Hey hey. Hakuna free lunch. Misaada ilikuwa direct proportional na invenstment ya nchi inayokusaidia.
Baada ya kutaifisha invenstments zao, ulitaka watusaidie?
Na nani aliwapa ruksa ya kuchukua mashamba kwa nguvu? Nani aliwapa ruksa ya kuiba mali zetu asili? Kweni tuliwaomba waje kututawala?
Sio watusaidie bali warudishe pesa walizoiba wakati wa ukoloni!
Nakuunga mkono ndugu yangu, mfano mzuri ni huo hapo chini toka ktk article flani hivi.......... hiyo ni pick ya paragraph mbili tu ambazo zina dissect Tanzania, ukweli ni kwamba li-ujamaa la Nyerere ndio limeua "timu". James Carville angesema' "it's ujamaa stupid."!!!! Well, mtu anaweza ku-spin atakavyo...............
In fact, ujamaa villages were generally failures as satisfactory human communities and, above all, as units of production. What the high-modernist planners of the Tanzanian state failed to realize was that the prior dispersion and movement of the population was a finely-tuned and long-practiced response to a very stingy semi-arid environment. Similarly, the complex forms of poly-cropping they practiced were generally quite productive and ecologically sound, despite having been judged, partly on aesthetic grounds, to be "backward" by agricultural planners. The mono-cropping mandated in its place typically failed. As the failures of the ujamaa became more manifest and the fiscal capacity of the regime to subsidize them weakened, communal production was abandoned and many of the villages broke up altogether. Where the new villages persisted it was due more to the improvisational skills and kinship networks of those resettled than to the logic of the planners' design.
Like the Soviet state, the Tanzanian state had replaced an independent, migratory, and illegible rural population with a regimented, fixed peasantry. In the process it damaged, if not destroyed, a preexisting human capital of working knowledge and social connective tissue. By making an abstraction of the peasant farmer and insisting on a vastly simplified, mono-cropping regimen, its own scheme proved a recipe for failure.
There u go!!!!.
Nimesema hapo juu kuwa siupendi ujamaa na pia simpendi Nyerere. Ila kama tutafanya mada ya kujadili historia kuwa nafasi ya kuponda na kubeza viongozi waliopita (wote Nyerere na Kambona kama inavyofanywa hapa), wote mwisho wa siku tunaonekana kuwa tu na utoto kama wa huyo mwafrika wa kike na pumba zake.
Na nani aliwapa ruksa ya kuchukua mashamba kwa nguvu? Nani aliwapa ruksa ya kuiba mali zetu asili? Kweni tuliwaomba waje kututawala?
Sio watusaidie bali warudishe pesa walizoiba wakati wa ukoloni!
Mkuu MMJ,
Heshima mbele mkuu, haya matatizo uliyoyasema mkuu huoni kuwa ya;likuwa ni kujitakia kuliko ya natural?
Mkuu MWK,
Nimeskusikia mkuu, ila it is nice for once wewe na Mkuu MMJ, kuwa kwenye defense, I am enjoying it, ingawa in the process ninajifunza cha kumtetea Mwalimu mbele ya foregners, unajua hii ni sisi kwa sisi tu yaani nigger kuita nigger mwenziwe nigger, lakini sio mzungu, Na mimi pia mkuu siwezi mponda Mwalimu, mbele wageni au nikakubali akapondwa na wageni wasiokuwa wabongo, atakufa mtu ndio maana ninasema tunachota arguments hapa,
Ila Respect kwenu wote mnaoshiriki kwamba finally, inatolewa elimu na that is all tunachoomba!
Nakuunga mkono ndugu yangu, mfano mzuri ni huo hapo chini toka ktk article flani hivi.......... hiyo ni pick ya paragraph mbili tu ambazo zina dissect Tanzania, ukweli ni kwamba li-ujamaa la Nyerere ndio limeua "timu". James Carville angesema' "it's ujamaa stupid."!!!! Well, mtu anaweza ku-spin atakavyo...............
In fact, ujamaa villages were generally failures as satisfactory human communities and, above all, as units of production. What the high-modernist planners of the Tanzanian state failed to realize was that the prior dispersion and movement of the population was a finely-tuned and long-practiced response to a very stingy semi-arid environment. Similarly, the complex forms of poly-cropping they practiced were generally quite productive and ecologically sound, despite having been judged, partly on aesthetic grounds, to be "backward" by agricultural planners. The mono-cropping mandated in its place typically failed. As the failures of the ujamaa became more manifest and the fiscal capacity of the regime to subsidize them weakened, communal production was abandoned and many of the villages broke up altogether. Where the new villages persisted it was due more to the improvisational skills and kinship networks of those resettled than to the logic of the planners' design.
