Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Now you are being very unreasonable!!! I'm amazed but at the same time I'm not!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...may be kusema kuua nimekuwa extreme na sijui nani aliwahi kuuliwa na Kambarage ila nina uhakika kambona either angepigwa ndani mpaka tumsahau au angefanywa kama wenzake waliopelekwa vijijini(kasanga,tuntemeke etc) na kuambiwa wasitoke huko,all in ala JK alikuwa dikteta wa aina yake tuu hata mkimpamba vipi!Nyerere aliua wangapi waliokuwa wanampinga? Tuwekee data na sisi tufaidike.
Inawezekana kabisa kuwa mimi ni mpuuzi na sioni tatizo kuitwa hivyo. Kutofautiana nawewe kwa kuita suala la Kambona kukimbia nchi uoga na ubinafsi sidhani kama ni justification tosha ya kuniita mpuuzi.
Anyway, Upuuzi wangu unaonyesha kwamba Kambona alikuwa bonge la mwoga kama kitoto kichanga. Mambo yalipokuwa tough kidogo yeye huyoo kakimbia mbio na vilio vingi kama kitoto.
Ilikuwa haki kabisa kukataza wana-Dorm wenzangu kuwa waoga kama Kambona maana inaonekana kuna wengi sana wangekuwa wanakimbia kila mara mambo yakiwa magumu.
Kambona the coward! A man without bollz to stand the heat
Hiyo ndiyo title ya kitabu changu kuhusu Kambona.
nyerere was a dictator at times......simlaumu kambona kukimbia, hasa ukizingatia kuwa watu walikuwa wanatoweka na wengine kufungwa bila sababu za msingi.
kumsema ni coward ni rahisi, tunapokuwa hatujawa in the same position.........lakini kuozea jela ambayo unaijua vizuri sana kwa huduma zake mbovu,...na ukikumbuka ni kuwa unawatia matatizoni ndugu zako ambao hawapo kwenye game yako unayoicheza, it make sense kutafuta asylum i think
nyerere was a dictator at times......simlaumu kambona kukimbia, hasa ukizingatia kuwa watu walikuwa wanatoweka na wengine kufungwa bila sababu za msingi.
kumsema ni coward ni rahisi, tunapokuwa hatujawa in the same position.........lakini kuozea jela ambayo unaijua vizuri sana kwa huduma zake mbovu,...na ukikumbuka ni kuwa unawatia matatizoni ndugu zako ambao hawapo kwenye game yako unayoicheza, it make sense kutafuta asylum i think
Unajua kumuita mtu coward ni rahisi sana. Vile vile mtu anaweza aka-argue kwamba humu jamboforum kuna ma-cowards kibao wanaotumia majina feki. Kama kweli wangekuwa na balls au viharage (sijui female version ya balls ni nini...ovaries?) si wangekuwa wanatoa maoni yao bila hofu wala uoga wowote kwa kutumia majina yao ya kweli? Ni kawaida ya binadamu kuona kasoro au mapungufu ya wengine....aliyesema Nyani (Mimi) haoni kundule hakukosea kabisa!!!
Mwafrika wa Kike,
siyo wote waliokwenda uhamishoni ni waoga. wako wengi waliokimbia nchi zao na ninakutajia hawa hapa: Oliver Tambo, Eduardo Mondlane, Samora Machel,Augustino Neto,Robert Mugabe, Joshua Nkomo,Joaquim Chissano, Kanyama Chiume, etc etc.
Ninachoweza kusema ni kwamba Nyerere ana nafasi ya pekee kwa kutuongoza watanzania mpaka tukafika mahali tukawa na fahari kubwa mno kwa Utanzania wetu.
Lakini tangu Uhuru wetu hakuna kiongozi ambaye ameporomosha uchumi wa nchi ile kama alivyofanya Nyerere. Kuna uwezekano hali hiyo haikutokana na ufisadi, lakini something went drastically wrong.
Pamoja na kwamba nilikuwa mtoto mdogo lakini nikumbuka kushudia jinsi hali ya familia yetu ilivyobadilika na kuwa ya mashaka makubwa sana. Kile kitendo cha kutanga-tanga kutafuta mahitaji muhimu[mkate,mafuta ya taa,unga,sukari,majani ya chai] nilikishudia. Katika familia yetu mimi ndiyo nilikuwa nikitumwa kwenda duka la kaya.
