Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Kamjadala kalikuwa katamu, lakini naona mara ooooooh imekuwa story ya "W-ballz."!!!!! Mtu yeyote anayeshabikia upinzani leo hii nchini Tanzania, na wakati huo huo ni mshabiki wa Nyerere basi mtu huyo ni chizi. Na ndio maana labda WaTZ hawaoni tofauti kati yenu na SISIEM kwani wote baba yenu mmoja kwa jina Julius, pale utakapo chora mstari na watu kuanza kumwita Nyerere kwa majina anayositahiri(baba wa taifa lisiwepo)na legacy yake kutopindishwa basi tutaendelea kuwa na chama kimoja Tanzania kwa karne nyingine nzimaaaa.

Nyie mnasema Kambona(RIP) alikimbia, mbona ninyi hamjioni?? mnabweka toka kajificheni huko Detroit na NYC......kwa maana hiyo pia ninyi hamna balls?? au kuna tofauti gani??. Tuongee ukweli na kuacha ushabiki, mambo ya bendera kufuata upepo ni ya kizamani sana wajameni.
 
Kamjadala kalikuwa katamu, lakini naona mara ooooooh imekuwa story ya "W-ballz."!!!!! Mtu yeyote anayeshabikia upinzani leo hii nchini Tanzania, na wakati huo huo ni mshabiki wa Nyerere basi mtu huyo ni chizi.

Mhhh,

Inaonekana mkuu umeadvance kuwa kama Dr Frist kiasi cha kutoa diagnosis kwenye mtandao bila kumwona "mgonjwa" au chizi mwenyewe?


Na ndio maana labda WaTZ hawaoni tofauti kati yenu na SISIEM kwani wote baba yenu mmoja kwa jina Julius, pale utakapo chora mstari na watu kuanza kumwita Nyerere kwa majina anayositahiri (baba wa taifa lisiwepo) na legacy yake kutopindishwa basi tutaendelea kuwa na chama kimoja Tanzania kwa karne nyingine nzimaaaa.

Huu ni mtizamo wako kwa hiyo una kila haki ya kusema utakacho na kisha ukakisimamia kwa hoja.

Nyie mnasema Kambona(RIP) alikimbia, mbona ninyi hamjioni?? mnabweka toka kajificheni huko Detroit na NYC......kwa maana hiyo pia ninyi hamna balls?? au kuna tofauti gani??. Tuongee ukweli na kuacha ushabiki, mambo ya bendera kufuata upepo ni ya kizamani sana wajameni.

Yatakapofika mashindano unayotaka kuanzisha wewe kati ya Kambona na mimi, itakuwa ni wakati muafaka kabisa wa kulinganisha ballz za kambona na za watanzania walioko kiwanja leo.

For now, Historia imeonyesha kabisaa kuwa Kambona alikuwa coward na mwoga kama fisi na kitoto kidogo. Alikimbia fights aliyoshiriki kuianzisha na akawasahau wenzake kabisaa hata baada ya kupata vipesa.

THIS KAMBONA should Rest In Peace for now kwa sababu life yake inatia shaka sana kusikia woga na usaliti wake!
 
ooh kumbe imeshakuwa vibweka vya wakubwa?
kaazi kweli kweli...
 
ooh kumbe imeshakuwa vibweka vya wakubwa?
kaazi kweli kweli...

si ndiyo ilipokuwa inazungumzia utufuku wa Kambona ilikuwa ni siasa, but then tulipoonesha wazi kuwa he turned into a political fraud, imekuwa vibweka vya wakubwa and rightly so!
 
si ndiyo ilipokuwa inazungumzia utufuku wa Kambona ilikuwa ni siasa, but then tulipoonesha wazi kuwa he turned into a political fraud, imekuwa vibweka vya wakubwa and rightly so!

ndugu yangu wewe hujaonyesha popote pale kama alikuwa fraud labda kwenye imagination yako tu...
 
hu mjadala ni muhimu sana kwa HISTORIA YA TAIFA..mnajua tuna udhaifu upande wa hiostoria hata kina mzee syks kila marta wanasema hili..kama mtu huna la kusema ni bora kukaa kimya kuliko kuweka maneno mabaya...some of people here are really learning..hawakuwepo..tunawasaidiaje??

PIA SIJAONA HAKI KWA MODERATOR KULETA MADA HII KWENYE VIBWEKA....YAANI HISTORIA YA VIONGOZI WA TAIFA LETU NI ..KIBWEKA?????.....TAFADHALI MADA IPEWE HESHIMA INAYOSTAHILI IRUDISHWE INAKO STAHILI..HATA IKIZAMA IZAME YENYEWE....