Like the Soviet state, the Tanzanian state had replaced an independent, migratory, and illegible rural population with a regimented, fixed peasantry. In the process it damaged, if not destroyed, a preexisting human capital of working knowledge and social connective tissue. By making an abstraction of the peasant farmer and insisting on a vastly simplified, mono-cropping regimen, its own scheme proved a recipe for failure.
There u go!!!!.
Thanks FMES,
hiyo conclusion ndiyo ukweli wenyewe (maneno yako kwenye red).
Matatizo yetu yote ni kwa sababu ya huyu dikiteta Nyerere. Taratibu tu kila kitu kumhusu yeye itabidi kifutwe ili taifa lianze upya bila Nyerere wala wafuasi wake.
Rest in Peace our hero Kambona.
Burn in Hell the dictator Nyerere.
Mimi napendekeza uwanja wa michezo wa Kambarage shinyanga ubadilishwe jina kuitwa Yasin Memba na ndugu yake kwa vile waliteka ndege ili kumtoa dikiteta Nyerere madarakani
Inabidi pia mtoto wa Nyerere Makongoro avuliwe uenyekiti wa ccm huko musoma ili apewe binti wa Kambona.
Unajua hawa madikiteta inabidi kuwaadhibu hadi watoto wao kama Nigeria wanavyofanya kwa familia za madikiteta.
Yaani hapa FMES umekamilisha kila kitu.
Akaimbiisha wanafunzi nchi nzima kuimba nyimbo za kumsifia (talk about Nyerere kuwa all over the country).
Yaani huyu dictator baada ya kutupa watu huko mafia, akaanza kuiba madini na pesa zote za nchi na kuziweka kwenye mabenki ya nje.
This guy, inabidi kwanza mwili wake ufukuliwe pale ulipozikwa kisha awekwe huko kisiwani mafia ili asikie uchungu wa kuweka mamilioni ya watanzania huko mafia!
grrrrrrrrr
Yaani hapa FMES umekamilisha kila kitu.
Akaimbiisha wanafunzi nchi nzima kuimba nyimbo za kumsifia (talk about Nyerere kuwa all over the country).
Yaani huyu dictator baada ya kutupa watu huko mafia, akaanza kuiba madini na pesa zote za nchi na kuziweka kwenye mabenki ya nje.
This guy, inabidi kwanza mwili wake ufukuliwe pale ulipozikwa kisha awekwe huko kisiwani mafia ili asikie uchungu wa kuweka mamilioni ya watanzania huko mafia!
grrrrrrrrr
Mkuu Kafara,
Tanzania ya leo inaonekana hakuna kitu kitafanyika kama Dikiteta Nyerere ataendelea kuenziwa. Mkulu FMES amekumbusha kuwa kitendo cha Nyerere kuwaamulia watanzania cha kufanya miaka yote hii ndio kimesababisha viongozi leo wanasaini mkataba kama Buzwagi.
Inabidi huyu Nyerere awe -exposed na aadhibiwe au ikiwezekana afutwe kwenye historia kwa vile inaonekana kuwa as longer as this guy yupo kwenye historia ya Tanzania hakuna chochote kile kitakachofanyika! nchi itaendelea kuwa mbovu na masikini.
Mwelekeo wa hii thread ndio dawa ya matatizo ya Tanzania. Futa anything about this Dictator Nyerere ili watu waanze upya. Kisha badili historia ya Tanzania ili watu tuliozaliwa miaka mingi baada ya shujaa Kambona kwenda uhamishoni tumuenzi vilivyo.
Mkuu Icadon,
Imeshaonekana kuwa Nyerere ndiye anakwamisha maendeleo ya Tanzania leo hii. Hii thread ilianza kwa nia ya kumuenzi shujaa Kambona lakini ikachukua very strong turn kuwa anti-Nyerere (it should be).
1. Inaonekana bila kufuta historia ya Nyerere, Tanzania haiwezi kusaini mikataba bora ya madini leo.
2. Inaonekana bila kufuta historia ya Nyerere, Kikwete hawezi kuondoa mafisadi kwenye baraza lake la mawaziri.
3. Inaonekana bila kufuta historia ya Nyerere, wizi BOT hauwezi kuisha.
4. Inaonekana bila kufuta historia ya Nyerere, miundo mbinu Tanzania haiwezi kujengwa.
5. Inaonekana bila kufuta historia ya Nyerere, watoto na vitukuu vyetu wataendelea kuwa masikini mpaka siku this guy akiadhibiwa.
Mimi naona haya yanayoendelea hapa ni sawa tu maana ndio suluhisho la matatizo ya Tanzania (kwa mtazamo wa wana-JF).
So hii ni muhimu sana kwa memba wa JF!
