Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Mbongo halisi ila siwezi mpa mtu mwingine lawama za failures zangu. Yani miaka 35 yote bado mnamlaumu Nyerere kama huo sio ujinga grade A1 I don't know what is.
That went over your head. Logic ni ile ile, mmepata maraisi wangapi toka JKN? Wote hao wameshindwa kurekebisha mapungufu yake? Nyerere alikaa madarakani 25yrs only, miaka mingine 35 ya kujiendesha wenyewe bado mnamlaumu JKN? Hamuoni hapo tatizo ni nyie kwa kushindwa kujiendsha? Playing blamegame au victimhood ni trait namba moja ya watu wavivu wa kufikiri wanaamini kila failure yao ni kosa la mtu mwingine. Msipojua hili huwezi kuendelea individually au collectively.

Sana mbona kwenye hoja zako unajivua u-bongo?
 
Angola asilimia kubwa ni wakatoliki. Wamekaa kwenye vita kuanzia 1975 mpaka 1991. But kwa sasa uchumi wao ni mkubwa kuzidi wetu kwa mbali tu.

Kuanza kulaumu kanisa kwa madhaifu ya kwake Nyerere binafsi ni kutowatendea haki wakatoliki
Asante Mkuu kuliweka hili sawa.Yani mtu anakosa hoja kila akiona tu mada inamuhusu Nyerere,Mkapa au JPM basi hapo hapo anaruka na Kanisa Katoliki.
 
Exactly. Hawa wanaotafuta cheap excuses itakua wanawalaumu babu zao as well kwa umaskini wao. Playing victimhood/blamegame will take you anywhere.
Nyerere kulaumiwa lazima alaumiwe, it's either umtetee with credible facts ama ukae kimya na kutizama mjadala sio ukatae Nyerere kulaumiwa. Hakuna mtu anatafuta excuse hapa, tume-adapt situation, tuka-improvise technical capabilities na ku-overcome vigingi vilivyowekwa na baba wa taifa.
Ila kusemwa lazima asemwe na watu waelewe where he went wrong! This is HISTORY mzee, hakuna mahali ya Tanzania imeandikwa!!
 
That went over your head. Logic ni ile ile, mmepata maraisi wangapi toka JKN? Wote hao wameshindwa kurekebisha mapungufu yake? Nyerere alikaa madarakani 25yrs only, miaka mingine 35 ya kujiendesha wenyewe bado mnamlaumu JKN? Hamuoni hapo tatizo ni nyie kwa kushindwa kujiendsha? Playing blamegame au victimhood ni trait namba moja ya watu wavivu wa kufikiri wanaamini kila failure yao ni kosa la mtu mwingine. Msipojua hili huwezi kuendelea individually au collectively.

Sana mbona kwenye hoja zako unajivua u-bongo?

Sijiweki kundi la walalamishi bila vitendo.
 
Nyerere kulaumiwa lazima alaumiwe, it's either umtetee with credible facts ama ukae kimya na kutizama mjadala sio ukatae Nyerere kulaumiwa. Hakuna mtu anatafuta excuse hapa, tume-adapt situation, tuka-improvise technical capabilities na ku-overcome vigingi vilivyowekwa na baba wa taifa.
Ila kusemwa lazima asemwe na watu waelewe where he went wrong! This is HISTORY mzee, hakuna mahali ya Tanzania imeandikwa!!

Carry on.
 
Unataka makosa yake yasisemwe ili liwe funzo. dogo umeazimisha kichwa ?
Sipingani na hoja yako lakini tafadhari unamkosea sana Kichuguu ukimwita dogo.Ungepitia mabandiko yake mengi hapa nina uhakika ungempatia heshima yake kwa kutomwita 'dogo'.
 
Ndugu yangu unajitahidi sana kutetea huku ikidokoa hapa na pale.

Umejitahidi sana kudokoa huku na huko lakini umeshindwa kuongeleazizi wa jambo lenyewe.

