Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Nyani angalia posti zako za mwanzo na za wengine na unioneshe ipi ilikuwa open minded. Na kwanini nitakiwe mimi kuwatafuta watu hawa, I'm considered to be biased, so I recuse myself.

Mimi niko open minded kwenye hili ndio maana nilikuwa excited nilipoona hiki kipande cha upande wa pili wa hadithi. Ilikuwa inaniudhi sana kusikia wakim-demonize Kambona kama vile yeye si mtu mwenye mapungufu na kama vile wao hawana mapungufu. Ndio maana nasema tusikilize pande zote halafu tuamue tumwamini nani. Wewe ukiamua kumwamini Nyerere na mimi nikamwamini Kambona, basi tutakubaliana kutokukubaliana. Mambo ya he said she said: he said he said ni magumu mno kuupata ukweli so we got to be careful.
 
Sasa kwanini ufikiri kuwa wote wanaouliza uliza walikuwa vikongwe wakati huo? Labda kama wangekuwa waliokomaa labda wangefanya wanayofanya sasa.....?
 
1.

Mabaharia walifikia mahali hawakutakiwa kuleta magari, kama ilikuwa ni sheria au sio hilo sijui, kila aliyerudi na magari aliambiwa kuwa sheria hairuhusu kwa sababi magari ni mabovu yataleta polution, lakini wenye connection waliweza kuyatoa bila noma, sasa wasiokuwa na connections, ilibidi kuyasubiri magari yao wenyewe kwenye mnada wa serikali, ambako ndiko walikoenda kuyanunua tena kwa bei poa,

Hakuna baharia aliyerudi fresh ambaye hakuwa na hela za kulipia kodi ya gari lake, huo sio ukweli, maana hata hayo magari tulikuwa tukiyanunua Uholanzi kwa bei ndogo sana yakiwa katika process ya kuelekea kuyeyushwa, ndio maana mabaharia wengi walikuwa wakiyasubiri magari yao kwenye mnada wa serikali,

Mabaharia wenye connection, kama Timmy Toma, yeye alirudi na magari mawili, na vyombo vya bendi akaanzisha bendi ya Toma Toma na kina Kasaloo Kyanga, baadaye maa-agent wakaanza kumsumbua kuwa alitoaje magari na vyombo vyake ndipo alipoamua kukimbilia Zimababwe, btu kama unaaamini kuwa mabaharia waliorudi fresh walishindwa kukomboa magari kwa sababu ya kodi, labda unajua something I do not kuhusu mabaharia maana gari ilikuwa dola 300-500, kodi haikuwa zaidi ya dola 100, kwa waliokuwa nje kwa sughuli tofauti na ubaharia, sasa kweli baharia angeshinda kulipia hizo hela mbuzi mkuu? Hayo yako ni matusi kwa mabaharia!

2.

Mkuu ninamfahamu mshikaji wangu aliyekuwa na biashara moja tu mjini nayo ni passport, ambazo nyingi alikuwa akiwauzia wahindi na waarabu, ambao hawajawahi hata kufika bongo licha ya kuonyesha safari kama unavyosema, na huyo kijana na wakubwa wake aliokuwa akishirikiana nao, kupitia kwa Mbwana aliyekuwa mkuu wa uhamiaji then walitajirika sana na passport, kama hyajui mkuu dawa ni kuuliza tukufahamishe!


3.

Ili kuweza kupata passport kwa uhalali au kwa mizengwe, ilikuwa ni lazima uwe una uwezo kwa hiyo mkuu wale wote waliop[ata pass kwa uahalali hata siku moja hawakuzamia meli, isipokuwa aliondoka kwa halali, vijana kama kina Chelu Fundikira, Raja Kaka, Mlela, Omondi, Lengwe, na watoto wachache kutoka Migo Migo, na Chang'ombe waliokuwa na uwezo wa kupata passport kwa halali yaani kimizengwe waliondoka kihalali, moja ya sababu kubwa ya kuzamia ilikuwa ni kutokuwa na passport mkuu, no way baharia wa kweli akazamia meli huku akiwa na passport kibindoni, hiyo sio kweli!

4.

Hawa vijana wote nilikuwa nikipambana nao nikiwa MV Liemba, ambayo ndio waliyokuwa wakiitumia kwa biashara zao, 90% hawakuwa na passport, walikuwa na travelling documents, na pia walikuwa na ujanja mwingi wa kuweza kuingia Buja bila pass, wala karatasi yoyote, wengi walikuwa vijana kutoka Bukoba, wachache sana waliokuwa wakitoka Dar, na nia na madhumuni yao ilikuwa ni ku-raise funds ili waondoke bongo kihalali, hata Vijana Jazz wenyewe na Maneti walipokwenda Buja hawakuwa na passport isipokuwa travelling documents tu mkuu, that is how serious passport ilikuwa kuwa nayo!

5.

