Ukweli usemwe: Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson

Ukweli usemwe: Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson

Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.

Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.

Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.

Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.

Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
MR NICE WA SASA HUYO
 
Naona watu wanamfananisha pele na ronadihno,maradona na messi.kila mmoja ni bora katika era yake. vijana wa sasa wa kizazi kipya huwezi kuwashawishi eti MJ ni bora kuliko Chris brown na kinyume chake ni sahihi.kila flavour ina wakati wake na mtu wake.MJ alikuwa mkali enzi zake na wakati wake ushapita na mfalme kwa sasa ni Chris brown
Wewe ni mgeni na mtoa mada, kuna kitu kalenga mwenzio
NB: komasava
 
Generational gap. Huwezi mwambia mtu kwamba MJ au Pelle ni wakali ambao hajawaona kuliko CB au Messi ambao kawaona.

Aidha nini cha ajabu CB kucheza wimbo wa boss wako anayekuweka mjini wewe sinza pazuri ? Inakuaje hii kuwa trending topic kwamba CB kacheza tu wimbo wako? Could the bar be any lower? Mtu kucheza wimbo wako nayo ni topic mbona mitanganyika mnakua empty set sana. Mondi anajua ila hizi sifa za rejareja sio level yake hizo angewaachia wasanii wanaojitafuta.
 
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.

Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.

Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.

Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.

Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Hata Chris Brown mwenyewe atakwambia umeongea pumba..
 
Kwa mindset hii una uhalali wa kuona Chris Brown yupo juu ya Michael Jackson maana Muziki wa huko mbele huujui mkuu.

Maana kwa mtu anaeelewa, unawezaje kumuweka Adele mbele ya Whitney Houston, Celine Dione na Madonna kwenye mauzo ya album 😁😁. Cha kukusaidia tu, kwa hicho kigezo, adele hayupo hata top 5 ya best albums sales by female artists
Wewe ndio hujui, ficha ujinga wako
 
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.

Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.

Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.

Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.

Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Kuna watu mnavuta bangi ya Malawi si ndio ?
 
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.

Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.

Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.

Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.

Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Kizazi cha mwaka 2000 bana
 
Generational gap. Huwezi mwambia mtu kwamba MJ au Pelle ni wakali ambao hajawaona kuliko CB au Messi ambao kawaona.

Aidha nini cha ajabu CB kucheza wimbo wa boss wako anayekuweka mjini wewe sinza pazuri ? Inakuaje hii kuwa trending topic kwamba CB kacheza tu wimbo wako? Could the bar be any lower? Mtu kucheza wimbo wako nayo ni topic mbona mitanganyika mnakua empty set sana. Mondi anajua ila hizi sifa za rejareja sio level yake hizo angewaachia wasanii wanaojitafuta.
Jifunze kujenga hoja kama huwezi kufanya reasoning kaa mbali na mijadala yenye mantiki
 
Jifunze kujenga hoja kama huwezi kufanya reasoning kaa mbali na mijadala yenye mantiki

Mwambie boss wako CB kucheza wimbo wake sio sifa kwa mtu wa calibre yake. Hizo sifa awaachie kina manfongo wanaojitafuta. Yeye afanye collabo na hao kina CB. Nashangaa sana wamatumbi mnavyoshoboka mtu kucheza tu wimbo, really?
 
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.

Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.

Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.

Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.

Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.

Una miaka mingapi ya kuzaliwa?
 
CHRIS BROWN NI MJUKUU WA MICHAEL JACKSON ,USHER RAYMOND NI MTOTO WA MICHAEL JACKSON ,KIUFUPI MICHAEL JACKSON NI BABU YAKE CHRIS BROWN HOPE UMENIELEWA NA NAHISI WEWE NI KIZAZI CHA 2000 PLUS HAUJUI MAGWIJI WA KUVUNJA VUNJA DANCERS MUSICIAN
 
Toa data ya album sales za adele ambazo zimemzidi hata Whitney au Mariah.. Najua huwezi so endelea na kushabikia WCB
Mimi sifanyi kazi ya kutafutia data watu wasio na uelewa wa mambo.
 
Back
Top Bottom