Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

oh yes it was a life and death situation! hivi umewahi kufungwa jela bongo wewe au unasema tu hapa?

Hapo sasa ndio alitakiwa aonyeshe ushujaa wake wa kuface chochote kile kwa manufaa ya vizazi vijavyo. Fuatilia Navy Seal training ya US uone kuwa principle kubwa ya seal ni kuface the muziki all the time.

Hii ndio inatofautisha hero na coward, ndio maana nimesema kuwa mie siwezi kujiita hero and the same can be said of Kambona!
 
Hapo sasa ndio alitakiwa aonyeshe ushujaa wake wa kuface chochote kile kwa manufaa ya vizazi vijavyo. Fuatilia Navy Seal training ya US uone kuwa principle kubwa ya seal ni kuface the muziki all the time.

Hii ndio inatofautisha hero na coward, ndio maana nimesema kuwa mie siwezi kujiita hero and the same can be said of Kambona!

Mbona Nyerere hakuonyesha hiyo principle wakati wa uasi?
 
Kweli Nyerere wenu hakuwa kila sehemu kwa wakati wote lakini alikuwa ni kama mungu mtu fulani hivi kiasi ukisikia jina lake tu unanywea bila hata ya kumwagiwa maji. Watu walikuwa wanamwogopa Nyerere bwana. We mpaka sasa hivi watu bado wanadhani raisi wa Tanzania ni raisi Nyerere. We unafanya mchezo nini. Unajua alipokufa baddhi ya media outlet za magharibi zilimzungumzia kama vile alikuwa bado raisi. Acha mchezo bwana kile kibabu kilikuwa hatari sana. Moto wa kuotea mbali.

Sijui sana kuhusu hili suala la Nyerere kwani alikuwa prezida the big part nikiwa sijazaliwa. Kulingana na unachosema hapa, kama kweli Nyerere alifanya hivi, basi this guy alikuwa na very big ballz. Kwa sababu it takes ballz kufanya yote haya uliyosema tofauti na Kambona the Coward aliyekimbia when the going got sad and tough!
 
Mbona Nyerere hakuonyesha hiyo principle wakati wa uasi?

Sikujua kama tunafanya comparison analysis kati ya Nyerere na Kambona BUT kama tunafanya basi soma jibu langu hapo juu kuwa kitendo cha nyerere kujificha ilikuwa uoga.

Ila pia kitendo cha yeye kurudi na kuface wabaya wake ilikuwa show of big tyme balllz kitu ambacho Kambona alishindwa kabisa kufanya.
 
Sijui sana kuhusu hili suala la Nyerere kwani alikuwa prezida the big part nikiwa sijazaliwa. Kulingana na unachosema hapa, kama kweli Nyerere alifanya hivi, basi this guy alikuwa na very big ballz. Kwa sababu it takes ballz kufanya yote haya uliyosema tofauti na Kambona the Coward aliyekimbia when the going got sad and tough!

Alikuwa na busha badala ya ballz!!!
 
Sikujua kama tunafanya comparison analysis kati ya Nyerere na Kambona BUT kama tunafanya basi soma jibu langu hapo juu kuwa kitendo cha nyerere kujificha ilikuwa uoga.

Ila pia kitendo cha yeye kurudi na kuface wabaya wake ilikuwa show of big tyme balllz kitu ambacho Kambona alishindwa kabisa kufanya.

Wewe hapa una miss point. Yeye aliwaface wabaya wake ktk position ya power. Hiyo hata wewe unaweza.

Na kitendo cha kujificha when the going gets tough halafu unatuma watu wakatulize moto ni kitendo cha uwoga. Hata u-spin vipi huo ni uoga.
 
Kweli Nyerere wenu hakuwa kila sehemu kwa wakati wote lakini alikuwa ni kama mungu mtu fulani hivi kiasi ukisikia jina lake tu unanywea bila hata ya kumwagiwa maji. Watu walikuwa wanamwogopa Nyerere bwana. We mpaka sasa hivi watu bado wanadhani raisi wa Tanzania ni raisi Nyerere. We unafanya mchezo nini. Unajua alipokufa baddhi ya media outlet za magharibi zilimzungumzia kama vile alikuwa bado raisi. Acha mchezo bwana kile kibabu kilikuwa hatari sana. Moto wa kuotea mbali.

