Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Kambona had all the time he needed to set the record clear. He never did, as far as I know.

What makes people believe that he would have done better in a top leadership position? We now know that 'looks' alone count for much less when it comes to leadership,(this is just to remind those who was crazed about the hairstyle of them days).
 
hey.. yaani miye ndiye nimempaka matope.. kuna data napitia kuanzia za CIA na British Intelligence, tutamuonesha Kambona of what he really turned out to be a political fraud. Kambona alibadilika sana alipokosa madaraka na alipoenda kwenye uhamisho aliojipa ikabidi aseme chochote kile na atengeneze legend yoyote ile ili apate kula yake kule.

...so these are the words of an open minded intellectual...!!!
 
Swali je alishiriki kwenye hilo jaribio la mapinduzi ya mwaka 1969?
 
ni kweli kwa nini umehamisha hoja? au kwako wewe kuongelewa vizuri kambona ni kumkashifu mwalimu? imesemwa nia si kumshusha hadhi mwalimu bali kutambua mchango wa kambona na ikiwezekana wengine ambao mchango wao katika taifa hili umezimwa kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

cha ajabu mkuu umemvalia njuga kambona. kuna nini hutaki kijulikane?

labda mke wa kambona atueleze waliondokaje. kama waliruhusiwa kwa nini wapande ndege nairobi na sio dar? unajua ni ndugu wangapi wa kambona waliwekwa kizuizini kwa miaka kadhaa, kisa wana undugu au ujamaa na kambona?

japo sijui ukweli nadhani kunatofauti kati ya kufichwa na kujificha. sasa wewe mkuu nani alisema kambona alitumwa na mwalimu akazime maasi? je haiwezekani kwamba kambona alifanya hivyo kwa utashi wake na na ushupavu wake? kwani nayeye angeshindwa kujificha?

mzee hakuna aliyesema kambona ni namba moja au alikuwa namba moja na mwalimu namba mbili, la hasha. mzee naona umeamua kupindisha hoja na kuifanya nyerere vs kambona duh! huko mimi simo!!!

nje ya mada: hivi leo hii ikija nchi na kuunga mkono wazi wazi kujitenga kwa zanzibar au kuonyesha ishara za kuunga mkono wa hoja zanzibar kujitenga utachekelea?
 
Hivi kambona hakupewa nafasi ya kurudi Tanzania kusafisha jina?
 
hey.. yaani miye ndiye nimempaka matope.. kuna data napitia kuanzia za CIA na British Intelligence, tutamuonesha Kambona of what he really turned out to be a political fraud. Kambona alibadilika sana alipokosa madaraka na alipoenda kwenye uhamisho aliojipa ikabidi aseme chochote kile na atengeneze legend yoyote ile ili apate kula yake kule.

Ndiyo unampaka matope. Unataka kubisha nini sasa. Tayari umesharukia bandwagon ya Kambona Haters Express...Sioni na sikuona objectivity yoyote kutoka kwako. Be you, no need to put a front.
 
Hivi kambona hakupewa nafasi ya kurudi Tanzania kusafisha jina?


Icadon tarehe 12 January 1968 Kambona alipewa nafasi hiyo.. akagwaya. Aliporudi nyumbani alipewa nafasi ya kufanya hivyo jangwani akapiga porojo na akaaondoka kama aliyenyeshewa mvua..
 
Huyu ndiye hayati Oscar Kambona, mtangazaji aliyerusha matangazo ya kwanza ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC tarehe 27 mwezi Juni mwaka 1957. Alifariki Uingereza akiwa na umri wa miaka 68.

Asante Zitto kwa hizo posts mbili za Kuhusu Kambona.

Inafurahisha kuona mitizamo yote ya kuhusu Kambona ikiwekwa hapa na watu wakatoa maoni yao kuhusu Kambona. Kuhusu suali la hiyo post ya pili kuwa was Kambona that Bad?

Mtizamo wangu binafsi ni NO. Kambona ni kweli alisaidia kujenga TANU (kama historia inavyoonyesha) na pia alishiriki kwenye jaribio la mapinduzi dhidi ya Nyerere (kulingana na mtazamo na sources zangu). Kwa hiyo Kambona hakuwa mbaya as a person.

Kwangu Kambona ni mwoga na mtu anayekimbia vita akiona pambano limekuwa kali. Ninatumia neno cowardnessness (with emphasis) ili kuonyesha kutoridhishwa kwangu kabisa na kitendo cha Kambona kuingia mtini na kushindwa kusimamia alichoamini hadi mwisho.

Kitendo chake pia cha kusahau kabisa kuhusu watanzania baada ya kupata pesa na kujali biashara zake binafsi ni cha usaliti.

huu ni mtizamo wangu. Kambona was a coward!
 
Ndiyo unampaka matope. Unataka kubisha nini sasa. Tayari umesharukia bandwagon ya Kambona Haters Express...Sioni na sikuona objectivity yoyote kutoka kwako. Be you, no need to put a front.

Ni kipi nilichosema ambacho si kweli? Kumpaka mtu matope ni kumzushia mambo ya uongo kama watu wanavyojaribu kuhusu Nyerere.. let the record show, everything I said about Kambona is true to the core.. He was a hero in the beginning of the founding of the first republic, but after his political fall out with Mwalimu he turned out to be nothing but an opportunist, a political fraud and indeed, an anti-hero, a villain of sort if you will.
 