Mkuu ili usafiri ulitakiwa kuwa na passport, kibali cha kununua tiketi ya ndege, na kibali cha kununua dola kutoka benki kuu, vibali hivi vilikuwa vinatolewa na BOT tu, sasa niambie baharia wa kawaida angeweza vipi ku-satisfy masharti ya kuweza kupata hivyo vibali?

6.

Sasa muhuri huo vijana wangeupata wapi na wao kazi yao ilikuwa ni magendo tu ya mtaaani? Ni wabongo wangapi then waliokuwa wakilipa kodi mpaka kueza kupata huo mhuri, si ndio zilikuwa njia tu za kula hizo mkuu?

7.

Vile vita sheria za kimataifa zinasema kuwa aliyekuchokoza unamtoa kwenye ardhi yako tu, halafu unaachana naye na kuwaachia UN walete majeshi yao ya peacekeeping, sasa kilichotupeleka Kampala ni nini? Maaana ni kwenda huko ndiko kulikotu-cost tunalipa madeni mpaka leo! Maneno ya kufunga mkanda miezi 18 mbona yalikuwa hayawagusi wenye nguvu na the connected? Maaaan sikumbuki Mwalimu akisema kuwa itakuwa kwa wanyonge tu!

8.

Katika hii topic nzima sijaona mahali point, labda ni yako mkuu, wananchi wamesema Mwalimu hakupenda kuwa karibu na wananchi wenye elimu nzuri na uwezo mkubwa kufikiri, akaishia kuzungukwa na kina Mkapa, sasa haya yanayotukuta taifa letu si ndio matokeo yake, umeabiwa Mao, alizungukwa na wananchi wenye akili kama yeye matokeo yake yanaonekana kule China sasa.

9.

Kwenye hili sijakuelewa mkuu, una maana hiyo ilikuwa ni sera nzuri, kama ni kweli sasa kwa nini tumekwama na uchumi?

10.

Mkuu wangu tunajaribu kuangalia hizo sera na tulipo sasa hivi kitaifa, kwa sababu kulikuwa na vubali vya kuendesha gari jumapili, ambavyo wanaohusika walipewa tu njia ya kula, aliyeamua alikuwa ni Mwalimu sio wananchi wote wa bongo, maana faida yake kwa uchumi wetu sasa hivi ilikuwa ni nini? Ni wapi leo katika uchumi wetu unaweza kusema kuwa tumefanikiwa kutokana na the fact kwamba one time tulikuwa haturuhusiwi kuendesha magari jumapili?


11.

Mkuu hapa tunatoa heshima kwa Kambona, kwa sababu miaka 22 iliyopita alisema maneno yanayorudiwa leo na Chadema na kina Mwanakijiji kila siku hapa against serikali yetu, the man had a vision, lugha yako ndio hasa Mwalimu alitaka iongewe atakapookuwa hayupo, kwamba ni yeye tu peke yake ndiye aliyeleta mazuri kwa nchi.
__________________

watu wengine humu inaelekea mmenda sana umri duh!

mimi nakumbuka nilikuwa na ma anko zangu enzi zile za 1980s ambao walikuwa mabaharia ...ES unawajua akina SPENCER wa pale kariakoo mtaa wa sikukuu karibu na klabu ya saigoni?

Huyo baharia BARADOZ kwa wanamjua wanasema kuwa walipokuwa naye Greece miaka ile alikuwa ana ambition za kwenda VISIWA VYA barabados atakapo pata pesa na kweli alipozipata jamaa akatokomea huko huko barbados...

Kusema ukweli mie mabaharia siwajui wengi ila najua humu kuna jamaa wa ki TA (TANGA) ambao watakuwa wanazo habari zao hao mabaharia

Ila m,ie ukiniuliza mazungu ya Unga nitakutajia listi mpaka mwenyewe utachoka

kwanza unamkumbuka ZUNGU MARVIN wa magomeni mapipa alishusha ile fleet ya FIAT trucks toka Italy in the early 90's

Je unawajua akina MALIMA au mzee COSBY wa kule mikumi? nakumbuka Malima alikuwa mtu fresh ile kinoma sema yule rafiki yake kwa jina la COSTER alikuwa ni mnoma sana....

Je unamjua marehemu MWINYI naye alikuwa nakaa mtaa wa MSANGA kule magomeni huyu jamaa alikuwa mtoto wa TA(na alikufa airport huko Denmark) yaani noma tupu lakini kila mwenye reference zake atakuambia huyu kati ya mazungu wa mjini naye alikuwa binadamu

Akina BAGHDELA nao walikuwa wanasukuma mzigo sema siyo saaaaana kama jamaa wengine waliokuwa wanahasira na maisha

Hivi una jua kama BACHALA au CHALA BOY mtoto wa ilala Bungoni (nadhani walikuwa na nyumba mtaa wa moshi alishuka bongo na doila laki mbili ile miaka ya 90s na zilikopotelea zile pesa sijui wapi lakini jamaa litoka shamba kubwa (Brazil) na kuna habari aliwadhulumu watu hko Italy sijui kama kuna ukweli kuhusu hili lakini alikuja na VAUXHALL ambalo alilibatiza OPEL!