Sasa imekuwa "Nyerere wenu".. haya tuwaachie "Kambona wenu"...
 
Hata alivyokuja baadaye na ahadi kibao za kusema vitu jangwani aliishia kubwabwaja tu na hata sie watoto ambao hatukumfahamu tukamuona kuwa Kambona amebadilika kuwa bonge la coward!

itakuwaje mtu usiyemjua umuone amebadilika?
hata kama hutaki kusema nawe pia uliisha pata dozi directly au indirectly kuhusu ubaya wa kambona ndio maana unasema amebadilika
 
Wewe hapa una miss point. Yeye aliwaface wabaya wake ktk position ya power. Hiyo hata wewe unaweza.

Na kitendo cha kujificha when the going gets tough halafu unatuma watu wakatulize moto ni kitendo cha uwoga. Hata u-spin vipi huo ni uoga.


mzee uoga ni uoga, sawa hakuna anayedai Mwalimu kujificha kilikuwa kitendo cha kishujaa bali ilikuwa ni instinct ya survival; Lakini ukweli unabakia kuwa baada ya kuondoa na kwenye kwenye uhamisho aliojipachika Kambona turned out to be greatest political fraud in Tanzanian history. Wenzie kina Titi walisweka Lupango na waliposamehewa vyote vilisahauliwa, leo kuna mtaa wa Bibi Titi! Yeye akajifanya Bingwa na kujaritu kutengeneza the hero status that never was!

Tukubali Mwalimu alimzidi.. that is part of politics.. ! Kambona didn't know how to play.
 
Ilikuwa woga ama Jamhuri ndio iliyokwenda kumficha? alafu Kambona alikwenda kule kama Waziri ambaye alitumwa na Mkuu wake wa kazi(alikula kiapo kumtii)

Ila tuwe wa kweli tuu ata ungekuwa wewe sidhani kama ungeenda kuwaface wanajeshi wenye hasira na wewe, sidhani kama kuna mtu ana hizo cojones, mliona yaliyomkumba Samuel Doe(by the way kama una access ya hiyo tape itafute).

Swali la kujiuliza kwa nini Kambona hakusafisha jina lake alipopata nafasi za kufanya hivyo?
 
Basi Kambona na Nyerere wetu....are you happy now?


ectastic!! the point ni kwamba we have to claim Kambona kwenye historia yetu na ninaamini kabisa pamoja na makosa yake yote na fraud aliyoijaribu kuifanya all were just out of desperation. Unfortunately he failed miserably. Lakini katika yote anastahili kutambuliwa kwa mchango wake aliotoa wakati wa Uhuru na mara baada ya uhuru; that is part of our story, its part of his story, and indeed part of our history! So, I won't mind Chuo Kikuu cha Dodoma kikiitwa Kambona State University au barabara kuu ya kwenda kusini ikijulikana kama Kambona Highway.

But the legend that people are trying to create, he was not; it all just a myth and a terrible myth that is.


Tunakubaliana?
 
Ilikuwa woga ama Jamhuri ndio iliyokwenda kumficha? alafu Kambona alikwenda kule kama Waziri ambaye alitumwa na Mkuu wake wa kazi(alikula kiapo kumtii)

Ila tuwe wa kweli tuu ata ungekuwa wewe sidhani kama ungeenda kuwaface wanajeshi wenye hasira na wewe, sidhani kama kuna mtu ana hizo cojones, mliona yaliyomkumba Samuel Doe(by the way kama una access ya hiyo tape itafute).

Swali la kujiuliza kwa nini Kambona hakusafisha jina lake alipopata nafasi za kufanya hivyo?

Icadon ndio maana mimi nasema a manufacture hero status; Obote alipomtuma Waziri wake wa Mambo ya Ndani kwenda kuzungumza na wanajeshi walioasi guess what happened they mswekad him in lupango.

Ni pale tu alipoanza mihadhara ya Nigeria ndipo alipojitengezea self described legend story kwamba he was the hero of the "mutiny".. Rekodi zote zinaonesha alifanya hivyo kwa sababu alikuwa ni Waziri wa Ulinzi na alitumwa na amiri jeshi mkuu na tatu he was the number TWO guy..
 
