Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
πππ unaa unatokana na ukosefu wa kazi za kufanya. Unafikiri huko ughaibuni baadhi ya nchi mtu ana vikazi vikazi kibao, anapata wapi mda wa unaa. Ufahamu ambao unao juu ya masuala ya kijinsia na haki za watoto, ni vyema watu wachache walio karibu yako wakanufaika nao. Tuwalinde watoto wa kike na mama. Na ndio maana enzi hizo vitani wababa walikuwa wanaenda mbele ( tangulia mbele ), ili kulinda familia zao, sasa siku hizi watu wanataka kuwa na malezi ya kijanja janja tu.Ni duniani kote yameshuka ila huku Africa tuna unaa mwingi ndo shida ilipo kuliko huko magharibi
Kitaalamu tunaita Errors πππSwala la Nandy na Billnass kitaalamu tunaliitaje mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Swala la Nandy na Billnass kitaalamu tunaliitaje mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ni kiki ya muda tu kama ile kiki ya kuanguka uwanjani baada ya mwezi tukamsahau, Diamond ni Undisputed kwenye mambo hayo usimfananishe na panya[emoji1][emoji1][emoji1]