Ukweli usemwe: Lissu yupo kwenye mission ya kuiua CHADEMA

Ukweli usemwe: Lissu yupo kwenye mission ya kuiua CHADEMA

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
 
Magufuli alisema ameufuta upinzani wa Chadema 2020.

Mimi nikajua Chadema ilishajifia kama Magufuli kumbe ipo.

Au siku hizi kuna kifo mara mbili?
IMG_20240819_200007.jpg
 
Tundu Lissu ameamua kuia Chadema kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani.

Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa.

Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti Chadema either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

Chadema hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu. Chadema ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Naunga mkono hoja Lissu asipewe friji lake bovu!
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Sawa kabisa mwache ajikaange kwa mafuta yake na ataishia kama Msigwa tu.
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Mtu anaitisha press masaa 48 baada ya press ya Kamati kuu ya chama chake lengo linakuwa aidha kufifisha press ya chama na kutaka kusikika yeye tu.

Lissu anaamini kukizodoa Chama chake anajijenga yeye kisiasa au anataka kufanya nini huyu ?

To be honest nimepoteza Imani na Lissu as a Presidential material kwa sasa namuona Kama ni busy body tu.

Lissu anatakiwa akumbushwe wanasiasa mashuhuri hufanya siasa zao kwa mikakati na akili siyo midomo isiyo na break.

cc Retired ,Nguruvi3 au Lissu ndiyo kirusi alichokisema paschal Mayala ?
 
Kama kuna mtu kaua hicho chama ni Mbowe mwenyewe.

Sio lazima, Chadema kuchukua nchi akiwa bado yeye ni mwenye kiti, Aruhusu watu wengine washike madaraka.

Kitendo cha kung'ang'ania uenyekiti, Ndo kunafanya wengine waone its all about himself.

Lkn, pia hawajawekeza kwenye kujenga vijana wapya, Yaaani Vijana wapya machachari kama akina Lisu zito enzi hizo hatuna chadema.

Mwishowe, ikifika kipindi cha uchaguzi tunaanza kuokoteza okoteza wagombea kama sasa hivi
 
Lissu hafai kuwa kiongozi wa juu.
1.Hana shukrani
Rais Samia&Mbowe wanajua hili.
2.Hana adabu
JPM aliliona hili...
3.Hawezi kudhibiti
mdomo wake.
Wana CDM mnalijua...
4.Ana kiburi&ujuaji.
Mungu amsaidie!
 
Mtu anaitisha press masaa 48 baada ya press ya Kamati kuu ya chama chake lengo linakuwa aidha kufifisha press ya chama na kutaka kusikika yeye tu.

Lissu anaamini kukizodoa Chama chake anajijenga yeye kisiasa au anataka kufanya nini huyu ?

To be honest nimepoteza Imani na Lissu as a Presidential material kwa sasa namuona Kama ni busy body tu.

Lissu anatakiwa akumbushwe wanasiasa mashuhuri hufanya siasa zao kwa mikakati na akili siyo midomo isiyo na break.

cc Retired ,Nguruvi3 au Lissu ndiyo kirusi alichokisema paschal Mayala ?
Ya ndani huyajui wewe tulia. Mbowe siyo Mungu wenu lazima akubali kapoteza ushawishi.

Angekuwa na shule angalau kidogo siku ile kajikuta anaandamana mwenye angejiuzuru!!
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Mbowe jana ameongea vizuri majungu yenu ya mitandaoni.
Haya unayoandika leo ni mawazo yako ya kimajungu
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Sasa mmehamia kwa Lissu baada ya kumshindwa Mbowe.

Amandla...
 
Back
Top Bottom