Xi jiping
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 628
- 920
Kwa umri uliofika.
1. Kama una miaka 30s Kuwa bilionea sahau/Waza mambo mengine.
2. Kama una 30s na hauko na hujawai kuingia kwene siasa bas we huwezi kuwa Rais hadi unakufa.
3.Wewe siyo Super human : Acha kuwaza kama uko kwene movie :
Kamwe usimwambie mtu “Utanifanya nn ww” vyakukufanya vipo zaidi ya 1000 hata kama umemzidi hela na nguvu
😂Jifunze kukubali itakusaidia kuboresha afya yako ya akili.
1. Kama una miaka 30s Kuwa bilionea sahau/Waza mambo mengine.
2. Kama una 30s na hauko na hujawai kuingia kwene siasa bas we huwezi kuwa Rais hadi unakufa.
3.Wewe siyo Super human : Acha kuwaza kama uko kwene movie :
Kamwe usimwambie mtu “Utanifanya nn ww” vyakukufanya vipo zaidi ya 1000 hata kama umemzidi hela na nguvu
😂Jifunze kukubali itakusaidia kuboresha afya yako ya akili.