Zaidi ya hayo kulikuwa na zungu HMZA mtoto wa Temeke ambaye wanasema alijipiga risasi lakini ukweli ni kuwa aliuliwa na watu mjini ...alikuwa na ofisi jirani na kwa Makundi pale karibu na posta ...sasa ukimuuliza DARWESHI auatkupa story nyingine na ukimuuza NDAMA naye atakuletea story anayoijua yeye LAKINI THE BOTTOM LINE hamza kati ya watu mjini alikuwa mtu na hata walipoiibia wizara ya mamabo ya ndani pesa hiyo nilimuaona mtu maana hakuwa akitanua mjini wala nini

Je kuna mtu anajua MWAKITWANGE KAMA BADO YUKO MJINI AU KARUDI KIJIJINI KULIMA?

Nimesikia MSOFE naye yuko ndani sijui kama ukweli kuhusu hili

zaidi ya yote ni kuwa nyie watu wa EXTELECOMS mlianza mapema mkawaacha watu kwenye mataa na nyie mlifungua milango

haya lete story zaidi
 
Mabaharia walifikia mahali hawakutakiwa kuleta magari, kama ilikuwa ni sheria au sio hilo sijui, kila aliyerudi na magari aliambiwa kuwa sheria hairuhusu kwa sababi magari ni mabovu yataleta polution, lakini wenye connection waliweza kuyatoa bila noma, sasa wasiokuwa na connections, ilibidi kuyasubiri magari yao wenyewe kwenye mnada wa serikali, ambako ndiko walikoenda kuyanunua tena kwa bei poa,
Jamani kama hakukuwa na sheria hiyo sasa sisi kama wananchi tufanye nini? Mimi nakumbuka kabisa kodi ya kuingiza gari mkweche la miaka mingi ilikuwa more than 100% (CIF price) na hii ilikuja badilishwa wakati wa mzee ruksa. Hata hivyo mimi bado napinga uingizaji wa magari mikweche ambayo inatugharimu katika ajali na spea kutoka nchi za magharibi. swala la usafiri wa uhakika ni swala ambalo serikali lazima liupe kipaumbele. Hatuwezi kujifanya ati kila raia awe na usafiri wake binafsi ni gharama kubwa katika kutengeneza barabara ambazo hadi hivi sasa zinatushinda. Tanzania kama nchi tuna barabara za lami chini ya kilomita 5000 ambapo nchi ambazo kwa ukubwa tuko sawa nazo statistics zake ziko mbali sana. Hii ni aibu kubwa tujizatiti katika kukuza uchumi na kuona tunakuwa na uwezo wa kuingiza magari mapya na sio mikweche.

Hakuna baharia aliyerudi fresh ambaye hakuwa na hela za kulipia kodi ya gari lake, huo sio ukweli, maana hata hayo magari tulikuwa tukiyanunua Uholanzi kwa bei ndogo sana yakiwa katika process ya kuelekea kuyeyushwa, ndio maana mabaharia wengi walikuwa wakiyasubiri magari yao kwenye mnada wa serikali, Mabaharia wenye connection, kama Timmy Toma, yeye alirudi na magari mawili, na vyombo vya bendi akaanzisha bendi ya Toma Toma na kina Kasaloo Kyanga, baadaye maa-agent wakaanza kumsumbua kuwa alitoaje magari na vyombo vyake ndipo alipoamua kukimbilia Zimababwe, btu kama unaaamini kuwa mabaharia waliorudi fresh walishindwa kukomboa magari kwa sababu ya kodi, labda unajua something I do not kuhusu mabaharia maana gari ilikuwa dola 300-500, kodi haikuwa zaidi ya dola 100, kwa waliokuwa nje kwa sughuli tofauti na ubaharia, sasa kweli baharia angeshinda kulipia hizo hela mbuzi mkuu? Hayo yako ni matusi kwa mabaharia!
Mkuu sina haja ya kuwatukana mabaharia kwani sina data za kubackup uwezo wao lakini kodi kama nilivyosema hapo juu ilikuwa kubwa sana kwa magari. labda unipe mwaka ambao unauzungumzia ili tuweze kuweka details hapa za huo mwaka kodi ilikuwa kiasi gani n.k. maana data kama hizo tunaweza kuzipata kutoka nyumbani.