1. Ninaongelea kuondoa ujinga. Kwanza unatakiwa kila kijiji kuwepo na shule ya msingi. Jambo ambalo Mwalimu Nyerere kwa miaka yote 24 hakuweza kabisa. Zaidi ya vijiji havikuwa na shule za msingi.

2. Tunakuja kwenye shule za sekondari. Mpaka anaondoka kuna mikoa hakukua na shule hata moja ya sekondari. Mikoa mingine ilikuwa na shule zisizozidi mbili.

Nataka nikuambie wakati wa Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya mwananchi.
Shida hata hujui Tanzania hivyo vijiji vilikia havina watoto wa kutosha shule(ndio maana ya vijiji vya ujamaa) ili shule na huduma za jamii

Lakini pia hakukuwa na hao walimu wa kutosha (UPE concept)

Lakini shule zilizokuwepo zilitosheleza watoto waliokuwepo. Soma literature ya maswala ya elimu bro. Mwalimu alianzisha vyuo vya ualimu pia kukabiliana na upungufu wa walimu na alimudu kuondoa upungufu.

Shida ilikua ya kutokua na sexondary mikoa fulani ilikua ni wazazi kukataa watoto kwenda shule. Pia Nyerere alitaka kuwe na umoja wa kitaifa ndio maana watoto walipewa free pass (ticket) kusafiri kutoka mkoa anakotoka hadi shule aendayo bure iwe bus au treni.

WAkati wa Nyerere watanzania wengi sana walisomeshwa nje ya nchi kuliko hata sasa ukifanya in prportions
 
Ndugu yangu unajitahidi sana kutetea huku ikidokoa hapa na pale.

Umejitahidi sana kudokoa huku na huko lakini umeshindwa kuongeleazizi wa jambo lenyewe.

1. Ninaongelea kuondoa ujinga. Kwanza unatakiwa kila kijiji kuwepo na shule ya msingi. Jambo ambalo Mwalimu Nyerere kwa miaka yote 24 hakuweza kabisa. Zaidi ya vijiji havikuwa na shule za msingi.

2. Tunakuja kwenye shule za sekondari. Mpaka anaondoka kuna mikoa hakukua na shule hata moja ya sekondari. Mikoa mingine ilikuwa na shule zisizozidi mbili.

Nataka nikuambie wakati wa Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya mwananchi.
Shida hata hujui Tanzania hivyo vijiji vilikia havina watoto wa kutosha shule(ndio maana ya vijiji vya ujamaa) ili shule na huduma za jamii

Lakini pia hakukuwa na hao walimu wa kutosha (UPE concept)

Lakini shule zilizokuwepo zilitosheleza watoto waliokuwepo. Soma literature ya maswala ya elimu bro. Mwalimu alianzisha vyuo vya ualimu pia kukabiliana na upungufu wa walimu na alimudu kuondoa upungufu.

Shida ilikua ya kutokua na sexondary mikoa fulani ilikua ni wazazi kukataa watoto kwenda shule. Pia Nyerere alitaka kuwe na umoja wa kitaifa ndio maana watoto walipewa free pass (ticket) kusafiri kutoka mkoa anakotoka hadi shule aendayo bure iwe bus au treni
 
Nataka nikuongezee jambo hapa.
Kuna mtu mmoja aliitwa Oscar Kambona. Huyu aliweza kutendewa mambo ya ajabu sana na Mwalimu.

Kambona alipendekeza vyama vingi since independence. Bado Nyerere alikataa. Baada Nyerere aliweza kuwakamata ndugu zake Oscar Kambona na kuwafunga.

Kambona alikuwa Muumini wa kanisa la Anglican na alisomeshwa na viongozi wa Angican masuala ya Sheria huko Uingereza.

Inakuwaje vichwa kama hivi unaamua kuvipoteza kwa matakwa yako Binafsi. Kambona angesikilizwa hakika leo tungekuwa na katiba nzuri na nchi ya wasomi.
Nimeona Clip interview ya Kambona alikuwa smart sana na mwenye maono mazuri.
 
