Ukweli usemwe: P Funk ndio mtu mnyonyaji zaidi kuwahi tokea kwenye historia ya Bongofleva

Ukweli usemwe: P Funk ndio mtu mnyonyaji zaidi kuwahi tokea kwenye historia ya Bongofleva

Juma lokole naona umejiwahi eti "Hii thd haihusiani na tukio lolote"
Naona chawa zimemwagwa kwenye social media kumshambulia Pfunk,unaweka lawama bila ushahidi tukuaminije?
Wewe una ushaidi kwenye kitu gani zaidi ya wivu na chuki za Kiswahili
 
Sipendi sana kuingilia mada za machawa siku hizi, ila nimona wewe nikujibu.

Kiuhalisia, huyo P Funk ana afadhali kuliko hao WCB.

PF hamiliki Album za wasanii ila anamiliki BEATS. Na ndio maana hujawahi kusikia Msanii analalamika.

Na kiukweli, wasanii wa zamani walipata pesa mnoooo.

Hakuna Msanii ambaye hakupata pesa. Kuna wasanii mpaka walikuwa wanatembea na pesa kwenye but I za gari.

Tatizo kubwa ukiwa msanii WCB ujue Ni Kama unafanya kazi ambayo Ni COMMISSION BASED.

Inatakiwa ufanye kazi halafu, iqe Shows, ngoma mitandaoni au endorsement kila kinachopatikana unakatwa 60% unapewa 40% kwa mkataba wa miaka 10.

Maana yake, unafonzea kila kitu. Miaka 10 kisanii hutakuwa na jipya tena.

Na baada ya kutoka hutakuwa unamiliki nyimbo yoyote Wala digital platform zako.

Kuna vitu watu huwa wanakubali kwasababu ya shida tu.
Wasafi washenzi tu
 
Wewe kiumbe mwenye chuki wivu na roho mbaya kwa kila binadamu aliyefanikiwa tunaongea tunayoyafaamu P Funk ana miliki rights za nyimbo za wasanii wote waliokuwa bongo records. Unaita watu machawa alafu unawashwa unajisogeza.

Mama yake Ngwea alifatilia hela za mwanae akaambiwa zipo kwa p funk akaenda kupewa kama msaada. Tena mil 1 baada ya hapo hela za marehemu anakula p funk bila hata aibu wala utu.

Hizo beats zenyewe alikuwa anatengeneza peke yake? Kinanda chenyewe hajui kupiga, anamgawia nani hela za ubunifu mbona anakula zote peke yake mnyonyaji mkubwa yule?
Nafikiri waliingia mgogoro na Prof. Jay baada ya P. Funk kuchukua hela kwa kampuni ya movie iliyotumia beat ya bombo clat ambapo original ni beat ya nikusaidiaje. Profesa alilalamika kuwa hakupewa hata senti
 
Wakuu kuna wakati ukweli lazima usemwe. Mambo ya kusema mtu aheshimiwe kwa kuwa alikuwa anatengeneza beats nzuri hizo ni heshima za uoga.

P Funk ambaye kiukweli zaidi ya kufanya production ya muziki na kupokea malipo hana jingine kubwa alilolifanyia bongofleva.

Kwa wasio fahamu wasanii wote waliokuwa chini ya bongo records hawana nyimbo au album wanazomiliki vyote anamiliki P Funk.

Ngwea amekufa maskini uku muziki wake unamilikiwa na P Funk mpaka leo anakula hela ya Ngwea.

Ukiona wimbo wa Juma Nature au Feruzi kwenye YouTube, Boomplay au digital platform yoyote usidhani ukisapoti unamsaidia msanii hiyo ni pesa ya Majani. Leo hii ikitokea bahati mbaya Juma Nature hatupo nae watoto wake watarithi nothing utajiri wake wa nyimbo ni mali ya watoto wa Majani kina Paula.

Huyu P Funk aliyekuwa anawapiga ngumi na mitama watoto wa kimaskini wakienda kuomba msaada wa kurekodi nyimbo zao.
Kumbuka pale bongo records kwenye utengenezaji wa beats waliusika watu wengi zeze ilitengenezwa na bizimani ila achukui hata sh 10, beat ya mikasi alitengeneza prof ludigo ila achukui hata sh 10 kina Marlon linje walikuwa wanapiga vinanda na vyombo vingine kwenye kutengeneza instrumental za wasanii haki zao za ubunifu anachukua nani kama sio mnyonyaji p Funk?

P Funk tunamuheshimu kwa kutengeneza beats ila zaidi ya production kaufanyia nini huu muziki?
P Funk uwa wakiitwa wasanii walipwe yeye anaenda kuchukua malipo kama nani? Kina Daz Baba wamekuwa vituko mtaani hela zao kwa nini unakula wewe PFunk?

Hii thread haiusiani na tukio lolote bali ukweli usiozungumzwa
Isipokuwa wasanii wachache waliokuwa wanalipia kazi zao, mfano Mike Mwakatundu aka Mike T ' Mike Tee' mnyalu - huyu alilipa album zake wakati wa kurekodi - anamiliki ngoma zake yeye mwenyewe

Wasanii wengine waliponzwa na umaskini wao. Walirekodiwa bure na kuambiwa watakua kwenye label kumbe ndio wanasainishwa mikataba ya ki- chifu mangungo
 
Nafikiri waliingia mgogoro na Prof. Jay baada ya P. Funk kuchukua hela kwa kampuni ya movie iliyotumia beat ya bombo clat ambapo original ni beat ya nikusaidiaje. Profesa alilalamika kuwa hakupewa hata senti
Ndio alichukua mabilioni yote mnyonyaji yule
 
Lakini pia Majani alitakiwa afanye kazi yote ile halafu asiwe na chochote cha kupata mbeleni? Mbona angekuwa ndiyo ananyonywa!
Majani anachofanya ni kama kile P Diddy amekifanya kwa wasanii wake, wanamfanya awe rich forever, ndio biashara ya muziki ipo hivyo duniani, ni ya kinyonyaji.