Mkuu ninamfahamu mshikaji wangu aliyekuwa na biashara moja tu mjini nayo ni passport, ambazo nyingi alikuwa akiwauzia wahindi na waarabu, ambao hawajawahi hata kufika bongo licha ya kuonyesha safari kama unavyosema, na huyo kijana na wakubwa wake aliokuwa akishirikiana nao, kupitia kwa Mbwana aliyekuwa mkuu wa uhamiaji then walitajirika sana na passport, kama hyajui mkuu dawa ni kuuliza tukufahamishe!
Sasa huyu kama alikuwa anawauzia wahindi tena ambao hata bongo hawajafika una maana hizi ndio zilikuwa sera za Kambona? Hilo la mbwana nalifahamu mkuu na sio geni na ndio sababu utoaji wa passport ulihamishwa kutoka ofisi iliyopo karibu na Avalon sinema wakati huo na kwenda makao makuu na kubadilishwa na kuwa na temporary paper travelling document ya kusafiria EAC na central.
Ili kuweza kupata passport kwa uhalali au kwa mizengwe, ilikuwa ni lazima uwe una uwezo kwa hiyo mkuu wale wote waliop[ata pass kwa uahalali hata siku moja hawakuzamia meli, isipokuwa aliondoka kwa halali, vijana kama kina Chelu Fundikira, Raja Kaka, Mlela, Omondi, Lengwe, na watoto wachache kutoka Migo Migo, na Chang'ombe waliokuwa na uwezo wa kupata passport kwa halali yaani kimizengwe waliondoka kihalali, moja ya sababu kubwa ya kuzamia ilikuwa ni kutokuwa na passport mkuu, no way baharia wa kweli akazamia meli huku akiwa na passport kibindoni, hiyo sio kweli!
Naona unachanganya hapa mambo ya travel documents kuwa tabu lilianza baada ya 1977 wakati uchumi wa TZ ulikuwa mbaya kabla ya hapo hakukuwa na travel document ilikuwa ni passport tu aidha unakuwa na ya kusafiri nchi za kiafrika tu ukiondoa SA na Taiwan kama sikosei au International.

Hawa vijana wote nilikuwa nikipambana nao nikiwa MV Liemba, ambayo ndio waliyokuwa wakiitumia kwa biashara zao, 90% hawakuwa na passport, walikuwa na travelling documents, na pia walikuwa na ujanja mwingi wa kuweza kuingia Buja bila pass, wala karatasi yoyote, wengi walikuwa vijana kutoka Bukoba, wachache sana waliokuwa wakitoka Dar, na nia na madhumuni yao ilikuwa ni ku-raise funds ili waondoke bongo kihalali, hata Vijana Jazz wenyewe na Maneti walipokwenda Buja hawakuwa na passport isipokuwa travelling documents tu mkuu, that is how serious passport ilikuwa kuwa nayo!
Kama nilivyojibu hapo juu hiyo ni lazima itakuwa baada ya 1977 na sio kabla ya hapo.
Mkuu ili usafiri ulitakiwa kuwa na passport, kibali cha kununua tiketi ya ndege, na kibali cha kununua dola kutoka benki kuu, vibali hivi vilikuwa vinatolewa na BOT tu, sasa niambie baharia wa kawaida angeweza vipi ku-satisfy masharti ya kuweza kupata hivyo vibali?
Mkuu labda uniambie sisi Tanzania tunafundisha mabaharia wengi sana ambao hatuwajui maana kila kijana ambaye hakuweza kwenda shule wakati ule alikuwa anataka kuzamia na wako wengi tu nawafahamu hawakuwa na shahada yoyote ya ubaharia. Vile vile hata leo sheria zipo yaani hakuna nchi ambayo inaruhusu wazamiaji kuitembelea bila kuwa na pesa. Lazima uwe na address ya unakokwenda na kuonyesha utaishi vipi huko. Unanikumbusha picha za wasomali pale Dar airport walipoamua kuwakimbia maafisa wa uhamiaji kwa kutokuwa na mwenyeji wa kuwadhamini na kuwa na pesa ya kutosha, waliamua kutimua mbio................................... ugenini. Ni lazima uwe na pesa na address unapokwenda kuishi bila hivyo huruhusiwi kuingia nchi yoyote.

Sasa muhuri huo vijana wangeupata wapi na wao kazi yao ilikuwa ni magendo tu ya mtaaani? Ni wabongo wangapi then waliokuwa wakilipa kodi mpaka kueza kupata huo mhuri, si ndio zilikuwa njia tu za kula hizo mkuu?
Sasa hapa sijui nikujibu vipi unaongelea utaratibu au rushwa? Utaratibu ndio ulikuwa huo kama ulikuwa hulipi kodi ulikuwa ulete ushahidi kutoka kwa wazazi wako ambao aidha walikuwa wakulima au wafanyakazi, na hili ni swala la utaratibu. haya mambo ya mishen town ndio yanaturudisha nyuma.
Vile vita sheria za kimataifa zinasema kuwa aliyekuchokoza unamtoa kwenye ardhi yako tu, halafu unaachana naye na kuwaachia UN walete majeshi yao ya peacekeeping, sasa kilichotupeleka Kampala ni nini? Maaana ni kwenda huko ndiko kulikotu-cost tunalipa madeni mpaka leo! Maneno ya kufunga mkanda miezi 18 mbona yalikuwa hayawagusi wenye nguvu na the connected? Maaaan sikumbuki Mwalimu akisema kuwa itakuwa kwa wanyonge tu!
Uganda nafikiri wamelipa sasa gharama za vita na vile vile kuna mahali nilisoma humu kwamba UK walilipa lakini haikuwa baada ya vita ilichukua muda mrefu na damage ilikuwa imetokea, hata Iraq hawawezi kulipa leo itachukua muda mrefu.

