BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Huyu jamaa huwa ni mnyakyusa au mchagga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Aseee nimecheka sanaHawa hawa ndio walimponza mzee Yusuph akajidai na kulia kabisa weee ila alipoanza kushindia vitumbua kama dozi kutwa mara tatu mpaka akikohoa mzee Yusuph alikua anakohoa vitumbua akaona cha kufia na njaa nini
Hahaha Extrovert ukishika hela na wewe utakuwa na huu ufala!?Alipojitangaza kuacha ya dunia wakamsifu sana. Zikasomwa dua, wakawa wanashinda kibarazani kwake, kila mara wanapita kumsaidia kuiimarisha imani asije ibilisi akamrudia, kabla ya chai wameshifika kwake, na wao wapo kwenye ratiba ya chai, wanaendelea kugalagala kibarazani wakisimuliaana khadithi za zama hizo, mchana wapo kwenye ratiba ya chakula cha mchana kama kawaida.
Jamaa akastuka bajeti imemuelemea, maana kwake paligeuzwa kama mgahawa, akanadilisha, wakawa wakija anawalisha kashata za machicha ya nazi, wakaanza kupungua huku wanamlalamikia kuwa ana choyo, haitakiwi mtu aliyeshika dini kuwa na choyo.
Alipoanza kukamatiwa mali zake ili alipe madeni ndiyo wakamkimbia mazima wakidai hayo ndiyo malipo yake kwa kuwalisha Kashata watu wanaoshinda naye kwakekumsaidia kuilinda imani.
Jamaa akauona huuu mbona ni umaandazi sasa, akatafuta mike, gitaa, vinanda akarudi mjini.
Kwani ni lazima afanye hivyo vyote ndio aupate mkate?sasa akipumzika kufanya vyote hivyo, atapata wapi mkate wake wa kila siku?
muandishi aliposema aachane na shughuli za mikiki mikiki hukumuelewaHuyu kijana utoto unamsumbua anadhani watu wanaokota pesa bila kufanya kazi
Prof Jay ni overrated tu ila ni wa kawaida though ni rapper mzuri. Level yake hiyo watu kama wakina Nikki mbishi na Fid Q walipita kitambo tu.Professor J, a.k.a nigger J, the heavy weight MC, mwanalizombe, J wa mitulinga na mengine mengi mengi kaimba nyimbo nyingi sana maarufu.
Miongoni mwa nyimbo alizoimba ni pamoja na;
Zari la mentali
Bongo Dar es Salaam
Chemsha bongo na nyinginezo
Watu hawajui kuwa ule ugonjwa ulikomba kila senti aliyokuwanayo mpaka akaanza kutembeza bakuli! Yaani!! Wee acha tuu! Alikuwa anatia huruma! Sasa baada ya kurudi na kusimama kwa miguu yake lazima apambane! Ata kama atapata maswaibu ili mradi anatafuta hela kihalali haina shida! "Be rich or die trying" by 50cent! Ana mke na watoto na yeye music na siasa ndo vilimpa jina ni lazima arudi katika asili yake broh!Utamtunzia mke na watoto ?
Atakula nini akiacha na ndiyo kazi yake?muandishi aliposema aachane na shughuli za mikiki mikiki hukumuelewa
Umezaliwa mwaka gani?Prof Jay ni overrated tu ila ni wa kawaida though ni rapper mzuri. Level yake hiyo watu kama wakina Nikki mbishi na Fid Q walipita kitambo tu.
70’sUmezaliwa mwaka gani?
Ni mtazamo wako BigProf Jay ni overrated tu ila ni wa kawaida though ni rapper mzuri. Level yake hiyo watu kama wakina Nikki mbishi na Fid Q walipita kitambo tu.
Hapo kazi gani asa anafanya?Bora kufa UKIWA KAZINI,
Yeah!Ni mtazamo wako Big
Unavyomuona kapona yule?Kwani Daktari wake anasemaje?kwahyo ukiumwa sana ukapona hutakiwi kurudi tena kwenye mihangaiko yako?