Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Ujamaa umeyagharimu mataifa mengi sana duniani, ujamaa ni mfumo wa hovyo sana.
 
Ujamaa ni mojawapo ya scam kubwa kuwahi kutokea duniani.
 
Prof. Karibu tena Jamvini kwa mijadala ya nguvu.
 
Le Profeseri hii hoja hukupata like hata moja.
Anyways unaweza sema Tena hivi kwasasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa mpakani mwa nchi husingiziwa Sana kuwa sio Watanzania....inauma Sana hizi mentality

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof. Karibu tena Jamvini kwa mijadala ya nguvu.
Ameshaonja utamu wa CCM usidhani atajadili ishu against CCM. Anajipanga kwa 2025 ubunge wa mezani waliopewa itakuwa ngumu sana lazima ajipange na asiwaseme masponsa wake CCM.
 
Asante!.
 
[/QUOTE]Walimu tabia zao ndiyo hizo mpaka sasa.Kujiona wao ndiyo WANAJUA kila kitu na wengine wote ni wanafunzi wao.
 
Hapo kwa Musa na Firauni,mkuu umeua.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si wengi wanayafahamu hayo.
 
Kesi ya nyani uipeleke kwa ngedere?
 
Msome Mohamed Said jukwaa la historia utayajua mengi usiyoyajua.
 
Asante kwa hii story,, huyu mwamba Kambona alikua mtu na nusu hadi mchonga akamuona ni tishio kwake
 
Mimi nilimuamini Iddi Amin, kilichomg'oa Iddi Amin Uganda ni kama kilichomng'oa Jamshid Zanzibar. Ni Islamophobia tu, hakuna zaidi.
Umeanza sasa!!! km ni ivo basi alikuwa dhaifu sana,.... pamoja na kusaidiwa na lile jamaa renye mzuzu!!karafi sijui gadafi
 


History is written by the winners!Historia ya Tanzania iliandikwa na watu wa Nyerere!huwezi kuona kipande chochote kitakachomponda Nyerere katika historia ya TANGANYIKA ingawa Watanzania Leo tunayapambania mawazo ya OSCAR KAMBONA😄😄

Hii nchi ni yetu sote,binadamu tunatofautiana mitazamo,tunapotofautiana tutafute namna nzuri ya kukubaliana kutokukubaliana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…