Katika hii topic nzima sijaona mahali point, labda ni yako mkuu, wananchi wamesema Mwalimu hakupenda kuwa karibu na wananchi wenye elimu nzuri na uwezo mkubwa kufikiri, akaishia kuzungukwa na kina Mkapa, sasa haya yanayotukuta taifa letu si ndio matokeo yake, umeabiwa Mao, alizungukwa na wananchi wenye akili kama yeye matokeo yake yanaonekana kule China sasa.
Hivi ni mwalimu aliwapigia kura akina BWM au JK. Well utasema kura zinaibiwa lakini hivi kweli WTZ hawana akili ya kuona kwamba wanadanganywa? Miaka yote hiyo toka Kambona hadi leo JK? Waswahili walisema usione vinaelea vimeundwa.

Mkuu wangu tunajaribu kuangalia hizo sera na tulipo sasa hivi kitaifa, kwa sababu kulikuwa na vubali vya kuendesha gari jumapili, ambavyo wanaohusika walipewa tu njia ya kula, aliyeamua alikuwa ni Mwalimu sio wananchi wote wa bongo, maana faida yake kwa uchumi wetu sasa hivi ilikuwa ni nini? Ni wapi leo katika uchumi wetu unaweza kusema kuwa tumefanikiwa kutokana na the fact kwamba one time tulikuwa haturuhusiwi kuendesha magari jumapili?
Sina data za kuonyesha mpango ule ulifanikiwa vipi kwa sababu sikuwa kwenye mpini huenda wenye data kama wapo watakujibu hili. Lakini lazima ukubali unapoweka policy ni lazima urudi nyuma na kuangalia wapi ulikosea au wapi ulifanya vizuri.
Hadi sasa sijaona hoja ya kizuri alichofanya Kambona kwa Tanzania zaidi ya kwenda kuishi UK. Hizo sera za Kambona ziko wapi?? Wondering.....???

Wanaomtetea wanaweza kuweka facts hapa na sio speculation mazuri aliyofanya kwa bongo, kusema ati aligombana na Nyerere sio hoja mbona kila siku watu wanagombana katika familia (Mume, Mke, watoto n.k.) Mwalimu alikuwa na mapungufu yake lakini ya wengine ni makubwa zaidi. Unaweza kuwa mnafiki lakini wapiga kura wengi sio wanafiki ndio sababu utaona hadi 2005 hakuna chama ambacho kimeweza kuitetemesha CCM kwani utaona jinsi upepo unavyogeuka kila wakati kama utaangalia statistics tangu chaguzi za vyama vingi zianze. Tuwe wawazi na wakweli na kutetea kila tunachokisema badala ya kupiga blah blah tu.

Nyerere alijitahidi na kutufikisha pale alipoweza ni jukumu la WTZ kuchukua kutoka hapo na kutupeleka mbele.
 

watu wengine humu inaelekea mmenda sana umri duh!

mimi nakumbuka nilikuwa na ma anko zangu enzi zile za 1980s ambao walikuwa mabaharia ...ES unawajua akina SPENCER wa pale kariakoo mtaa wa sikukuu karibu na klabu ya saigoni?

Huyo baharia BARADOZ kwa wanamjua wanasema kuwa walipokuwa naye Greece miaka ile alikuwa ana ambition za kwenda VISIWA VYA barabados atakapo pata pesa na kweli alipozipata jamaa akatokomea huko huko barbados...

Kusema ukweli mie mabaharia siwajui wengi ila najua humu kuna jamaa wa ki TA (TANGA) ambao watakuwa wanazo habari zao hao mabaharia

Ila m,ie ukiniuliza mazungu ya Unga nitakutajia listi mpaka mwenyewe utachoka

kwanza unamkumbuka ZUNGU MARVIN wa magomeni mapipa alishusha ile fleet ya FIAT trucks toka Italy in the early 90's

Je unawajua akina MALIMA au mzee COSBY wa kule mikumi? nakumbuka Malima alikuwa mtu fresh ile kinoma sema yule rafiki yake kwa jina la COSTER alikuwa ni mnoma sana....

Je unamjua marehemu MWINYI naye alikuwa nakaa mtaa wa MSANGA kule magomeni huyu jamaa alikuwa mtoto wa TA(na alikufa airport huko Denmark) yaani noma tupu lakini kila mwenye reference zake atakuambia huyu kati ya mazungu wa mjini naye alikuwa binadamu

Akina BAGHDELA nao walikuwa wanasukuma mzigo sema siyo saaaaana kama jamaa wengine waliokuwa wanahasira na maisha

Hivi una jua kama BACHALA au CHALA BOY mtoto wa ilala Bungoni (nadhani walikuwa na nyumba mtaa wa moshi alishuka bongo na doila laki mbili ile miaka ya 90s na zilikopotelea zile pesa sijui wapi lakini jamaa litoka shamba kubwa (Brazil) na kuna habari aliwadhulumu watu hko Italy sijui kama kuna ukweli kuhusu hili lakini alikuja na VAUXHALL ambalo alilibatiza OPEL!

