Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Sanaa na ujuaji mwingiMdau hiki kizazi kipya cha huu mziki kimejaa mashabiki mihemko tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaa na ujuaji mwingiMdau hiki kizazi kipya cha huu mziki kimejaa mashabiki mihemko tu
Sikia mi pia ni mdau wa muziki especially wa kizazi kipya nishawasimamia wasanii halikadhalik kujitolea pesa zang mfukon ku support msanii na hata mchakato was Tuzo za TMA 2020 nilihusika, p funk na bongo record zili conquer muziki was bongo late 90's Kuja early 20's kipindi hcho studio chache na wasanii wengi wakina nigger Jay,afande sele, solo thank walifanyaje muziki km passion kutok moyon kutokan na vipaji vyao, pia mfumo uliwalazimu yaan tangu zaman pata umaarufu kafanye shoo ndo ule daz mwalimu, daz maskin jeur, dullysykes walifanyaje shoo kuishi inamaan hakukuwa na mambo ya digital marketing Wala mirabaha inamaan hata producer mwenyee alitegemea pesa ya umeme kutok kmwa wasanii ndo aishi,Wakuu kuna wakati ukweli lazima usemwe. Mambo ya kusema mtu aheshimiwe kwa kuwa alikuwa anatengeneza beats nzuri hizo ni heshima za uoga.
P Funk ambaye kiukweli zaidi ya kufanya production ya muziki na kupokea malipo hana jingine kubwa alilolifanyia bongofleva.
Kwa wasiofahamu wasanii wote waliokuwa chini ya bongo records hawana nyimbo au album wanazomiliki vyote anamiliki P Funk.
Ngwea amekufa maskini huku muziki wake unamilikiwa na P Funk mpaka leo anakula hela ya Ngwea.
Ukiona wimbo wa Juma Nature au Feruzi kwenye YouTube, Boomplay au digital platform yoyote usidhani ukisapoti unamsaidia msanii hiyo ni pesa ya Majani. Leo hii ikitokea bahati mbaya Juma Nature hatupo nae watoto wake watarithi nothing utajiri wake wa nyimbo ni mali ya watoto wa Majani kina Paula.
Huyu P Funk aliyekuwa anawapiga ngumi na mitama watoto wa kimaskini wakienda kuomba msaada wa kurekodi nyimbo zao.
Kumbuka pale bongo records kwenye utengenezaji wa beats waliusika watu wengi zeze ilitengenezwa na bizimani ila achukui hata sh 10, beat ya mikasi alitengeneza prof ludigo ila achukui hata sh 10 kina Marlon linje walikuwa wanapiga vinanda na vyombo vingine kwenye kutengeneza instrumental za wasanii haki zao za ubunifu anachukua nani kama sio mnyonyaji p Funk?
P Funk tunamuheshimu kwa kutengeneza beats ila zaidi ya production kaufanyia nini huu muziki?
P Funk uwa wakiitwa wasanii walipwe yeye anaenda kuchukua malipo kama nani? Kina Daz Baba wamekuwa vituko mtaani hela zao kwa nini unakula wewe PFunk?
Hii thread haiusiani na tukio lolote bali ukweli usiozungumzwa.
Yaani aitwe jmo kufuata mpunga halafu aende pf?Zipo kwenye contracts. Hutokaa umuone Nature ofisi za boomplay akifatilia malipo yake.
Wakiitwa wasanii kulipwa P Funk anaenda kama nani kwenye hela za Jmoe?
Walishinda Rufaa Mahakama Kuu wakina FA wakakata Rufaa Mahakama ya Rufaa - walishinda, na AY nafikiri ndio akapost picha amenunua mjengo USA.Tigo walishinda rufaa
Mpunga haukurudishwa kwa Tigo lakini. Hukumu haikutamka kwamba wanatakiwa kurudisha hela.Tigo walishinda rufaa
We ulishamuona wapi majani anapiga chombo cha muziki liveAcha uongo wewe!
Kama mkataba uliandikwa kijanja hakuna namna unaweza kuona vigezo na mashartiWakati hao wasanii wanasaini mkataba hawakuona vigezo na masharti?
Ndio nimewahi. Studio kwake Bamaga.We ulishamuona wapi majani anapiga chombo cha muziki live
Sawa Babu taleWakuu kuna wakati ukweli lazima usemwe. Mambo ya kusema mtu aheshimiwe kwa kuwa alikuwa anatengeneza beats nzuri hizo ni heshima za uoga.
P Funk ambaye kiukweli zaidi ya kufanya production ya muziki na kupokea malipo hana jingine kubwa alilolifanyia bongofleva.
Kwa wasiofahamu wasanii wote waliokuwa chini ya bongo records hawana nyimbo au album wanazomiliki vyote anamiliki P Funk.
Ngwea amekufa maskini huku muziki wake unamilikiwa na P Funk mpaka leo anakula hela ya Ngwea.