NAOMBA KUWASILISHA!!!
 
mzee sisi wengine huwa hatulalamiki mada zinapohamishwa, kuwa merged au kufutwa ila kama ma MoD watashawishika na kuona ni mada muhimu wataiweka kunakosttahili. Nadhani watu hawakutaka kuona ukweli kuhusu Kambona baada ya kuwapa karibu siku nne za kumjenga shujaa wao, manake hadi watu wakaenda kwenye hadithi za familia.. tukakaa wengine tukawaangalia na kusema jamani twende pole pole, hawakutaka.
 
ndugu yangu wewe hujaonyesha popote pale kama alikuwa fraud labda kwenye imagination yako tu...

Hapana kaka alionesha yeye mwenyewe kuwa ni fraud kwenye mihadhara yake kule Nigeria na hasa pale alipopewa jukwaa Jangwani.. Unless you have another explanation of what happened pale Jangwani..
 
mbona unashangilia ushindi hewa mzee...?

sijashangilia ushindi kwani hakuna cha kushinda just putting record straight hizi porojo za mitaani kuhusu Kambona zitafikia mwisho. Ni nyinyi mlioashangilia kuinuliwa Kambona, the hero of your imagination...
 
nigeria alisema nini? mbona wewe mwenyewe umesema kweli ni fact kambona alikwenda kuongea na waasi (pamoja na kuweka spin). hiyo fact hukukataa.

mbona mwalimu hakutoa ushahidi wa pesa alizoiba kambona na hilo huoni nongwa bali nongwa ni kambona kushindwa thibitisha alosema jangwani. sasa wenye nchi mbona hawakumfikisha kambona mahakamani kama walivyotishia baada ya jangwani? mbona hili hulisemi?

unakataa ndugu wa kambona hawakuwekwa kizuizini? kibano hakikuishia kwa ottini na mattiya tuu bali kilikuwa kipana zaidi hii ni fact pia. mafaili ya cia unayopitia hayasemi hili? njoo nyumbani utafute ukweli kwani ukweli mwingine haupo kwenye mafaili ya cia kaka
 
My position has still not changed. He is the unsung hero of our independence and it's immediate aftermath. Na Nyerere wako hakuonyesha kingine zaidi ya insecurity na paranoia pale Kambona alipokuwa tried in absentia na kupatikana hana hatia. Sasa Nyerere alikuwa anahofia nini...his treason accustaions were unfounded which lends credence to the other argument....upo hapo?
 
mnaogopa vivuli? mashujaa wa tanzania wapo wengi tuu na hawatajwi wengine sababu ya zengwe tuu.

niliuliza ile picha ya waanzilishi wa tanu iliyosemekana imekuwa doctored vipi? mzee wangu siasa za kumalizana kisiasa zilianza siku nyingi.
 
nigeria alisema nini? mbona wewe mwenyewe umesema kweli ni fact kambona alikwenda kuongea na waasi (pamoja na kuweka spin). hiyo fact hukukataa.

mbona mwalimu hakutoa ushahidi wa pesa alizoiba kambona na hilo huoni nongwa bali nongwa ni kambona kushindwa thibitisha alosema jangwani. sasa wenye nchi mbona hawakumfikisha kambona mahakamani kama walivyotishia baada ya jangwani? mbona hili hulisemi?

unakataa ndugu wa kambona hawakuwekwa kizuizini? kibano hakikuishia kwa ottini na mattiya tuu bali kilikuwa kipana zaidi hii ni fact pia. mafaili ya cia unayopitia hayasemi hili? njoo nyumbani utafute ukweli kwani ukweli mwingine haupo kwenye mafaili ya cia kaka

Kafara soma sehemu ya ripoti yangu hapo juu utaona alichosema akiwa Nigeria. Watawala hawakuwa na sababu ya kumfunga zaidi ya kumpiga mkwara; si yeye wakati anarudi akawathubutisha watawala wamkamate na hawakumkamata... ujiko wake ulitegemea sana "ubaya wa Nyerere" aliokuwa anaueleza. Bahati mbaya ukweli ulipojulikana he turned to be just another fraud.
 
mnaogopa vivuli? mashujaa wa tanzania wapo wengi tuu na hawatajwi wengine sababu ya zengwe tuu.

niliuliza ile picha ya waanzilishi wa tanu iliyosemekana imekuwa doctored vipi? mzee wangu siasa za kumalizana kisiasa zilianza siku nyingi.

Kafara hilo halina ubishi, mashujaa wa Tanzania wapo wengi.. na wengine wakuvishwa! kumbe ni political frauds!
 
Word of the day: Fraud

Sasa tueleze kwa unaga ubaga u-fraud wa Kambona.

Na unaona ilikuwa sawa kwa Kambona kutungiwa ngonjera za dhihaka na kuitwa malaya?
 
Back
Top Bottom