Zaidi ya hayo kulikuwa na zungu HMZA mtoto wa Temeke ambaye wanasema alijipiga risasi lakini ukweli ni kuwa aliuliwa na watu mjini ...alikuwa na ofisi jirani na kwa Makundi pale karibu na posta ...sasa ukimuuliza DARWESHI auatkupa story nyingine na ukimuuza NDAMA naye atakuletea story anayoijua yeye LAKINI THE BOTTOM LINE hamza kati ya watu mjini alikuwa mtu na hata walipoiibia wizara ya mamabo ya ndani pesa hiyo nilimuaona mtu maana hakuwa akitanua mjini wala nini

Je kuna mtu anajua MWAKITWANGE KAMA BADO YUKO MJINI AU KARUDI KIJIJINI KULIMA?

Nimesikia MSOFE naye yuko ndani sijui kama ukweli kuhusu hili

zaidi ya yote ni kuwa nyie watu wa EXTELECOMS mlianza mapema mkawaacha watu kwenye mataa na nyie mlifungua milango

haya lete story zaidi

Huyu Baghdella najuana na washikaji zake kadhaa(kuna mmoja alikuwa na Celica kama ya Virani) huwa wananipa sana story zao za kuzunguka viwanja.

Huyu Spencer unayemzungumzia ni yule alikuwa anapenda kuhang out pale Chef Pride? Alafu huyo Msoffe ile issue yake na wachina pale sea cliff ilishaisha?
 
Huyu Kambona mbona watu wanamsifia bure tu hapa!

Kambona is a coward na hastahili kupewa heshima yoyote.
Ingawa mimi nimesoma mostly wakati wa utawala wa Mwinyi tofauti na wengine hapa ambao inaonekana mmesoma wakati wa Nyerere, bado Kambona alikuwa anadharaulika kwa aliyofanya.

Nikiwa boarding school, kulikuwa na msemo kwenye dorm wa kuzuia watu ku-snichi na kushirikiana na wwalimu kusaliti wenzako dorm.

Kulikuwa na msemo kuwa usiwe mwoga kama Kambona.... wengi wana usemi kuwa usiwe mwoga kama mwanamke... sisi tulikuwa na msemo kuwa usiwe mwoga kama Kambona.

Kambona angekuwa na ballz, angekaa nchini na kupambana na Nyerere uso kwa uso. Kukimbia kwake nchi kunaonyesha jamaa ni mwoga tu tena bonge la baby......
 
Huyu Kambona mbona watu wanamsifia bure tu hapa!

Kambona is a coward na hastahili kupewa heshima yoyote.
Ingawa mimi nimesoma mostly wakati wa utawala wa Mwinyi tofauti na wengine hapa ambao inaonekana mmesoma wakati wa Nyerere, bado Kambona alikuwa anadharaulika kwa aliyofanya.

Nikiwa boarding school, kulikuwa na msemo kwenye dorm wa kuzuia watu ku-snichi na kushirikiana na wwalimu kusaliti wenzako dorm.

Kulikuwa na msemo kuwa usiwe mwoga kama Kambona.... wengi wana usemi kuwa usiwe mwoga kama mwanamke... sisi tulikuwa na msemo kuwa usiwe mwoga kama Kambona.

Kambona angekuwa na ballz, angekaa nchini na kupambana na Nyerere uso kwa uso. Kukimbia kwake nchi kunaonyesha jamaa ni mwoga tu tena bonge la baby......

Kumbe closed minded peeps wako pande zote mbili...sikujua hilo. Halafu nikuulize, huu mwitikio wako ni wa kihisia au kiakili? Ukishindwa kujibu mwombe "your man" akusaidie...
 
Huyu Kambona mbona watu wanamsifia bure tu hapa!

Kambona is a coward na hastahili kupewa heshima yoyote.
Ingawa mimi nimesoma mostly wakati wa utawala wa Mwinyi tofauti na wengine hapa ambao inaonekana mmesoma wakati wa Nyerere, bado Kambona alikuwa anadharaulika kwa aliyofanya.

Nikiwa boarding school, kulikuwa na msemo kwenye dorm wa kuzuia watu ku-snichi na kushirikiana na wwalimu kusaliti wenzako dorm.

Kulikuwa na msemo kuwa usiwe mwoga kama Kambona.... wengi wana usemi kuwa usiwe mwoga kama mwanamke... sisi tulikuwa na msemo kuwa usiwe mwoga kama Kambona.

