sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #101
Usishangae siku moja ukawa mwajiriwa wa mtoto wa 2000 ndio utajua kutangulia kuzaliwa sio kila kituCHRIS BROWN NI MJUKUU WA MICHAEL JACKSON ,USHER RAYMOND NI MTOTO WA MICHAEL JACKSON ,KIUFUPI MICHAEL JACKSON NI BABU YAKE CHRIS BROWN HOPE UMENIELEWA NA NAHISI WEWE NI KIZAZI CHA 2000 PLUS HAUJUI MAGWIJI WA KUVUNJA VUNJA DANCERS MUSICIAN
We dogo wa 2000 bila shakaNajua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Hapana mimi wa 1970s nasikia watu wa 1900s ndio tuna akili nyingi sana na tunajua kila kitu kizuri kuliko watoto wote wa 2000?We dogo wa 2000 bila shaka
Tupe fact tuone kwel kamzidNajua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado tunakumbuka kuwa boss wenu aliliwa kota na pdidy msijisahaulishe
Mwanafunzi anakuwaje mkali kuliko mwalimu wake.
Chris alikuwa dansa wa Wacko Jackson
Hauna akili,Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.