Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
MR NICE WA SASA HUYONajua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Wewe ni mgeni na mtoa mada, kuna kitu kalenga mwenzioNaona watu wanamfananisha pele na ronadihno,maradona na messi.kila mmoja ni bora katika era yake. vijana wa sasa wa kizazi kipya huwezi kuwashawishi eti MJ ni bora kuliko Chris brown na kinyume chake ni sahihi.kila flavour ina wakati wake na mtu wake.MJ alikuwa mkali enzi zake na wakati wake ushapita na mfalme kwa sasa ni Chris brown
Sasa kwanini hakufata CB? Huyo CB level zake ni USHERUkiweka kigezo cha mauzo ya album basi baada ya Michael Jackson anafata Adele
Labda kama unamuongela Master Jay....Wewe umekalilishwa, hata nyimbo tano za Michael Jackson huzijui wewe ni mtu wa vigodolo 😂😂
hakuna kama kipo kitaje?Vijana wa zamani hakuna kitu chao kimezidiwa na kitu cha sasa 😂
Hata Chris Brown mwenyewe atakwambia umeongea pumba..Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Wewe ndio hujui, ficha ujinga wakoKwa mindset hii una uhalali wa kuona Chris Brown yupo juu ya Michael Jackson maana Muziki wa huko mbele huujui mkuu.
Maana kwa mtu anaeelewa, unawezaje kumuweka Adele mbele ya Whitney Houston, Celine Dione na Madonna kwenye mauzo ya album 😁😁. Cha kukusaidia tu, kwa hicho kigezo, adele hayupo hata top 5 ya best albums sales by female artists
Kuna watu mnavuta bangi ya Malawi si ndio ?Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Kizazi cha mwaka 2000 banaNajua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Jifunze kujenga hoja kama huwezi kufanya reasoning kaa mbali na mijadala yenye mantikiGenerational gap. Huwezi mwambia mtu kwamba MJ au Pelle ni wakali ambao hajawaona kuliko CB au Messi ambao kawaona.
Aidha nini cha ajabu CB kucheza wimbo wa boss wako anayekuweka mjini wewe sinza pazuri ? Inakuaje hii kuwa trending topic kwamba CB kacheza tu wimbo wako? Could the bar be any lower? Mtu kucheza wimbo wako nayo ni topic mbona mitanganyika mnakua empty set sana. Mondi anajua ila hizi sifa za rejareja sio level yake hizo angewaachia wasanii wanaojitafuta.
Toa data ya album sales za adele ambazo zimemzidi hata Whitney au Mariah.. Najua huwezi so endelea na kushabikia WCBWewe ndio hujui, ficha ujinga wako
Chris Msanii mzuri ila bado sana kufikia level za MJ, usidanganyike na ma Auto tune, mpe mic Live Chris na mpe mic live MJ, kuna live show kibao fanya comparison mwenyewe, kuna Vocals MJ anafika ambazo sio rahisiSo point yako ya msingi ni umri wangu?
Sio MJ kamzidi nini Chris Brown?
Jifunze kujenga hoja kama huwezi kufanya reasoning kaa mbali na mijadala yenye mantiki
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Mimi sifanyi kazi ya kutafutia data watu wasio na uelewa wa mambo.Toa data ya album sales za adele ambazo zimemzidi hata Whitney au Mariah.. Najua huwezi so endelea na kushabikia WCB
Hivyo vyote ulivyotaja Chris kamfunika Michael Jackson.Chris Msanii mzuri ila bado sana kufikia level za MJ, usidanganyike na ma Auto tune, mpe mic Live Chris na mpe mic live MJ, kuna live show kibao fanya comparison mwenyewe, kuna Vocals MJ anafika ambazo sio rahisi
Angalia hii video halafu Nioneshe kitu kama hiki kwa Chris
View: https://m.youtube.com/watch?v=V4Ghagx6Mek&pp=ygUSVm9jYWxzIG9ubHkgTUogY2Fu