Hali haikuishia kwenye uhaba wa mahitaji muhimu tu. Barabara za kwenda mikoani zilikuwa mbaya mno mno. Maeneo ambayo unachukua masaa 6 kusafiri, ilifika mahali ukatumia siku 2 barabarani--ukilazimika kuunganisha safari. Barabara zote kuu ziligeuka vumbi tupu.
Wako jamaa zetu walioamua ndugu yao akazikwe kijijini walilazimika kubeba jeneza kilimita zaidi ya 10. Lakini kwenda kuzika hauendi mikono mitupu, kwa hiyo msafara huo ulilazimika kubeba mahitaji muhimu kama mafuta na sukari etc etc.
Sasa Mwalimu kwa kweli alikuwa mwanasiasa mjanja na mahiri mno. Kwasababu mpaka sasa hivi sielewi ni jinsi gani aliweza KUWAPOOZA Watanzania ktk mazingira yale magumu.
Baada ya kuondoka madarakani Mwalimu alipewa zawadi nyingi ajabu na mashirika ya umma, idara za serikali,na kila mkoa aliokwenda kuaga. Kuna mikoa iliyotoa mifugo, magari, matreka, mashine nzito za kilimo,mashine za ujenzi, mbegu, chakula, fenicha, etc etc.
NB:
Hivi ni kwanini Kambona hakuendeleza mapambano yake toka nje ya nchi? Kwanini hatukumsikia hata wakati ule wa matatizo makubwa ya Uchumi? Watanzania wangemwelewa zaidi kipindi kile kuliko wakati wowote ule.
Hapa ndipo sasa tunakubaliana na wewe. Kama ukiniona mimi nimeanzisha kampeni ya kutaka niitwe hero wakati hapa JF tu ninatumia jina ambalo si langu! basi inabidi uwe the first person kunichallenge.
So far, sijawahi na sitawahi kujiita hero kwa sababu I am not.
Tukianzisha thread ya kuniongelea mimi na kiharage changu, I will be the firt person kujiita coward hapa. I said it here.
Kwa sababu tunamuongelea Kambona na namna history itasema kuhusu yeye. Mimi nimetoa side yangu kuwa kambona ni bonge la baby na mwoga kama fisi - kupiga makelele na kukimbia mambo yakiwa tafu.
Kambona alikimbia nchi na fight ambayo alianzisha. Na alipoenda UK alijichimbia chini mpaka aliporudi baada ya wenzake wenye bollz kupigana nchini kwa ajili yake na akajifia kimya kimya.
What a coward!
Huyu Baghdella najuana na washikaji zake kadhaa(kuna mmoja alikuwa na Celica kama ya Virani) huwa wananipa sana story zao za kuzunguka viwanja.
Huyu Spencer unayemzungumzia ni yule alikuwa anapenda kuhang out pale Chef Pride? Alafu huyo Msoffe ile issue yake na wachina pale sea cliff ilishaisha?
Hakuna mtu aliyeanzisha kampeni ya yeye kutaka aitwe shujaa hapa. Kinachojadiliwa ni historia. Sasa wengine kama wewe mmekuja na kuanza kuwaita subjects majina. Ohh coward...ooh hana ballz...na much more. Ni rahisi sana kuwaita watu majina. Na ni rahisi zaidi kujenga hoja za dhihaka na dharau kuliko zenye nguvu na akili.....we endelea tu mama cita
HAHAHAHAHAAA kumbe watoto wa mjini mpo eeeh? naona namba zingine lakini hujazistukia!