Kambona angekuwa na ballz, angekaa nchini na kupambana na Nyerere uso kwa uso. Kukimbia kwake nchi kunaonyesha jamaa ni mwoga tu tena bonge la baby......

Mwafrika wa kike,

Umemaliza! Kula tano mwanangu! Unavaa size gani? Hakyanani natamani nikutumie zawadi ya kivazi!
 
Kumbe closed minded peeps wako pande zote mbili...sikujua hilo. Halafu nikuulize, huu mwitikio wako ni wa kihisia au kiakili? Ukishindwa kujibu mwombe "your man" akusaidie...

Una maana gani na kuwa closed minded!

Kama kawaida yangu hapa nasimamia hoja zangu mwenyewe na huwa silii kupata msaada wa mtu. Define closed minded peeps ili nipate base ya kujibu swali lako.

Kambona ni bonge la coward, tena mwoga kuliko fisi. Bonge la coward, bonge la big baby. As far as I know, kama this guy angekuwa na guts au bollz, angekaa Tanzania (na asingekimbia) ili asimamie hoja zake na sera zake.

Kukimbia kwake kunaonyesha jinsi alivyo mtoto na mwoga big tyme na asiyestahili kusifiwa na mpambanaji yeyote yule duniani.
 
Mwafrika wa kike,

Umemaliza! Kula tano mwanangu! Unavaa size gani? Hakyanani natamani nikutumie zawadi ya kivazi!

kwi kwi kwi kwi kwi ,

Zawadi ya kivazi tena, nitakuambia kwenye PM maana kuna watu hapa ni waoga kama Kambona wataanza kuchonga bure.. lol
 
Una maana gani na kuwa closed minded!

Kama kawaida yangu hapa nasimamia hoja zangu mwenyewe na huwa silii kupata msaada wa mtu. Define closed minded peeps ili nipate base ya kujibu swali lako.

Kambona ni bonge la coward, tena mwoga kuliko fisi. Bonge la coward, bonge la big baby. As far as I know, kama this guy angekuwa na guts au bollz, angekaa Tanzania (na asingekimbia) ili asimamie hoja zake na sera zake.

Kukimbia kwake kunaonyesha jinsi alivyo mtoto na mwoga big tyme na asiyestahili kusifiwa na mpambanaji yeyote yule duniani.

I don't see the need for me define what I mean by you being closed minded. Your two posts on this topic are self explanatory.
 
I don't see the need for me define what I mean by you being closed minded. Your two posts on this topic are self explanatory.

That's ok Nyani.

It takes only two posts to define one's state of mind!
The heading for this topic is about Kambona and what will history say about him.

You gave your side, others here have chosen their side. I also will give my point of view.

1. Kambona ran away from the country - thats a fact.

2. True and real fighters never quit the fight- thats a fact.

3. Running from any battle is weakness - thats a fact.

4. Kambona ran from the country and moved on - Selfish.

5. He stayed low (hiding) like a scared baby - Cowardness.

I consider Kambona a coward and that's how my side of the story about Kambona will be. Odinga fought Kenyatta and Moi (in Kenya) for years until He got what he wanted - Multi-party system. Kambona could have done the same thing but HE RAN AWAY LIKE A SCARED BABY instead!

Thanks!
 
Hivi kwa mwenye akili anaweza kufagilia sera za Nyerere?

Mambo gani ya kuchukua mali za watu na kuzifanya za serikali,mjomba wangu alinyang'anywa nyumba (inauma kweli kweli nyie hamjui tuu), shule walichukua zimebaki magofu tuu, na Mwanakijiji na mwafrika wa kike ni watu bado wanaishi fantasy land mana wanaamini majungu ya nyerere ya kuwamaliza wenzake kisiasa na kusingiziana na ndio maana hatukendelea,nchi inaongozwa na kina Kawawa AKA Yes man hata darasa moja ni sifuri tungeendelea vipi.

...anyway its over now,tunasonga mbele na mwalimu hayupo tena hakuna kisingizio mwendo ni kupigana na haya mafisadi yaliyobaki na kupinga siasa za majungu na comedy za JK,hapendwi mtu hapo wote wajanja sasa ila bado mawazo kama ya mwanakijiji aliyebadilika hivi karibuni na Kada mtetezi wa mafisadi yananisumbua akili sana kama still tuna watu wana waza hivyo,mafisadi na vibaraka wao tutawamaliza tuu hilo sina wasiwasi
 
That's ok Nyani.

It takes only two posts to define one's state of mind!
The heading for this topic is about Kambona and what will history say about him.

You gave your side, others here have chosen their side. I also will give my point of view.

1. Kambona ran away from the country - thats a fact.

2. True and real fighters never quit the fight- thats a fact.

3. Running from any battle is weakness - thats a fact.

4. Kambona ran from the country and moved on - Selfish.

5. He stayed low (hiding) like a scared baby - Cowardness.

I consider Kambona a coward and that's how my side of the story about Kambona will be. Odinga fought Kenyatta and Moi (in Kenya) for years until He got what he wanted - Multi-party system. Kambona could have done the same thing but HE RAN AWAY LIKE A SCARED BABY instead!

