboto n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Panya road weng chimbuko lake n uko.Sijui ni kwa nini sijawahi kuvutiwa kuishi maeneo ya Kusini ya jiji la Dar kama huko Mtoni, Mbagala, Chanika, Tabata, Lumo, Mtoni, Temeke, G/Mboto n.k
Imagine mtu anauza nyumba kigogo afu anakwenda kununua maeneo hayo. Hapo si itakuwa ni sawa na mtu anaeruka mkojo na kwenda kukanyaga kinyesi.Kweli mkuu. Yale maeneo yamekaa kushoto sana asee.
Ukiacha suala la makazi pia lifestyle ya wengi maeneo hayo ni za kiswahili
Sure, kuna yule mmoja wa viongozi wa kundi la panya road aliyeuawa Kawe anatokea MbagalaPanya road weng chimbuko lake n uko.
🤣🤣🤣Imagine mtu anauza nyumba kigogo afu anakwenda kununua maeneo hayo. Hapo si itakuwa ni sawa na mtu anaeruka mkojo na kwenda kukanyaga kinyesi.
huko kuna kit luxury kuliko unapopapenda, ardhi ya usikokupenda chini ukichimba kisima, kuna maji safii. Waliokuwa na mashamba kuelekea Mkuranga wanafaidi. Ukichimba. Je huko ukupendako swala la maji si mpaka ukapige Magoti Dawasso! Na mvua iwepo!1Sijui ni kwa nini sijawahi kuvutiwa kuishi maeneo ya Kusini ya jiji la Dar kama huko Mtoni, Mbagala, Chanika, Tabata, Lumo, Mtoni, Temeke, G/Mboto n.k
Hii ni lugha gani mkuu? Huelewekihuko kuna kit luxury kuliko uapopapnda, sailings kinda chini Luna Mani sari. Waliokuwa MA mashamba kuelekea Mkuranga wanafaidi. Ukichimba Kiana no Mani safi, Maui no Issi. Je huko ukupendapo swala la maji so moans ukapige Makoti Dawasso!
typing error, kasimu ka kuazima. Ngoja nikaedit post🤔Hii ni lugha gani mkuu? Hueleweki
😂😂😂huko kuna kit luxury kuliko uapopapnda, sailings kinda chini Luna Mani sari. Waliokuwa MA mashamba kuelekea Mkuranga wanafaidi. Ukichimba Kiana no Mani safi, Maui no Issi. Je huko ukupendapo swala la maji so moans ukapige Makoti Dawasso!
Makorokocho aseeHata na mimi nimeshindwa kuelewa alichoandika mkuu.
Umewahi kufika Kijichi kule? Mimi sizungumzii maeneo ya Mbagala na hayo mengine. Kijichi ni ultra low density area (kiwanja 3000 sq meters) na lami za DMDP zimepita kila konaHuko ni uswahilini, hauwezi kuta mtu mwenye heshima zake anapigania kwenda kuishi kweny maeneo hayo.
Kijichi hapana kushoto sanaUmewahi kufika Kijichi kule? Mimi sizungumzii maeneo ya Mbagala na hayo mengine. Kijichi ni ultra low density area (kiwanja 3000 sq meters) na lami za DMDP zimepita kila kona
Jamaa kamaliza kila kitu salasala nmetoka jana tu mm sijaona kipya ambacho mivumoni na madale hakipo eg mivumoni pita bravery hill street, hope kwa zulu sasaa plus huku uswahili upo kidogo sio km salasalaSalasala hasa Kilima hewa kuko vizuri mijengo ya maana. Mfano mitaa ya Kwa Aziz road, mtaa wa magorofani, Seronga street kumetulia sana.
Tatizo la Salasala kuna baadhi ya maeneo ni uswahilini. Unakuta baadhi ya maeneo nyumba ni kali halafu ghafla unakuta kauswahili kanaanza
Madale kwenye zile Estates kule ni balaa watu wamejenga asee. Patendeza zaidi zile barabara zikipigwa rami.
Mivumoni kupo poa pia kuna maeneo kuna baadhi ya mitaa ya ushuani kama kule panaitwa kwa Makamba sio poa. Ila maeneo mingine mchanganyiko. Ila hali ya hewa ni nzuri.
Nasikitika kuona hawajaitaja MbweniKwema ndugu, leo nikiwa maeneo fulan nilikutana na ubishi. Ubishi huo ulitokana na baadhi ya vijana wanaoishi katika kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam.
Vijana hawa walikuwa wanabishana kuhusu maeneo fulani yanayopatikana katika kata hiyo ya Wazo ambapo wapo waliodai kwamba katika kata zote za Wazo Salasala ndio mtaa unaoongoza kwa kuwa na watu wenye hadhi au waliowahi kuwa na hadi serikalini, pia wakadai kwamba Salasala ndio inayoongoza kuwa na majumba makubwa, mazuri na ya kisasa, pia inaongoza kwa hali ya hewa nzuri na maeneo bomba ya kutulia na kupanga mikakati ya kimaisha, pia eti Salasala imechangamka hata kibiashara ukilinganisha na maeneo mengine nk.
Ghafla wakadakia wengine ambao walidai kwamba Mivumoni ndio kwenye hizo sifa zilizotajwa hapo juu,
huku mungine akisema kuwa Madale ndio moto wa kuotea mbali,
mara wengine waseme Kisanga, mara wengine eti Kilima hewa, wengine Kilima hewa juu, wengine wazo kwenyewe.
Sasa wakuu kwa wale wenyeji na wazoefu wa maeneo hayo naomba mnipe majibu ili nikirudi tena kule nikikutana na ubishi wa aina hiyo nimalize ubishi kwa kutumia fact nitazopata humu.
Kati ya maeneo hayo tajwa ni wapi pa kishua na palipochangamka zaidi kibiashara na kimaendeleo.
Karibuni tuchangie kistaarabu wakuu.
Ya maeneo hayo kwa namna fulan yapo vizuri, sina ubishi kwa hilo mkuu.Umewahi kufika Kijichi kule? Mimi sizungumzii maeneo ya Mbagala na hayo mengine. Kijichi ni ultra low density area (kiwanja 3000 sq meters) na lami za DMDP zimepita kila kona