Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Dada Neema Kambona,kama unapita humu hebu urudi Tanzania uombe kurudishiwa Mali za mzee,wewe ndie mrithi pekee uliye baki kwasasa.Rais Magufuli labda anaweza kukuelewa.
 

Naomba kuwasilisha
 
Reactions: Cyb
Kwa kifupi ni mnyasa
 

Umeuliza swali zuri, lakini yawezekana majibu yakawatofauti na matarajio yako.

Mfano:
kAMA UNA FAHAMU TAREHE AMBAYO MATANGAZO YA KISWAHIL BBC YALIANZA NA MTANGAZAJI ALIKUWA NANI, KWA NINI HUJUI YUKO WAPI HUYO MTANGAZAJI? ULIKO PATA HIZO TAARIFA, UNAWEZA PIA PATA ALIKO KWA SASA.
 
Kuna thread katika jukwaa la historia imeelezea hili suala kwa mapana..
Pamoja na madhaifu ya Oscar lakini anastahili heshima yake na haswaa kutokana na hoja zake za mwanzo zilizomtofautisha na Nyerere , zilikuja kuwa kweli baada ya kushindwa kwa ujamaa na impact za ujamaa tulizonazo hata leo
 
Kwa wanaofahamu yaliyofichika Kambona alisaidia kutuliza vuguvugu la mapinduzi mwaka 1967 japo mchango wake ulionekana hauna maana baada ya kupishana mawazo na mwenye mji Mungu ailaze mahala pema roho yake
 
Ebu ipandishe tuisome mkuu....
 
Alikwisha fariki na kaburi lake lipo Kinondoni karibu na kaburi la Kanumba, pia picha take inatumiwa kwenye Avatar ya mmoja wa wana JF.
 
Nadhani kama mawazo na mtazamo wa Kambona vingefuatwa labda nchi yetu isingekuwa na umaskini huu! Sema ndio hivyo tena Mwalimu Nyerere alikuwa mbishi na kaubabe fulan hivi! R. I. P Kambona wewe ni shujaa usiye imbwa!
 
Ubarikiwe mkuu
 
Ndg usione watu wanatoa koment za pumba humu ukawadharau

Kuna watu ni so smart humu wanajitoa akili tu
 
Vitu vingi kwenye historia ya TZ vimetiwa kapuni kutokana na maslahi binafsi ndo maana hata la kambona sishangai
 
 
Nadhani kama mawazo na mtazamo wa Kambona vingefuatwa labda nchi yetu isingekuwa na umaskini huu! Sema ndio hivyo tena Mwalimu Nyerere alikuwa mbishi na kaubabe fulan hivi! R. I. P Kambona wewe ni shujaa usiye imbwa!
Na tungeufuata ushauri wa Kambona khs ubepari pengine leo 80% ya ardhi yetu ingemilikiwa na Viongozi wa CCM kama ilivyo kwa Kenyatta family huko Kenya.

Maskini wa Tz yule choka mbovu kukuta anamiliki heka 5 ni kawaida tu nenda Kenya hapo utakubali mziki arifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…