Kilichotakiwa kufanyika awali ilikuwa ni kugawana asilimia za mapato ya wimbo. Producer apate asilimia 50 na mwimbaji apate asilimia 50 kwa kuwa combination yao ndio imetoa wimbo (muziki). Sasa kinachozungumzwa hapa ni kuwa P Funk anamiliki 100% yaani mpaka maneno yaliyoimbwa kwenye nyimbo yeye ndio anayamiliki, hakuna cha mtunzi wala muimbaji.
 
Lakini pia Majani alitakiwa afanye kazi yote ile halafu asiwe na chochote cha kupata mbeleni? Mbona angekuwa ndiyo ananyonywa!
Kwa hiyo yeye kuwanyonya wenzie ndio sawa?
Kazi walizofanya kina Jay Moe, Nature, Feruzi, Mangwea etc unaona ni ndogo wasipate chochote kwenye ubunifu wao. Yeye kama ni producer mzuri angekuwa anatoa album za beats peke yake aone kama kuna mtu angenunua
 
Wakuu kuna wakati ukweli lazima usemwe. Mambo ya kusema mtu aheshimiwe kwa kuwa alikuwa anatengeneza beats nzuri hizo ni heshima za uoga.

P Funk ambaye kiukweli zaidi ya kufanya production ya muziki na kupokea malipo hana jingine kubwa alilolifanyia bongofleva.

Kwa wasio fahamu wasanii wote waliokuwa chini ya bongo records hawana nyimbo au album wanazomiliki vyote anamiliki P Funk.

Ngwea amekufa maskini uku muziki wake unamilikiwa na P Funk mpaka leo anakula hela ya Ngwea.

Ukiona wimbo wa Juma Nature au Feruzi kwenye YouTube, Boomplay au digital platform yoyote usidhani ukisapoti unamsaidia msanii hiyo ni pesa ya Majani. Leo hii ikitokea bahati mbaya Juma Nature hatupo nae watoto wake watarithi nothing utajiri wake wa nyimbo ni mali ya watoto wa Majani kina Paula.

Huyu P Funk aliyekuwa anawapiga ngumi na mitama watoto wa kimaskini wakienda kuomba msaada wa kurekodi nyimbo zao.
Kumbuka pale bongo records kwenye utengenezaji wa beats waliusika watu wengi zeze ilitengenezwa na bizimani ila achukui hata sh 10, beat ya mikasi alitengeneza prof ludigo ila achukui hata sh 10 kina Marlon linje walikuwa wanapiga vinanda na vyombo vingine kwenye kutengeneza instrumental za wasanii haki zao za ubunifu anachukua nani kama sio mnyonyaji p Funk?

P Funk tunamuheshimu kwa kutengeneza beats ila zaidi ya production kaufanyia nini huu muziki?
P Funk uwa wakiitwa wasanii walipwe yeye anaenda kuchukua malipo kama nani? Kina Daz Baba wamekuwa vituko mtaani hela zao kwa nini unakula wewe PFunk?

Hii thread haiusiani na tukio lolote bali ukweli usiozungumzwa
Beef
 
Baba levo akiwa kwenye Harusi ya wale wahuni Ile juzi aliongea akamaliza kila kitu , na akatoa sababu za Diamond kuwanyonga 60/40.....!!! Pfunk na yeye atoe sababu za kuwanyonga wenzake .... Alaf hapa duniani chance ya mtu kukurudishia fadhila baada ya kumsaidia ratio yake ni 1/10 ..... Ni kumnyonga tuu akifanikiwa usitegemee atarudi
 
Kwa hiyo yeye kuwanyonya wenzie ndio sawa?
Kazi walizofanya kina Jay Moe, Nature, Feruzi, Mangwea etc unaona ni ndogo wasipate chochote kwenye ubunifu wao. Yeye kama ni producer mzuri angekuwa anatoa album za beats peke yake aone kama kuna mtu angenunua

Hebu twende polepole kwani hio mikataba mnasainishwa kwa shuruti au? Ujue tatizo bongo wasanii wengi nyie ni mamburula mlikimbia shule alafu hamtaki kuajir wasomi kutwa kuja kulalamika kwa upuuzi mliosaini wenyewe.
 
Wewe kiumbe mwenye chuki wivu na roho mbaya kwa kila binadamu aliyefanikiwa tunaongea tunayoyafaamu P Funk ana miliki rights za nyimbo za wasanii wote waliokuwa bongo records. Unaita watu machawa alafu unawashwa unajisogeza.

Mama yake Ngwea alifatilia hela za mwanae akaambiwa zipo kwa p funk akaenda kupewa kama msaada. Tena mil 1 baada ya hapo hela za marehemu anakula p funk bila hata aibu wala utu.

Hizo beats zenyewe alikuwa anatengeneza peke yake? Kinanda chenyewe hajui kupiga, anamgawia nani hela za ubunifu mbona anakula zote peke yake mnyonyaji mkubwa yule?
Music production ina mambo mengi Sana aisee. Beats siku zote ni ubunifu wa producer. Kwa hiyo hakuna tatizo akila faida ya ubunifu wake.
 
Back
Top Bottom