Ukweli usemwe: Lissu yupo kwenye mission ya kuiua CHADEMA

Ukweli usemwe: Lissu yupo kwenye mission ya kuiua CHADEMA

cc @Retired ,@Nguruvi3 au Lissu ndiyo kirusi alichokisema @paschal Mayala ?
Ukisha kuwa na rejea ya mtu kama huyo hapo mwisho, wewe tayari ndiye "kirusi" mwenyewe!

Hivi nikuulize mkuu 'Al Watan'; ile taarifa ya tathmini ya uchafuzi iliyo wasilishwa na Mwenyekiti kwenye ile' press'; wewe uliona ilibeba jambo gani muhimu sana ambalo limedumu katika fikra za walio sikiliza aliyo wasilisha Mwenyekiti Mbowe pale?
Kuna jambo ambalo wewe binafsi lilichukua fikra zako na kuliwaza kwa kina kiasi kwamba usinge penda livurugwe na mawazo mengine ndani ya masaa 48?

Kuna baadhi ya maoni uliyo andika hapo juu kumhusu Lissu, ambayo nami ningependa ayatilie maanani; lakini kwa ujumla wake, CHADEMA haihitaji aina ya uongozi ulio poa kama anao uonyesha Mbowe sasa hivi. Hiyo CHADEMA anayo iongoza sasa hivi Mbowe, inasubiri tu muda ufike iungane na CCM ya Samia. Mark my words.
 
Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini
EEeeeennHEEEE!
Sasa hapa ni nani yupo kazini?

Yaani umejitoa akili zote kichwani na kujisahau kabisa mwenyewe!

Kama Lissu anaiua CHADEMA, si ndiyo itakuwa nafuu kwenu? Lakini naona mnaweweseka zaidi na anayo fanya Lissu; ikiashiria wazi kabisa kuwa kinyume chake ndiyo hofu kubwa kwenu.

Kama kweli hamuipendi CHADEMA, au mna hofu na CHADEMA, fanyeni bidii ya kumsaidia Lissu aimalize hiyo CHADEMA haraka!
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Watanzania kwanini huwa mnapenda watu wanafiki wanafiki lakini wanaosema ukweli wa mambo hamuwapendi?
Wanaomsema lissu kusema ukweli ndiyo hao hao wanaolaumu wabungu na wanachama wa ccm kwa kutosema ukweli na kuitetea serikali kwa kila jambo.
Hivyo inabidi msilauku wana ccm kuficha siri za chama chao pia ikiwemo rushwa, uvunjifu wa sheria n.k. maana wanafichiana siri za viongozi.
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Deep state bongo??nachokiona kwako na wenzako waliokutuma ni uoga,lissuphobia ndio kinachowatesa mnajua vizuri lissu ni unbreakble.
 
Mbowe asipokuwa makini chama chake kitavurugwa na Lissu. Afanye maamuzi magumu ya kumtimua. Hata sisi CCM tunamkubali sana Mbowe na uongozi wake.
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Actually,
mwamba wa kaskazini ameshanotice hilo gentleman,

Na hili liko wazi kwamba,
Lisu hawezi kufaulu kua makamu mwenyekiti wa chadema Taifa tena, lakini pia hawezi kua mgombea urasi kupitia chadema kama anavyotarajia..

hiyo ni miongoni mwa mipango mikakati ya kistaarabu ya mwamba wa kaskazini kumdhoofisha na kumshinikiza huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.

Hata hivyo,
kwa jinsi anavyojitanabaisha, ni wazi anapewa backup na mabwenyenye ya magharibi, kitu ambacho chadema chini ya mwamba wa kaskazini, haitakubali kwamba kua painted as platform ya neo colonialism, through huyo kiongozi muungwana 🐒
 
Mission yake ishakamilika! Anakuja kuungana na Makonda kujenga CCM, hakuna adui au rafiki wa kudumu kwenye siasa
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Actually,
mwamba wa kaskazini ameshanotice hilo gentleman,

Na hili liko wazi kwamba,
hawezi kufaulu kua makamu mwenyekiti wa chadema Taifa tena, lakini pia hawezi kua mgombea urasi kupitia chadema kama anavyotatajia..

hiyo ni miongoni mwa mipango mikakati ya kistaarabu ya mwamba wa kaskazini kumdhoofisha na kumshinikiza huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kujibandua mwenyewe ndani ya chadema..

Hata hivyo,
kwa jinsi anavyojitanabaisha kwa kiburi na kuchochea migawanyiko, ni wazi anapewa backup na mabwenyenye ya magharibi, kitu ambacho chadema chini ya mwamba wa kaskazini, haitakubali kwamba kua painted as platform ya neo colonialism, through huyo kion muungwana 🐒
 
LaSalaleh!
LOooh! hata siku moja sikuwahi kuyawaza hayaaa...EEEeeeenHHeEEEE!

Hata kwa kweli sijui kama tafsiri yenyewe ndiyo hiyo. Lakini kama ndiyo yenyewe; basi itafunua mengi ambayo yamekuwa magumu kuyaelewa hadi sasa kuhusiana na mtindo wa uongozi anao utumia sasa Mwenyekiti wa chama.
Jitaidi kuwa na macho ya nje na ya ndani....
 
CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Niliposema huyu ndugu yetu si Presidential Material, "nilijiwa juu" na wanazi wa mihemko isiyo na tija!
 
1733978958387.jpg
 
T@ss mission soon will be successful! Macho yetu yako Syria kufuatilia kuanguka kwa Assad regime!
 
Lissu hafai kuwa kiongozi wa juu.
1.Hana shukrani
Rais Samia&Mbowe wanajua hili.
2.Hana adabu
JPM aliliona hili...
3.Hawezi kudhibiti
mdomo wake.
Wana CDM mnalijua...
4.Ana kiburi&ujuaji.
Mungu amsaidie!
Ninacho jua mimi na kinachojulikana na wote wenye ufahamu na akili timamu ni kwamba TUNDU LISU ni mtu smart sana na hataki unafiki kabisa,

huwezi kumlazimisha TUNDU LISU akubali kiwa chura naye ni samaki eti kisa nayeye anakaa kwenye maji,

TUNDU LISU hawezi kukubali kuchotwa ufahamu eti kisa uliwahi kumsaidia na kwamba msaada wako kwawe ndiyo iwe tiketi ya kukufichia uovu wako au kuto kukukosoa ukikosea , TUNDU LISU atasimama kwenye ukweli bila kujali kama ana maslahi na wewe au hana ili mradi tuu uwe umekosea, huyu bwana si mnafiki na hapendi uchawa na si muumini wa kunyenyekea waovu hata kama wana wadhifa mkubwa, hivyo ndivyo alivyo TUNDU LISU.
 
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Misukule ya mzee mbowe acheni kuteseka hii SACCOS ni lazima izaliwe upya .Msomi Lissu kazia hapo hapo
 
Back
Top Bottom