sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.
Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.
Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.
Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.
Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.
Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.
Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.
Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.
Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.
Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?
CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.
CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.
Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.
Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.
Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.
Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.
Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.
Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.
Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.
Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?
CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.
CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.