Kwi kwi kwi,
yani wewe naona unahangaika kumtetea dikiteta Nyerere, huchoki tu na ukubali yaishe?
Kwanza nimepata idea mpya ya kumfukuza mama Maria kutoka Msasani na kisha ile nyumba ya Butiama iliyojengwa na Jeshi inabidi itaifishwe ili ipewe familia ya shujaa wetu Kambona.
Ni vizuri kujenga hoja wewe mwenyewe. Unapocopy na kupaste mawazo ya mtu mwingine na kuyafanya yawe ya kwako na hivyo watu wanakupongeza kana kwamba ni ya kwako, kwenye akademia wana jina lao... na inapogundulika mtu anaweza hata kufutwa shule.. sasa natoa wazo tu cite the source ama sivyo you'll be guilty of ....
Mkjjj,
Kumbe hukuambiwa kuwa inapokuja suala la kupigana kufuta historia ya Nyerere kila silaha inatumika? Si umeona wameanza kukuita mjamaa (socialist)?
Ilianza kwa kumsifia Kambona, Ikawa Kambona VS Nyerere, na sasa ni ujamaa Vs Ubepari. Chochote utakachosema kizuri kuhusu Nyerere basi wewe ni mtetezi wa ujamaa. Kila article inayopondea ujamaa itaelekezwa kwako regardless.
Get ready for the muziki. FMES amesema anaenjoy kukuona kwenye fence mwenzangu. Kazi unayo ya kutetea mwana-ccm Nyerere!
sisi wengine dear wangu, tunauwezo wa kusimama peke yetu! Ukweli unabakia kuwa ukweli hata watu 1000 wakiupinga na kusema uongo. Ila baadhi ya mapendekezo unayoyatoa nadhani yatawasaidia sana.. ila hilo sisi wengine kuswekwa Lupango naona ni zuri kwani hatutakuwa na sababu ya kutoroka kama Kambona. Tatizo miaka 22 baadaye wakijikuta na matatizo yale yale watamlaumu nani sasa?
MWK - Mbona unaharibu mada bibie? Katika kipindi cha siku 3 ambacho ulipotea, hii mada ilikuwa kwenye mkondo mzuri sana. Wengi wetu tumekuwa tunaelimika sana na hii mada kuhusu sehemu ya historia ya nchi yetu. Pia, michango ya Mwafrica, Bin Maryam, na Maswali imetusaidia sana kuelewa kwa kifupi historia ya ujamaa vs upebari. Sasa bibie umeibuka tena basi du unaanza kuipeleka mada kwenye mkondo wa kejeli na dharau. Kwa nini lakini?? Hivi kuna ugumu gani ukiwa msomaji tu, kama hauna cha kuchangia? It really won't make any less of who you are!
Mkjj - Inawezekana ni kweli unapima kila neno unalo andika, lakini pengine haupimi kila post unayochangia au support. C'mon, you should know better.
MWK - Mbona unaharibu mada bibie? Katika kipindi cha siku 3 ambacho ulipotea, hii mada ilikuwa kwenye mkondo mzuri sana. Wengi wetu tumekuwa tunaelimika sana na hii mada kuhusu sehemu ya historia ya nchi yetu. Pia, michango ya Mwafrica, Bin Maryam, na Maswali imetusaidia sana kuelewa kwa kifupi historia ya ujamaa vs upebari. Sasa bibie umeibuka tena basi du unaanza kuipeleka mada kwenye mkondo wa kejeli na dharau. Kwa nini lakini?? Hivi kuna ugumu gani ukiwa msomaji tu, kama hauna cha kuchangia? It really won't make any less of who you are!
Mkjj - Inawezekana ni kweli unapima kila neno unalo andika, lakini pengine haupimi kila post unayochangia au support. C'mon, you should know better.
sasa muda watakaokuta wanatumia kunilaumu mimi, kwanini watoto wao wasiwe wameweza kuijenga nchi miaka 44 baada ya Nyerere?
Maswali,
Ukweli unaujua kuhusu utaifishwaji wa mali za watu enzi za azimio la Arusha........ule ulikuwa ni "mchemsho" na nina shukuru mungu kwamba alipata maisha marefu kuona sera zake za kipuuzi zikiwa a total failure!!!..........lazima kuwe na majority ya middle class ktk nchi ili yawepo maendeleo ya kweli. Kuindoa middle class, kutegemea peasants, na njia za uchumu zinazo endeshwa na serikali kuu ni recipe ya disaster. Bwana "fikra sahihi" hakuliona hilo, ndio maana tupo hapa tulipo.
Hata kama wakoloni wangeturudishia hizo mali unazosema, kwa sera za kijamaa za Nyerere angeharibu tu.