Wanabadilisha wasivyotaka. Wanavyotaka hawabadilishi. Tena wanaviongezea kasi!Mbona vitu vingi Tu vya JPM vimebadilishwa kwahiyo uchawa umeshindikina
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Huna haja ya kujisema ili hali kila mmoja anajua kazi yako ya Uchawa,sema naona kama Mama kakuweka pembeni kimtindo. Ila husikaEnzi za Magu hata mi nilikuwa chawa maana kazi zake zilikuwa zinaonekana na unaweza kutetea hoja popote pale..yule hakuwahi kutetereshwa hata na mambo magumu ya wazungu..hadi kina profesa Lumumba wa Kenya alikuwa chawa wa Magu..huyo rais Uhuru Kenyata mwenyewe alikuwa chawa wa Magu ndio maana siku ya mazishi alimsihi samia asitoke kwenye njia aliyotengeneza Magu.
Kuna mbunge mmoja wa chadema alisema hata wao wakikaa wenyewe wanasema ee huyu jamaa ni jembe kweli. Ila wakija hadharani wana act kumpinga.
Kwani hujui kuwa wajinga ni wengi kuliko watu wanaojielewa? Wingi wa wajinga ndiyo ulikuwa mtaji wake. Ndiyo maana hakuna mtu anayejielewa aliwahi kumkubali Jiwe ukiachana na machawa wakeMnaomusema vibaya, ni wachache sana, mkiongozwa na changudoa, wenu Mange na, mnaotumia mitandao ya jamii. Na ambao mlikuwa na ma tatizo ya vyeti fake. Lakin wengi huko mitaani wanamlilia kama, walivyojitokeza, kumlilia.
Jibu unalo mdogo Angu. Ndio uchawa umeshindikana.Mbona vitu vingi Tu vya JPM vimebadilishwa kwahiyo uchawa umeshindikina
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
,,,,,,,Ukweli ndiyo huo.
Tatizo la wabongo wengi mnapenda kulazimisha watu wawasikilize umbumbu wenu. Wote mna akili za kipumbavu na kijinga kama changudoa wenu Mange na Kigogo. Yaan mmpo frustrated .Huna haja ya kujisema ili hali kila mmoja anajua kazi yako ya Uchawa,sema naona kama Mama kakuweka pembeni kimtindo. Ila husika
Kwani hujui kuwa wajinga ni wengi kuliko watu wanaojielewa? Wingi wa wajinga ndiyo ulikuwa mtaji wake. Ndiyo maana hakuna mtu anayejielewa aliwahi kumkubali Jiwe ukiachana na machawa wake
Halafu issues kama hizo huwa Sina mpango nazo toka, muda mrefu na, Sina hata, wazo. Nipo busy na pesa kijana. Issues za kufokewa niiliziacha siku nyingi. Na mm nilikuwa napiga, interview sio huo ujinga wa memo. Nipo vizur kichwani.Uchawa
Sasa Mange na huyo Kigogo wamefikaje hapa? Pole mkuu acha makasiriko utaishi vizuri,,,,,,,
Tatizo la wabongo wengi mnapenda kulazimisha watu wawasikilize umbumbu wenu. Wote mna akili za kipumbavu na kijinga kama changudoa wenu Mange na Kigogo. Yaan mmpo frustrated .
Umewahi kuangalia serious interview za MWIJAKU???? ukamsikiliza kwa umakini hoja anavyozijenga????Mtu mwenye uwezo wa kujenga hoja zinazoweza kuleta maendeleo kwa nchi ukianzia na maendeleo yake binafsi. Pia asiwe mtu ambaye anaweza kuzivua akili zake na kuamua kuwa chawa
Walazimisha legacy ambayo haipoHili ndio walinda legasi hawataki kulisikia
Kwa wasio na akili kama wewe wanamuona mzalendo muuaji na mwizi mkubwa yuleHuo ndo uchawa wenye manufaa. Sio huu wa kisemana bila kazi.
Hakutawhi tokea mwanasiasa mzalendo kama JPM.
Vya kurithi vinazidiWaliolisi wamezidi kiwango hatari sana
Kweli lakiniHayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.
Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".
Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.
Lawama zote kwa bwana yule.
Hahahaha....akikutajia niite mbwa nimekaa pale😂😂Siyo Watanzania,sema machawa. Hakuna mtu yeyote mwenye akili ambaye aliwahi kumsifia. Kama wabisha mtaje hata mmoja
Acha ibaki hivyo,Mkuu kwani wewe huna akili? Kama umeona ni swali jibu kama uko na jibu,kama umeona ni maelezo sema pita. Siyo kila kitu mpaka utafuniwe
Unadhani ukitumia nukuu ndio nini?,hao ni watu walikuwa na mawazo kama yako,mageuzi yatakuja wananchi wakitaka si mkiti wa ccmHili tatizo halituhusu wananchi. Ni tatizo la uongozi wa CCM na makada wake. Anayeweza kulimaliza ni mtu mmoja PEKEE: Mwenyekiti wa CCM - AKITAKA.
Mleta mada katuonyesha chimbuko la tatizo. Kazi nzuri kabisa. Wale wasiokumbuka waliyopitia wamelaaniwa kuyaishi tena - George Santayana.
Completely off point. Aya yangu ya kwanza inasimama kama ilivyo na ya pili inaiimarisha. Kama hujui nafasi ya nukuu zenye msingi wa kimantiki duniani sio tatizo langu.Unadhani ukitumia nukuu ndio nini?,hao ni watu walikuwa na mawazo kama yako,mageuzi yatakuja wananchi wakitaka si mkiti wa ccm
sahihi kabisa, hayo mambo hayakuwepo kwani viongozi wanatimiza wajibu waoHayati Magufuli alikuwa anapenda sana kusifiwa na alichukia kukosolewa mana aliamini yeye yuko sahihi zaidi au anajua mengi zaidi kuliko wengine wote.
Watu wakajifunza kucheza na biti na kuanza kumsifia, kila atakae simama akaanza kumpa sifa yeye kwa " maono yake yaliotukuka na kazi nzuri".
Wapo waliotoka upinzani kwa kigezo cha "kuunga mkono juhudi" juhudi za magufuli ambazo zilionekana kua hakuna yoyote aliewahi kufika level zake za utendaji.
Lawama zote kwa bwana yule.