Thanks!

...acha upuuzi wako hapo,ulitaka auliwe na mchonga ndio umwite shujaa,bora aliondoka(siiti kukimbia) maana nchi nzima ilikuwa imejaa inaongozwa na wendawazimu tuu,na hivi hizo siasa za mwalimu zimetusaidia nini? nipe tatu tuu nikiridhika nitakupa zawadi ya kivazi na mimi
 
Hivi kwa mwenye akili anaweza kufagilia sera za Nyerere? mambo gani ya kuchukua mali za watu na kuzifanya za serikali, mjomba wangu alinyang'anywa nyumba(inauma kweli kweli nyie hamjui tuu)

Is it always about you and what you lost? Kila mtu hapa akisema alichopoteza wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa na sasa hivi JK mbona hii forum haitatosha. Nafurahi Kitila Mkumbo amekataza watu wasiongelee maisha yake akiwa Kiongozi wa wanafunzi wa wanafunzi wa vyuo vikuu.

Kama kila mtu akianza kuandika maisha yake ya ubaharia au usomi basi hii forum itakwisha space.

......na Mwanakijiji na mwafrika wa kike ni watu bado wanaishi fantasy land mana wanaamini majungu ya nyerere ya kuwamaliza wenzake kisiasa na kusingiziana na ndio maana hatukendelea,

Nimejaribu sana kupitia hii thread kuona kama kuna sehemu nimeongelea kuhusu Nyerere na sikuipata. Kama unataka kuanzisha issue kuhusu mimi it is ok. Tuanzishe thread na useme yote uliyo nayo kuhusu hiyo fantasy land ninayoishi mimi.

nchi inaongozwa na kina Kawawa AKA Yes man hata darasa moja ni sifuri tungeendelea vipi...anyway its over now,tunasonga mbele na mwalimu hayupo tena hakuna kisingizio mwendo ni kupigana na haya mafisadi yaliyobaki na kupinga siasa za majungu na comedy za JK,hapendwi mtu hapo wote wajanja sasa ila bado mawazo kama ya mwanakijiji aliyebadilika hivi karibuni na Kada mtetezi wa mafisadi yananisumbua akili sana kama still tuna watu wana waza hivyo,mafisadi na vibaraka wao tutawamaliza tuu hilo sina wasiwasi

Well said, Hata mimi nakubaliana nawe hapa!
 
I don't have any quaral with your position. Earlier or somewhere in the discussion, someone accused others of being closed minded because they happened to be inclined to accept the other side of the story. Therefore I was just making a simple observation of your stance in this. No biggie
 
...acha upuuzi wako hapo,ulitaka auliwe na mchonga ndio umwite shujaa,bora aliondoka(siiti kukimbia) maana nchi nzima ilikuwa imejaa inaongozwa na wendawazimu tuu,na hivi hizo siasa za mwalimu zimetusaidia nini? nipe tatu tuu nikiridhika nitakupa zawadi ya kivazi na mimi

Nyerere aliua wangapi waliokuwa wanampinga? Tuwekee data na sisi tufaidike.
 
...acha upuuzi wako hapo,ulitaka auliwe na mchonga ndio umwite shujaa,bora aliondoka(siiti kukimbia) maana nchi nzima ilikuwa imejaa inaongozwa na wendawazimu tuu,na hivi hizo siasa za mwalimu zimetusaidia nini? nipe tatu tuu nikiridhika nitakupa zawadi ya kivazi na mimi

Inawezekana kabisa kuwa mimi ni mpuuzi na sioni tatizo kuitwa hivyo. Kutofautiana nawewe kwa kuita suala la Kambona kukimbia nchi uoga na ubinafsi sidhani kama ni justification tosha ya kuniita mpuuzi.

Anyway, Upuuzi wangu unaonyesha kwamba Kambona alikuwa bonge la mwoga kama kitoto kichanga. Mambo yalipokuwa tough kidogo yeye huyoo kakimbia mbio na vilio vingi kama kitoto.

Ilikuwa haki kabisa kukataza wana-Dorm wenzangu kuwa waoga kama Kambona maana inaonekana kuna wengi sana wangekuwa wanakimbia kila mara mambo yakiwa magumu.

Kambona the coward! A man without bollz to stand the heat

Hiyo ndiyo title ya kitabu changu kuhusu Kambona.
 
I don't have any quaral with your position. Earlier or somewhere in the discussion, someone accused others of being closed minded because they happened to be inclined to accept the other side of the story. Therefore I was just making a simple observation of your stance in this. No biggie

Dont worry Nyani,

I respect your position on Kambona the same way I do to Mkjj's position on Nyerere and others.

I consider Kambona a coward coz he ran away! He aint no HERO to me. He ran away when the going got tough! what a shame!
 
Back
Top Bottom