Wewe bibie hebu achana na haya ya Kambona. Njoo chemba tui-analyze krit yako...
 
hey.. yaani miye ndiye nimempaka matope.. kuna data napitia kuanzia za CIA na British Intelligence, tutamuonesha Kambona of what he really turned out to be a political fraud. Kambona alibadilika sana alipokosa madaraka na alipoenda kwenye uhamisho aliojipa ikabidi aseme chochote kile na atengeneze legend yoyote ile ili apate kula yake kule.


kwa nini usiombe data za usalama toka nyumbani? tayari hizo data mmeisha (sijui uko na nani tena) mhukumu kuwa ni " political fraud". pamoja na hayo yote hizo data haziondoi mchango wake kwa taifa hili. naona unataka sasa kuhalalisha matusi aliyopachikwa miaka ya 70 na 80. we haya wee.
 
Ni kipi nilichosema ambacho si kweli? Kumpaka mtu matope ni kumzushia mambo ya uongo kama watu wanavyojaribu kuhusu Nyerere.. let the record show, everything I said about Kambona is true to the core.. He was a hero in the beginning of the founding of the first republic, but after his political fall out with Mwalimu he turned out to be nothing but an opportunist, a political fraud and indeed, an anti-hero, a villain of sort if you will.

...therefore in your infinite wisdom and opinion, the falling out justified him being called a political whore, correct?...and you dare call him a villain..? come on now, that is below the belt now.....I never believe in these energy drinks...but here my friend you sound like you have chugged a couple litres of hate-orade...
 
ni kweli kwa nini umehamisha hoja? au kwako wewe kuongelewa vizuri kambona ni kumkashifu mwalimu? imesemwa nia si kumshusha hadhi mwalimu bali kutambua mchango wa kambona na ikiwezekana wengine ambao mchango wao katika taifa hili umezimwa kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

sijahamisha hoja, nimeiweka kwenye proper perspective!


cha ajabu mkuu umemvalia njuga kambona. kuna nini hutaki kijulikane?

Hivi Kambona hasemwi? Watu wamemuita Nyerere a dictator and everything else lakini kufunuliwa Kambona imekuwa nongwa.

labda mke wa kambona atueleze waliondokaje. kama waliruhusiwa kwa nini wapande ndege nairobi na sio dar?

Ndio maana nilisema waulizwe, siyo mke tu bali maafisa walioshiriki n.k kwanini hilo linaogopwa?

unajua ni ndugu wangapi wa kambona waliwekwa kizuizini kwa miaka kadhaa, kisa wana undugu au ujamaa na kambona?

Rekodi mbona iko wazi haihitaji kukisia.. fuatilia kesi ya Uhaini ya kwanza ya Jamhuri yetu. Kama wapo wengine waliwekwa kizuizini tuambiwe ni kina nani na kama kuwekwa wao kizuizini kulikuwa kinyume cha sheria.

japo sijui ukweli nadhani kunatofauti kati ya kufichwa na kujificha.

hizo ni semantics ukweli utabakia pale pale, mtu haonekani!

sasa wewe mkuu nani alisema kambona alitumwa na mwalimu akazime maasi? je haiwezekani kwamba kambona alifanya hivyo kwa utashi wake na na ushupavu wake? kwani nayeye angeshindwa kujificha?

Nimesema rekodi zipo kwani ule uasi ulifanyika kwa siri? Kambona ndiye aliyetengeneza legend ya "ndiye aliyetuliza machafuko ya 1964 wakati Nyerere na Kawawa wamejificha kwenye kibanda cha nyasi". Hiyo ilikuwa ni hoja ya kujipatia umaarufu kwa Wanigeria haina msingi katika historia.


mzee hakuna aliyesema kambona ni namba moja au alikuwa namba moja na mwalimu namba mbili, la hasha. mzee naona umeamua kupindisha hoja na kuifanya nyerere vs kambona duh! huko mimi simo!!!

Hapana sijafanya hivyo kuna watu wanajaribu kumfanya Nyerere za Villain na Kambona za Hero. The story here unfortunately is about the two most important figures in the early history of the nation. It is about Kambona Vs Nyerere, and it ough to be that way.

nje ya mada: hivi leo hii ikija nchi na kuunga mkono wazi wazi kujitenga kwa zanzibar au kuonyesha ishara za kuunga mkono wa hoja zanzibar kujitenga utachekelea?[/QUOTE]

itategemea wanatoa hoja gani, give me an example. Hivi unafahamu kwanini Biafra ilitaka kujitenga toka Nigeria kubwa?
 
kwa nini usiombe data za usalama toka nyumbani? tayari hizo data mmeisha (sijui uko na nani tena) mhukumu kuwa ni " political fraud". pamoja na hayo yote hizo data haziondoi mchango wake kwa taifa hili. naona unataka sasa kuhalalisha matusi aliyopachikwa miaka ya 70 na 80. we haya wee.

Kafara,

Kwa nini wewe usitoe hizo data za usalama hapa?
Umeajiri nani akufanyie home work yako?

Kazi unayo wewe!
 
kwa nini usiombe data za usalama toka nyumbani? tayari hizo data mmeisha (sijui uko na nani tena) mhukumu kuwa ni " political fraud". pamoja na hayo yote hizo data haziondoi mchango wake kwa taifa hili. naona unataka sasa kuhalalisha matusi aliyopachikwa miaka ya 70 na 80. we haya wee.

a political fraud is not matusi bwana, its a term referring someone who uses politics to claim something about him that never was. Suala la mchango wake katika historia ya mwanzo wa uhuru wetu halina mjadala; mjadala upo what happened after he ran away when the heat was intense in the kitchen!
 
...therefore in your infinite wisdom and opinion, the falling out justified him being called a political whore, correct?...and you dare call him a villain..? come on now, that is below the belt now.....I never believe in these energy drinks...but here my friend you sound like you have chugged a couple litres of hate-orade...

I can't claim what you allude to me, I am a simple farmer. A villain he was, wasn't he? on the energy drink part lazima nikupe credit aidha una undugu na Shehe Yahya Bin Hussein au unafahamiana na Ms. Cleo..
 
Back
Top Bottom