Vipi kuhusu Said Commorien pia ni same case?Mikka hao hao kina Majani na wenzake walimfsnyia figisu jamaa akakosa vibali vya kazi na kuondoshwa nchini, sawa na Produsa Dunga. Yaani uwepo wao ukawa ni kama tishio kwa maprodusa wazawa, zikafanyika figisu za muziki Mikka Mwamba akaondoka kurudi kwao. Wasanii wakimtaka wamfuate huko, ila jamaa ni kama alipenda sana kuishi Tanzania. Alipokuja 2017 au 2018 kama sikosei, interview yake na Millard ayo, unaona kabisa jamaa hakupenda kuondoka. Commission zake zitakuwa zinachukuliwa na FM
Yule ni beatmaker.Higi s2kizzy ni producer au beat maker
Ova
Acheni uzushi. Majani ana influence gani mpaka azuie watu wasipate vibali? Usikute hao kina Miika walikuwa wanafanya kazi kimagumashi bila vibali ndio maana wakazuiwa kufanya kazi. Huyo Dunga nishamuona anazurula mitaani na demu wake mzungu wala hakufukuzwa labda alikosa tu kibali cha kufanya kazi.Mikka hao hao kina Majani na wenzake walimfsnyia figisu jamaa akakosa vibali vya kazi na kuondoshwa nchini, sawa na Produsa Dunga. Yaani uwepo wao ukawa ni kama tishio kwa maprodusa wazawa, zikafanyika figisu za muziki Mikka Mwamba akaondoka kurudi kwao. Wasanii wakimtaka wamfuate huko, ila jamaa ni kama alipenda sana kuishi Tanzania. Alipokuja 2017 au 2018 kama sikosei, interview yake na Millard ayo, unaona kabisa jamaa hakupenda kuondoka. Commission zake zitakuwa zinachukuliwa na FM
uleta ushahidiP Funk anakula mpaka hela za marehemu Ngwea. Yeye p Funk anajinadi kama anapaza sauti juu ya haki za wasanii vipi mbona yeye anawanyonya mpaka leo?
Haki za ubunifu kwenye midundo mbona anawatapeli wenzie?
Tukemee unyonyaji wa P Funk
Kwenye music industry huwa hakuna swala la kulipia beat. With or without mkataba beat inabaki kuwa mali ya producer.Profesa anasema alilipa beat hiyo. Kwamba P Funk alimuuzia hiyo beat na hivyo yeye pia angestahili kupata mgao wa mapato ya hiyo ngoma.
Umemaliza kila kitu.Kwenye music industry huwa hakuna swala la kulipia beat, with or without mkataba beat inabaki kuwa mali ya producer
Vipi kama producer akiuza beat na exclusive right?Kwenye music industry huwa hakuna swala la kulipia beat. With or without mkataba beat inabaki kuwa mali ya producer.
Yeah, wapo ambao huwa wanaziuza na zinakuwa mali ya alitezinunua.Vipi kama P
Vipi kama producer akiuza beat na exclusive right?
Hawa jamaa wamerukwa na akili sio bure. Eti P Funk ana influence watu wanyimwe vibali! Hiyo influence kaitoa wapi!?Acheni uzushi. Majani ana influence gani mpaka azuie watu wasipate vibali? Usikute hao kina Miika walikuwa wanafanya kazi kimagumashi bila vibali ndio maana wakazuiwa kufanya kazi. Huyo Dunga nishamuona anazurula mitaani na demu wake mzungu wala hakufukuzwa labda alikosa tu kibali cha kufanya kazi.
Anaweza kuuza, kwani hiyo kisheria ni haki yake.Vipi kama P
Vipi kama producer akiuza beat na exclusive right?
Sasa kama mpunga haukurudishwa, nini maana ya wao kufungua kesi na kushinda!?Mpunga haukurudishwa kwa Tigo lakini. Hukumu haikutamka kwamba wanatakiwa kurudisha hela.