Ukiona wimbo wa Juma Nature au Feruzi kwenye YouTube, Boomplay au digital platform yoyote usidhani ukisapoti unamsaidia msanii hiyo ni pesa ya Majani. Leo hii ikitokea bahati mbaya Juma Nature hatupo nae watoto wake watarithi nothing utajiri wake wa nyimbo ni mali ya watoto wa Majani kina Paula.
Huyu P Funk aliyekuwa anawapiga ngumi na mitama watoto wa kimaskini wakienda kuomba msaada wa kurekodi nyimbo zao.
Kumbuka pale bongo records kwenye utengenezaji wa beats waliusika watu wengi zeze ilitengenezwa na bizimani ila achukui hata sh 10, beat ya mikasi alitengeneza prof ludigo ila achukui hata sh 10 kina Marlon linje walikuwa wanapiga vinanda na vyombo vingine kwenye kutengeneza instrumental za wasanii haki zao za ubunifu anachukua nani kama sio mnyonyaji p Funk?
P Funk tunamuheshimu kwa kutengeneza beats ila zaidi ya production kaufanyia nini huu muziki?
P Funk uwa wakiitwa wasanii walipwe yeye anaenda kuchukua malipo kama nani? Kina Daz Baba wamekuwa vituko mtaani hela zao kwa nini unakula wewe PFunk?
Hii thread haiusiani na tukio lolote bali ukweli usiozungumzwa.
Darassa anajilaumu vipi sasa?Kisheria kuna ile haki inaitwa exclusive right, kwamba kama msanii ameuza mpaka exclusive right basi anakuwa hana haki tena na hiyo kazi.
Mfano, nasikia Darassa aliuza album yake boomplay kwa milioni 140 hivi (na exclusive right), baadae wimbo wake wa I Like It ukatumika kwenye movie na boomplay wakalipwa milioni 600, akaanza kujilaumu.
Professor J , alishasema yeye sio kwamba alikuwa anataka hizo hela bali, huko bungeni kuna watu walikuwa wanaropoka kuwa serikali imemsaidia prof kupata stahiki za huo wimbo! Ndipo prof aka clarify kuwa yeye hakulipwa ,ili asije daiwa kodi kwa kitu ambacho hajapokea malipo, maana kipindi kile wapinzani bungeni huko walikuwa kwenye vita na serikali ile ya awamu ya 5... !,Unajua nini Ndugu Mdau!? "Haki Haiombwi" Bali "Inapiganiwa". Kama Prof. Jay anaamini ana Haki yake imedhulumiwa, hakuna aliyemkataza kuipigania. Majani alisafiri mpaka Uganda kuipigania haki yake.
BothHigi s2kizzy ni producer au beat maker
Ova
Ikaaamuliwa vipi hio rufaa?Tigo walishinda rufaa
Acha uongo Familia ya ngwair walikuwa hawjaui hata Kama pesa zipo alipelekewa mama yake Milion. 4 hakuwa anajua Kama kuna pesa acha Upuuzi na uongo Kama hajui mambo kaaa Kimya na Alishangaa Nina clip hiyo ntaitaftaWewe kiumbe mwenye chuki wivu na roho mbaya kwa kila binadamu aliyefanikiwa tunaongea tunayoyafaamu P Funk ana miliki rights za nyimbo za wasanii wote waliokuwa bongo records. Unaita watu machawa alafu unawashwa unajisogeza.
Mama yake Ngwea alifatilia hela za mwanae akaambiwa zipo kwa p funk akaenda kupewa kama msaada. Tena mil 1 baada ya hapo hela za marehemu anakula p funk bila hata aibu wala utu.
Hizo beats zenyewe alikuwa anatengeneza peke yake? Kinanda chenyewe hajui kupiga, anamgawia nani hela za ubunifu mbona anakula zote peke yake mnyonyaji mkubwa yule?
Mikka hao hao kina Majani na wenzake walimfsnyia figisu jamaa akakosa vibali vya kazi na kuondoshwa nchini, sawa na Produsa Dunga. Yaani uwepo wao ukawa ni kama tishio kwa maprodusa wazawa, zikafanyika figisu za muziki Mikka Mwamba akaondoka kurudi kwao. Wasanii wakimtaka wamfuate huko, ila jamaa ni kama alipenda sana kuishi Tanzania. Alipokuja 2017 au 2018 kama sikosei, interview yake na Millard ayo, unaona kabisa jamaa hakupenda kuondoka. Commission zake zitakuwa zinachukuliwa na FMJe commision za Mikka Mwamba anachukua nani?
Sasa kama ni vibali si angetafuta vibali.Mikka hao hao kina Majani na wenzake walimfsnyia figisu jamaa akakosa vibali vya kazi na kuondoshwa nchini, sawa na Produsa Dunga. Yaani uwepo wao ukawa ni kama tishio kwa maprodusa wazawa, zikafanyika figisu za muziki Mikka Mwamba akaondoka kurudi kwao. Wasanii wakimtaka wamfuate huko, ila jamaa ni kama alipenda sana kuishi Tanzania. Alipokuja 2017 au 2018 kama sikosei, interview yake na Millard ayo, unaona kabisa jamaa hakupenda kuondoka. Commission zake zitakuwa zinachukuliwa na FM