1. Don't tell me when John Malecela led with the then VP to retrieve Mwalimu's remains from London he was happy that a "dictator" died! Don't tell me when JM called himsef in the presence of Mama Nyerere that "Baba ametutoka" and that he (Malecela) was a astudent of Mwalimu too!
Wooow! kwanza ilikuwa dictionary, sasa imekuwa Malecela, sio thread ya Mwalimu tena? yote ili kumsafisha tu Mwalimu kuwa alikuwa malaika! Mkuu Malecela anayo thread yake na haihusinani in anyways na hii thread, unless kuihamisha hapa hii thread haikutohsa sasa unataka ifutwe kabisaa, lakini hata kama anahusiana haibadili mawazo ya baadhi yetu wananchi kama mimi kuwa Mwalimu alikuwa dikteta, maana mamuzi mengi ambayo yamelididimiza taifa letu kiuchumi na kisiasa, yalianzishwa na kupitishwa na yeye binafsi bila ridhaa zetu wananchi, lakini alikuwa mjanja enough ku-cover his back ili aonekane kuwa ni wananchi ndio walioamua tena under the law, ndio maana viongozi wetu walipopata nafasi tu ya kufanya maamuzi yao bila ya kuingiliwa na Mwalimu, cha kwanza walivunja Azimio La Arusha, waliomkatalia Salim asiwe rais walikuwa ni wa-Zanzibari ambao Mwalimu siku zote za uwatwala wake alikuwa akipata taaabu nao sana kuwaweka kwenye mstari wake, tunajua yaliyowapata Seif, Seif Bakari, Jumbe, Idrisa, na wengineo,
Ni Mwalimu, aliyetupatia the frauds kina Mwinyi, na Mkapa, tena akatuchagulia kwa nguvu, bila ridhaa zetu, mimi sihitaji kusoma maana ya u-dikteta kwenye vitabu wakati nimeuona mwenyewe kwa macho yangu na kuuishi, nimelimishwa shuleni kama punda bila sababu, nimesoma Europe sikulimishwa hata siku moja, to this day sielewi kwa nini nilikuwa ninalimishwa mazao ambayo baadaye Mwalimu mkuu aliyauza na kutia hela mfukoni mwake bila yaa kuulizwa na mtu yoyote,
2. C'mmon I mean Nyerere had many shortcomings and human flaws but a dictator? I mean mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni! He WAS NOT A DICTATOR.. no Sir he was not!
The ishu sio udikteta wa Mwalimu, kwani as long unailazimisha hiyo ishu kuwa dikteta badala ya shortcomings za Mwalimu kiuongozi na the outcome kwa taifa letu, basi utakuwa na a lot to say, lakini ukweli ni kwamba pamoja na kusiaidia nchi yetu Mwalimu, ndiye aliyeiuua nchi yetu kisisasa na kiuchumi, hakuwa dikteta if that makes you happy, lakini lawama za matatizo yetu as a nation yanakwenda miguuni kwake, he was a fraud ndio maana leo tumekuwa a national of fraud people, wanafiki, waongo, wapenda sifa bila matendo,
I mean ni taifa gani duniani linalofanana na sisi bongo? Viongozi wanasema one thing in public halafu wanafanya mengine kabisa behind the scene? Wananchi wanaandamana kupinga mafisadi halafu wanaichagua CCM?
3. C'mmon I mean Nyerere had many shortcomings and human flaws
Mkuu ni kwenye hii statement yako ya mwisho ndio matatizo yote ya nchi yetu yalipoanzia, sasa cha kusikitisha ni kwamba kuna waliojaribu kumfahamisha kuwa he was on the wrong track, wakaishia kuhamishiwa ubalozini nje ya nchi, au kupumzishwa kabisaa, Nyerere was the greatest, lakini pia he wa a flawed human being ambaye hakutaka ushauri, I mean kuwa flawed ni one thing, lakini kukataa ushauri ni absolutely another ishu ambayo ndio hasa bongo we are paying for mpaka leo! Lakini at the same token he was good politicain wa kuweza ku-shift the blame kwa Kawawa na Malecela, Kawawa ndiye aliyeamua maduka ya ushirika na kuvunja co-operatives, lakini sio mimi mimi nilimwambia asifanye alivyofanya, Malecela ndiye anayeleta matatizo ya taifa maana hapendi muungano, na ndio maana taifa linadidimia kiuchumi!