Naunga mko
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
No hoja
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
 
Nyerere unamuonea bure.

Nyerere amekuta nchi iko so disorganized, magonjwa, ujinga, umaskini wa kutupwa na ukabila

Nyerere alikua na mlima mrefu sana wa kupanda, kwanza kuhakikisha chembechembe za ukabila zinakufa na kuleta umoja, kupambana na ujinga, kuhakikisha watu wanajua hata kusoma na kuandika. Ulitaka awape elimu gani kama hata kusoma na kuandika hawajui? Ulitaka awape elimu ya uraia wakati hata kusoma hawajui?

Mwalimu kakuta pepopunda, surua, polio, kifua kikuu, kifaduro, kwashakoo na magonjwa mengine yametamalaki kwa watanzania, ulitaka awape alimu ya uraia huku akiwaacha wafe?

Mwalimu kakuta Watanzania ni mafukara wa kutupwa, hawana matumaini ya kesho, akaanzisha vijiji angalau wawe pamoja ili iwe rahisi kuwaletea maendeleo kwa sababu walikua so scattered and disorganized, akaanzisha mashamba ya ushirika ama sustainable farming, akahakikisha anapeleka watu shule wakasome waje wampokee ma kubadilisha nchi kina Chenge na wengine, matokeo yake, wamekua wezi.

Nyerere alipigana kuanzisha viwanda, mashamba ya vijiji, na mambo mengine mengi bila kuuza ardhi hata kipande kimoja kwa waarabu wala wazungu.

That man died poor, had nothing kwa kuwapigania Watanzania

Na alivyokua mwema yule bwana, alipotoka madarakani aliangalia nyuma, akaona failures zake na success zake, akakiri kwamba kweli kuna mahala alifeli, na sababu kubwa za failure za mwalimu zilikua nje ya uwezo wake, kumbuka oil crisis and financial crisis za 70s and 80's.

Yule jamaa alipoona he can continue failing, akajipumzikia yeye mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote. Angeweza kufia madarakani.

Tukubaliane kwamba CCM ndio ya kulaumiwa, ila kumpa Nyerere zigo la lawama ni kumuonea. Yule bwana aliachia hii nchi miaka zaidi ya 35 iliyopita, hao wengine waliofuata walifanya nini?
Kenyata mbona alijitahidi? King mohamed wa pili wa morocco je?nyerere alikuwa hovyo kabisa
 
Mimi m
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Wenyewe namlaumugi nyerere,alikosea Sana kuseti mfumo wa chama kimoja.hapo ndo nchi ilifia.akaseti demokrasia feki,apo Hadi Leo nchi Imekufa imeoza.akaseti mfumo wa ,wenye nchi,wala nchi na Waliwa na Nchi😭😭😭😭.yani wananchi Kila siku ni kurudi nyuma,yaani pesa aliyokuwa anapata boda mwaka 2010 na sasaivi 2023 ni maumivu tu,yaani nchi inarudi nyuma.yaani serikali ilitengeneza mfumo wa kumfilisi raia na kujinufaisha yenyewe na Wala Nchi wake.yani Uhuru niwa uoga,maendeleo hamna,wananchi asilimia 95 na zaidi hawaelewi nini kinaendelea,mpaka wengi wao wanaishi ili kusubiri kifo tu,yaani wanasindikiza dunia.raia Hana thamani😭😭😭😭,wenye thamani ni wenye nchi na Wala Nchi tu
 
