cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Acha kabisaa yaan, [emoji3][emoji3][emoji3]hahahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisaa yaan, [emoji3][emoji3][emoji3]hahahahahaha
Sio sababu maana huwa anakuona mara kwa mara ukiiponda Wcbno wonder umejiunga 2019 ndio maana unaona mimi ni hater wa WCB
Mimi ninachosema safari hii kweli mmakonde kawaweza WCB
Mondi na Hamisa hawajahi kuachana ile publicity ndo wanishindwa OG Naona anapost vipicha picha vya hotelWema sepetu mwenyewe sikuhizi hashtui kashachuja long, mond labda arudiane na hamisa
Hamisa naye huwa hakui na huyo vunjabei ataishia pabayaMondi na Hamisa hawajahi kuachana ile publicity ndo wanishindwa OG Naona anapost vipicha picha vya hotel
Hawa hawarudiani sababu hawaachanagi..yani misa ni permanent sidechick wa Dai. akiitwa anaenda anakimbia teh tehWema sepetu mwenyewe sikuhizi hashtui kashachuja long, mond labda arudiane na hamisa
Hamisa kichwa box aiseeHawa hawarudiani sababu hawaachanagi..yani misa ni permanent sidechick wa Dai. akiitwa anaenda anakimbia teh teh
Anaenda chap kupoza rim eeh 😀😀😀Hawa hawarudiani sababu hawaachanagi..yani misa ni permanent sidechick wa Dai. akiitwa anaenda anakimbia teh teh
Kuchukua child support [emoji1787]Anaenda chap kupoza rim eeh [emoji3][emoji3][emoji3]
Wanawake wengi, na hili ni tatizo la umaskini kwa nchi zetu za ki africa. Wanawake kuna mazingira wana act kama kichwa box ili wapate kitu, ila kiu harisia wanajua ukweli na wana akili sana sema ndio ivyo. Ni kama wana siasa wetu wa Tz, leo anasema hiki, siku akipewa mlo anakana yote.Hamisa kichwa box aisee
🙂🙂🙂.. wazazi wale ila, ndio maana kuao mwanamke alie zaa na mtu na huyo mtu alie zae akiwa yupo hai ni mtihani. Mda wowote mtoto anawaunganishaKuchukua child support [emoji1787]
Wanawake wa daimond wanaumizwa kihisia ila kisa umaskini na ustar inabidi tu wawe wapole ingekuwa marekani au ulaya huu ujinga hauvumilikiWanawake wengi, na hili ni tatizo la umaskini kwa nchi zetu za ki africa. Wanawake kuna mazingira wana act kama kichwa box ili wapate kitu, ila kiu harisia wanajua ukweli na wana akili sana sema ndio ivyo. Ni kama wana siasa wetu wa Tz, leo anasema hiki, siku akipewa mlo anakana yote.
Level ya maisha ya ulaya na Tanzania havilingani. Na ndio maana huku imewezekana, maisha yapo chini, elimu finyu etc. Ndio maana huku kwetu kuna ukandamizaji wa kijinsia ulio wazi wazi, na hakuna shidaWanawake wa daimond wanaumizwa kihisia ila kisa umaskini na ustar inabidi tu wawe wapole ingekuwa marekani au ulaya huu ujinga hauvumiliki
Ni shida kweli huu uzalilishaji wa wanaume wallah, ila mastar wengi shule zero, pia mitazamo ya jamii na kutokujiheshimu ina promote Tabia chafu za kina diamond, imagine kipindi yule chris brown kampiga Rihanna na kumzalilisha ilimfanya apoteze Mambo mengi hadi makapuni ya biashara, ila huku wahuni na wapenda kiki kiupaumbele huyo mobeto mwenyewe tu kuuza kina Paula ingetakiwa apoteze balozi za matangazo yote ila bado tu ana dunda. In short Africa hatuna maadili na ustaarabu, huwa tunalaumu wazungu kuruhusu mashoga wakati hata huku kwetu ni wengi sana tu tunaweza kuwazidiLevel ya maisha ya ulaya na Tanzania havilingani. Na ndio maana huku imewezekana, maisha yapo chini, elimu finyu etc. Ndio maana huku kwetu kuna ukandamizaji wa kijinsia ulio wazi wazi, na hakuna shida
Maadili kila sehemu yameshuka na hii inatokana na mfumo wa dunia mzima, kuona kisichofaa kuwa kina faa. Ila changamoto kwa nchi za africa ni Rushwa katika sheria tulizo jiwekea, na matokeo yake haki zinashindwa kusimamiwa vile inavyo paswa, na hilo ndio linatofautisha na nchi za magharibi wanajua kusimamia kile walicho jiwekea kisawa sawa. Pia changamoto Sheria zetu nyingi wanapitisha watu wachache sana, huku wananchi wengi hawajui kinacho endelea na ndio maana tunachezea sana sheria tulizojiwekea maana hatupo serious kabisa. All ina all mtoto wa kike anaanza kujengewe misingi na baba na mama wawapo nyumbani iliyothabiti, tukikosea huko chini pia tusitegemee sheria kutulinda, sheria itakulinda ila mtu kaharibika na ndio maana kuna sarakasi nyingi sana zinaendelea.Ni shida kweli huu uzalilishaji wa wanaume wallah, ila mastar wengi shule zero, pia mitazamo ya jamii na kutokujiheshimu ina promote Tabia chafu za kina diamond, imagine kipindi yule chris brown kampiga Rihanna na kumzalilisha ilimfanya apoteze Mambo mengi hadi makapuni ya biashara, ila huku wahuni na wapenda kiki kiupaumbele huyo mobeto mwenyewe tu kuuza kina Paula ingetakiwa apoteze balozi za matangazo yote ila bado tu ana dunda. In short Africa hatuna maadili na ustaarabu, huwa tunalaumu wazungu kuruhusu mashoga wakati hata huku kwetu ni wengi sana tu tunaweza kuwazidi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hawa hawarudiani sababu hawaachanagi..yani misa ni permanent sidechick wa Dai. akiitwa anaenda anakimbia teh teh
Ni duniani kote yameshuka ila huku Africa tuna unaa mwingi ndo shida ilipo kuliko huko magharibiMaadili kila sehemu yameshuka na hii inatokana na mfumo wa dunia mzima, kuona kisichofaa kuwa kina faa. Ila changamoto kwa nchi za africa ni Rushwa katika sheria tulizo jiwekea, na matokeo yake haki zinashindwa kusimamiwa vile inavyo paswa, na hilo ndio linatofautisha na nchi za magharibi wanajua kusimamia kile walicho jiwekea kisawa sawa. Pia changamoto Sheria zetu nyingi wanapitisha watu wachache sana, huku wananchi wengi hawajui kinacho endelea na ndio maana tunachezea sana sheria tulizojiwekea maana hatupo serious kabisa. All ina all mtoto wa kike anaanza kujengewe misingi na baba na mama wawapo nyumbani iliyothabiti, tukikosea huko chini pia tusitegemee sheria kutulinda, sheria itakulinda ila mtu kaharibika na ndio maana kuna sarakasi nyingi sana zinaendelea.