Ebwana yap MSOFE last time nilipata taarifa kuwa baada ya kule pesa za wajerumani kwa kuwaonyesha shaba za wazambia kule kilwa road wazee wakaamua kumpumulia kifuani mchizi akaingia mitini kuibuka ndio akaja na skendo la kuwala tena wajerumani wengine pesa za diamond ambalo noma lake lake lilikuwa si mchezo...maana wajerumani Dar walikuja juu ile kinoma yaani nazungumzia kuwanzia kule Ubalozini mpaka kwa wale GTZ ole naiko naye kule TIC naye alikuwa hakai ofisini ndipo JK akapata safari ya kwenda Ujerumani basi si manoma yaho huko Ujerumani...matokeo yake CID wakanyanganywa kesi na hao USLAMA WA TAIFA...mbona huyo msofe alijisalimisha mwenyewe! unajua jamaa wa UT waliamua kudeal na ndugiu zake wa karibu na walichofanywa siweki kukisema hapa hadharani lakini naweza kusema kuwa It worked na pesa MSOFE alizirudisha....hakuna cha PAPA MUSOFE wala lile hirizi lake linalopumua kwenye mkono wake
Hilo la wa china nalo nasikia bado halijaisha....na inshort MSOFE hakanyagi ulaya hata kwa mtutu wa Bunduki!
Akina Baghdella si unajua tena kuwa close na akina Kinje mambo yao yanaenda tuu hivyo kimungu mungu tuuu si unajua tena pesa za General supplies zilivyo? The same can be asaid about akina Fundikiara na akina Songambele...hapo ndipo utajua umuhimu wa shule wale watu baba zao walikuwa na nafasi lakini wapi!
Ebwana sijui kama sikuhizi Spencer anashinda pale chefs pride lakini zamani walikuwa na nyumba pale Mtaa wa sikukuuu jirani na BIG MAYAI pembeni ya SAIGON CLUB na nyumba yao ilinunuliwa na LYATONGA MREMA kisha akajenga ghorofa pale nasikia sikuhisi imekuwa hoteli
Vipi unamjua BABU MTAMA MCHUNGU wa pale Magomeni Mtaa wa MSANGA?nadhani unafahamu kama jamaa likuwa anatoa visa kuliko haop state dept (ubalozi wa USA Dar) mpaka wenyewe walipokuja kumtembelea
Ohhh Nyani,
Jaribu kupitia some posts zilizowekwa hapa uone kampeni iliyosemwa kuwa Kambona was a hero or He should be considered one.
Wao wametoa mawazo yao na sababu zao za kwanini Kambona awe hero na wengine wakasema kuwa Kambona was hero kuliko Mwalimu etc. Mimi sina tatizo na hilo ndio maana sijachukua muda wangu hapa kuanza kubishana nao kuhusu mawazo yao.
Mimi nimetoa msimamo wangu kuwa this guy was never a hero na nikaanza kutoa sababu za kutetea msimamo wangu. Nadhani Nyani unajua vyema kabisa kuwa HERO is a name, the same thing should be on Coward.
Ukiita mtu a hero umetumia name kama vile ukiitwa mtu a coward.
I am just on the opposite side of your point of view.
Thanks Baba Cita!
Sawa...unapomuita mtu hero haumalizii na kibwagizo cha "jamaa alikuwa na ballz kweli kweli"....hicho kibwagizo kwako wewe kinaendana na "cowardice"....sasa jilo sio tusi?
Nyani kusema mtu hana bollz sio tusi as far as I am concerned. Huu ni usemi tu wa kumtambulisha mtu mwoga na ambaye anashindwa kusimamia mitazamo au kazi zake.
I tend to favor Demokrats over Republicans kwenye siasa za Marekani ila kila wakati nikiingia kwenye liberal blogs na kuweka comments (Yes I am very active kwenye liberal blogs za hapa US - ukizifuatilia utagundua comments zangu) huwa wengi wetu tunawaita viongozi wa demokrats kwenye congress kuwa hawana bollz (ingawa Nancy Pelosi is a woman).
Kama umechukulia neno bollz kama tusi, basi from now on umejua kuwa sio tusi (kutoka kwangu) bali msemo...
Ni tusi la kistaarabu. Lakini bado ni tusi.
Ni tusi la kistaarabu. Lakini bado ni tusi. Yaani mimi kwa mfano, mimi ni mwanamume rijali. Sasa wewe ukiniambia mimi sina bilinganya utakuwa umenitusi vibaya sana. Utakuwa umetusi na kudharau uanamume wangu....we cheki kwa mfano, mara nyingi hilo neno hutumiwa kwa wanaume na si wanawake. Huwezi kusema eti Mama Clinton hana bollz unless una agenda nyingine....