Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Najua ushaumizwa mengi sana, ushakutana na ma-heart breaker,Kama huu wimbo wake mpya jamani kajamaa kameimba vizuri sana aiseee
Don't call me lover........I am innocent baby......Najua ushaumizwa mengi sana, ushakutana na ma-heart breaker,
Ila sio mimi, I am a good boy.
Walishazichezea hisia zako mpenzi wangu,
mwisho wa siku wakakuacha ukilia
Mapenzi ukayachukia,
ila sio mimi....;I am a good boy, I am a good boy.....
jamani hebu tumwagieni hapa hayo ya Kassim!Kassim anajua sana...sanaaaa!
Kwa nyimbo za mahaba hafai huyu mtu.
Moja kati ya nyimbo zake nizipendazo ni Usiende kwa mganga.
Eeeh bwana,anavyoimba taratibu...na ile video walivyoweza kuuvaa uhusika acha kabisa.
Shkamoo Kassim [emoji119]
Nahisi una umbo kama la jamaa ndo mana ume panickNatamani kukujibu ila naogopa heshima yangu kama inashuka vileee.....anyway ka mbway na iwe mbwayiii banaaaa....sie wenyewe utafiti unatutambua 1 out of 4...ahahahaha.
Tako na hips kajaaliwa sema babako kamzidiiiii.
Nipo nyuma yakoMwanzo mwisho huniambii kitu kuhusu Watu hawa
Afande selee
PR jay
Solo then ck njema
Huyo ni mdigo wa mkoa wa Tanga, halmashauri ya wilaya ya mkinga kwa yule jamaa aliyemtishia askari bastola, kwao kwaitwa MANZA BAY, ni mahali pazuri sana kwa utalii wa fukwe lakini viongozi wa mkinga wanazurura na kutishia wenzao.Habari zenu wakuu!
Nimefikiria kitu kuhusu huyu jamaa, katika tasnia ya mziki hapa Tanzania! Huyu jamaa yupo vizuri, ukisikiliza nyimbo zake kuna tungo nzuri kwa lugha yetu ya kiswahili fasaha pasipo kuchanganya lugha za kigeni, pia ana mashairi yaliyotulia pasipo kuwa na matusi au misamiati ya kipuuzi!
Hakika jamaa anatisha sana kuliko hata hawa 'waramba midomo' wa sasa.
Ongeza ulichoona kutoka kwa huyu jamaa!
Watu mnaomong'olewa hakuna mnachokiwaza zaidi ya hayo matako yenu!Hata Tako na hips kassim kajaliwa sanaaa
wimbo wake mpya ni mzuri sana lakini nashangaa kwanini haupati air time ya kutosha...jamaa ana kipaji sana?Kama huu wimbo wake mpya jamani kajamaa kameimba vizuri sana aiseee
Yani ni mzuri sana kwa kweli sema tu nyota hana.wimbo wake mpya ni mzuri sana lakini nashangaa kwanini haupati air time ya kutosha...jamaa ana kipaji sana?
Hivi Honey Faith huwa unakula ndizi au senene? kuna kitu nimegundua...
teh teh unajua kuna kitu nimekiangalia nikafikiri utakuwa unatumia ndizi na senene. Hongera...Yani ni mzuri sana kwa kweli sema tu nyota hana.
Sema kama unataka kuniletea ndizi na senene atiiiii acha maongezi marefuuuuu[emoji1] [emoji6]
Kitu gani hicho?teh teh unajua kuna kitu nimekiangalia nikafikiri utakuwa unatumia ndizi na senene. Hongera...
Basi ntawasiliana na atoto atakuletea ndizi na senene
dah! haya mashairi bwana yanakonga sn aisee, jamaa ni mtaalamu wa mashairi, kuimba mpaka sauti, namkubali sn huyu kakaAaah Awena sasa
Niliapa ukiondoka mpenzi, ntaondoka nawe
Sikuahidi kukufuta machozi, bali ntalia nawe
Ina maana hata kugeuka kunitazama hutaki Awena
Basi kama nakosa kwako nililofanya, nieleze Awena
Chozi langu la thamani unaliacha lianguke eeeh
Mti nilopanda zamani ina maana si chochote...........
Maneno matamu ulonipa chumbani, huku kichwa chako umelaza kifuani
Machozi yakikutiririka mashavuni
Kwamba hutoniacha mimi labda nitoweke duniani. ........
teh teh jikague... jamani mmh hata kwa macho uoni?Kitu gani hicho?
sehemu gani ambayo ujailewa?!Unataka kutuambia nini?