Mimi m
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Wenyewe namlaumugi nyerere,alikosea Sana kuseti mfumo wa chama kimoja.hapo ndo nchi ilifia.akaseti demokrasia feki,apo Hadi Leo nchi Imekufa imeoza.akaseti mfumo wa ,wenye nchi,wala nchi na Waliwa na Nchi😭😭😭😭.yani wananchi Kila siku ni kurudi nyuma,yaani pesa aliyokuwa anapata boda mwaka 2010 na sasaivi 2023 ni maumivu tu,yaani nchi inarudi nyuma.yaani serikali ilitengeneza mfumo wa kumfilisi raia na kujinufaisha yenyewe na Wala Nchi wake.yani Uhuru niwa uoga,maendeleo hamna,wananchi asilimia 95 na zaidi hawaelewi nini kinaendelea,mpaka wengi wao wanaishi ili kusubiri kifo tu,yaani wanasindikiza dunia.raia Hana thamani😭😭😭😭,wenye thamani ni wenye nchi na Wala Nchi tu
 
N
Wakati tunapata uhuru 1961 population ya Watanzania ilikuww 10.3m.

Miaka 24 ya utawala wa mwalimu Nyerere hakuweka kipaumbele kwenye elimu. Utaratibu ulibaki uleule mpaka leo. Eti kiongozi wa kisiasa sifa yake ni kujua kusoma na kuandika tu!!!

Mtu hajui hata sera za nchi, hajui hata international politics, hajui hata Historia ya taifa lake, hajui hata jiografia anakuwa Kiongozi. Alishindwa kuwapa kipaumbele viongozi wa kisiasa ili kwamba yeye aendelee kutawala tu.

For 24 years alishindwa kuweka utaratibu mzuri wa upatikanaji wa viongozi. Mpaka leo hii zimwi hili linatumaliza. Unakuta mtu anachaguliwa kuwa mbunge hajui chochote kuhusu nchi hii.

Ni hatari mno.
NDugu,tumekwisha,Yani nchi ilizama pabaya,kiongozi hana uzalendo,wananchi wanapewa elimu ambayo kimataifa haina thamani,hamnaga uchaguzi wa haki,yani sio Siri tumekwisha,nchi hii haitoboi,eti tuje tuwafikie hata Kenya,Yani mpka yesu anarudi atatukuta tunajikongojakwa
Huyu Ndugu ya Shetani The Evil Genius
Ametumwa na waleeee!

Ingawa anatumia haki yake kikatiba,lakini tuseme wazi kwamba waliomtuma kuja kuleta upumbavu wake humu.

Ni mawakala wa shetani.ni wale ambao mambo yamewaelemea huko DP-WORLD na sasa wanayafuta upenyo wa kupata wa kumuangushia jumba bovu.

Lakini muelewe jambo moja tu....

Nyerere ataendelea kuwa Baba wa Taifa na kiongozi mahiri kuwahi kutokea Katia historia ya nchi hii.

Na sio ndani ya Tanzania pekee bali Duniani kote.
What are the principles of Nyerere's philosophy?

Nyerere's concept of African socialism is based on three major tenets: work by everyone and exploitation by none; equitable distribution of resources which are produced jointly, and equality and respect for human dignity (Thenjiwe & Thalia, 2009).



"What is the contribution of Nyerere in education for liberation?

Adult education, lifelong learning and learning for liberation. In the Declaration of Dar es Salaam Julius Nyerere made a ringing call for adult education to be directed at helping people to help themselves and for it to approached as part of life: 'integrated with life and inseparable from it'."
KwaIyo umeandika kiingereza ili iweje kwenye posti ya kibongo,Kama hutaki kuchangia si unyamaze tu.unajua wazi lugha yetu tuliyosetiwa na nyerere,mpka mwana chuo wa udsm kiingereza chake Cha kubabaisha bwege Sasa kwanini utusumbue,au namimi nikiandika kichina utajisikiaje?😡😡😡😡😡
 
Mwl alifeli pia kwa kukitukuza kiswahili na kukipromote kuwa lugha ya taifa .
Tunetengeneza taifa ambalo lipo isolated sana na dunia. Watu wanahitaji akina mkandara kutafsiriwa cnn english news.
Viongozi wakihojiwa na media zetu utaskia kidogo lugha yetu haina misamiati ngoja nitumie kizungu hapa
 
Back
Top Bottom