Ukweli usemwe: Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson

Ukweli usemwe: Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson

CHRIS BROWN NI MJUKUU WA MICHAEL JACKSON ,USHER RAYMOND NI MTOTO WA MICHAEL JACKSON ,KIUFUPI MICHAEL JACKSON NI BABU YAKE CHRIS BROWN HOPE UMENIELEWA NA NAHISI WEWE NI KIZAZI CHA 2000 PLUS HAUJUI MAGWIJI WA KUVUNJA VUNJA DANCERS MUSICIAN
Usishangae siku moja ukawa mwajiriwa wa mtoto wa 2000 ndio utajua kutangulia kuzaliwa sio kila kitu
 
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.

Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.

Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.

Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.

Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
We dogo wa 2000 bila shaka
 
Niliona juzi Fat Joe anahojiwa akasema kama isingekuwa Chris brown kumdunda Rihanna basi historia ingemuandika kama ndio mrithi sahihi wa Michael Jackson na pengine dunia ingemsahau MJ badala yake CB angekuwa mbadala wake,Ikanibidi nitumie kutwa nzima yangu ya leo kurudia video za MJ na baada ya kutoka Youtube naingia Jamiiforums nakutana na mjadala huu.
 
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.

Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.

Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.

Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.

Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Tupe fact tuone kwel kamzid
 
Utoto raha sana,
sema wew Ni mshikaji flani ambae una masihala Sana Mimi binafsi Nisha kuzoea.
 
KUfikia hapa tuna jumla ya kura 108, na kati ya hizo mkuu sana sinza pazuri umejinyakulia kura mbili pekee, na hata hizo mbili pia bado zina utata, maana kuna mjumbe amepiga kura mara mbili, hivyo pia kuna uwezekano wa kutupilia mbali kura zake zote, na ikiwa hivyo basi utabaki na kura 0 ,you probably cant fight them,better join them,asante.
 
Wakuu mtoa uzi nadhani ana mawenge ya kukutana na p Diddy.

Asamehewe
 
Chriss brown mwenyewe aliwahi kusema msimfananishe na MJ... Hakuna kama Michael Jackson aisee huyu jamaa alikua ni mtu mwingine kbsaaaaa...fikilia tu album yake ya (Thriller 1988) ndo album inayoshikilia record ya mauzo makubwa duniani mpaka leo 2024 JUST IMAGINE 😁

Kingine Michael Jackson alikua akienda nchi fulani anapokelewa mapokezi ya kiserikali yani ni kama kiongozi mkubwa kaja atapewa ulinzi mkubwa yani sijui umeelewa sema ngoja niishie hapa...maana naweza nisimalize 😂😂
 
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.

Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.

Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.

Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.

Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Hauna akili,

1. MJ ana Grammy awards 15 wakat CB ana 1.

2. Record ya jumla ya mauzo kwa MJ ni Milion 340 wakat CB ni milion 140.

3. MJ ana mark/identity yake kt dancing style wakat CB hana.

4. Thriller ya MJ iliyotoka mwaka 1988 imebaki kuwa album bora zaidi Duniani hadi leo, (ni bora kwa kila kitu)

5. Utajiri wa MJ unakadiriwa kufika $2.4 billion Wakat CB anakadiriwa kuwa na utajiri wa $1.145 billion.

6. MJ amewah fanya tour mwaka 1992 akaiita 'Dangerous Word tour' inasemekana alifikiwa watu zaidi ya milion 3.5 kt matamasha 69 aliyoyafanya Duniani (hii sio you tube viewers) bali ni wahudhuriaji kweny concert zake.

7. 'Heal the World Foundation' ambayo ilikuwa full donated na MJ ilisaidia watoto wengi sana Duniani, Wakat CB yeye ni scandal za madem akina Karrueche Tran, Rihhana n.k..

8. Mtandao wa YOUGOV unamtaja MJ 'as the most famous all-time music artists'


Nimechoka kuandika.. kakojoe ulale
 
Back
Top Bottom