Rekodi mbona iko wazi haihitaji kukisia.. fuatilia kesi ya Uhaini ya kwanza ya Jamhuri yetu. Kama wapo wengine waliwekwa kizuizini tuambiwe ni kina nani na kama kuwekwa wao kizuizini kulikuwa kinyume cha sheria

nakuhakikishia wapo nduguze waliowekwa kizuizini kisa ni jamaa wa kambona. unataka kuwapa msaada wa kisheria sio? kuhusu kuweka majina yao hapa, kuna mahali nimeambiwa nisitake watu wanifanyie homework.


nje ya mada:
itategemea wanatoa hoja gani, give me an example. Hivi unafahamu kwanini Biafra ilitaka kujitenga toka Nigeria kubwa?

labda uanzishe thread pekee
 
Icadon ndio maana mimi nasema a manufacture hero status; Obote alipomtuma Waziri wake wa Mambo ya Ndani kwenda kuzungumza na wanajeshi walioasi guess what happened they mswekad him in lupango.

Ni pale tu alipoanza mihadhara ya Nigeria ndipo alipojitengezea self described legend story kwamba he was the hero of the "mutiny".. Rekodi zote zinaonesha alifanya hivyo kwa sababu alikuwa ni Waziri wa Ulinzi na alitumwa na amiri jeshi mkuu na tatu he was the number TWO guy..

Na Kambona alipoona ndugu zake wa damu wameswekwa gerezani machale yakamcheza.....so I don't blame him for running. I would have done the same exact thing.....
 
ectastic!! the point ni kwamba we have to claim Kambona kwenye historia yetu na ninaamini kabisa pamoja na makosa yake yote na fraud aliyoijaribu kuifanya all were just out of desperation. Unfortunately he failed miserably. Lakini katika yote anastahili kutambuliwa kwa mchango wake aliotoa wakati wa Uhuru na mara baada ya uhuru; that is part of our story, its part of his story, and indeed part of our history! So, I won't mind Chuo Kikuu cha Dodoma kikiitwa Kambona State University au barabara kuu ya kwenda kusini ikijulikana kama Kambona Highway.

But the legend that people are trying to create, he was not; it all just a myth and a terrible myth that is.


Tunakubaliana?

Tutakubaliana tu pale mtapokiri kuwa it was also wrong to demonize him and make ngonjera's about him and calling him all kind of names in the book.
 
itakuwaje mtu usiyemjua umuone amebadilika?
hata kama hutaki kusema nawe pia uliisha pata dozi directly au indirectly kuhusu ubaya wa kambona ndio maana unasema amebadilika

Kambona nimemsoma kwenye siasa na uraia kuwa ni miongoni mwa waanzilishi wa TANU na pia ni miongoni mwa wapigania uhuru wa Tanganyika. Picha niliyokuwa nayo kuhusu Kambona ni positive mpaka nilivyoingia sekondari boarding school- miaka mingi sana baada ya Nyerere kustaafu- ambako nilijifunza kutokuwa mwoga kama Kambona.

Kambona alithitibisha hili mwenyewe kwenye hotuba yake Jangwani ambayo niliisikia. Alishindwa kuthibitisha ujasiri wake wa TANU na badala yake akaonyesha woga na ubinafsi wa baada ya jaribio la kumpindua Nyerere kushindwa.


Nina respect kubwa sana kwa this guy as a person. Inapokuja kwenye names - hero/coward, this guy is a big tyme baby and coward.

Hata hivyo for now, namuombea tu apumzike salama huko kaburini maana kuongelea usaliti wake ni kupandisha mizuka na hasira za bure tu.
 
Na Kambona alipoona ndugu zake wa damu wameswekwa gerezani machale yakamcheza.....so I don't blame him for running. I would have done the same exact thing.....

Ha ha aha ha ha ha,

Nyani toka lini umeanza kuwa mwoga.
Nakusubiria chemba ujieleze maana la sivyo you have alot of explaining to do this weekend!
 
Back
Top Bottom