Ukweli usemwe: Lissu yupo kwenye mission ya kuiua CHADEMA

Lissu ndio mwanasiasa mwenye mvuto chadema,wakati huu chadema inamuhitaji Lissu kuliko wakati wowote,Lissu ana wafuasi wengi wa wapenda mabadiliko kuliko cdm hii iliyolala usingizi na kusubiri fikra za mwenyekiti pekee.
 
Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Yericko Nyerere ebu ingia chimbo utupatie taarifa kama Abdul alimtembezea miamala kama ulivyochunguza Mialama kutoka Ujerumani kwenda kwa nusu kipenyo jepesi tozi bweka.
 
Aliuzwa swali hilo akakwepa wakati anajua bila Mbowe, Chadema isingekuwepo. Hafai wamuachie tu aende anakotaka kwenda.
 
Amechangiwa kununua gari akauchuna
Huyu anaangalia maslahi yake tu akidhani atakuwa mwenyekiti ili ale mali pia
Sijawahi kuwaamini wanasiasa kabisa na hata huyu hana uzalendo bali njaa tu
Wawe chama tawala wala upinzani wote ni sawa tu
Kila mmoja anaangalia tumbo lake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…