Mkuu Sasa si utatumia pesa nyingi kulipia huduma ya kawaida.Sisi watumishi wa umma tunamshukuru katupandishia mishahara tuna uwezo wa kumudu gharama za maisha. Wengine mtajua wenyewe
Mataga tena? Sasa mbona Kuna zingine mwaka Jana mwezi wa 10 walizifuta, si wangeziacha tu ziendeleeSasa utapataje maendeleo bila kodi na tozo? Acha kulalamika mataga
Watanzania tupo radhi tule nyasi CCM iendelee kubaki madarakani.Kwa ufupi nionavyo mimi serikali ya ccm imeshindwa na haitaweza kuleta maendeleo tz kwasababu hawana sera nzuri ya kumkomboa mwananchi wa kawaida na utitili wa kodi.
Serikali ina matumizi makubwa sana. Wanatumia magari yenye gharama kubwa nayenye kutumia mafuta mengi. Rais wa ccm kitu kikubwa anachofikiria ni uchaguzi tu na kukibakiza chama madarakani kwa njia yoyote ile maana kuna genge kubwa lililojihalalisha kwamba keki ya taifa wanayokula isiwaponyoke kwa namna yoyote ile.
Mbaya zaidi serikali ya ccm sio wabunifu wa kujipatia mapato. Inchi ina rasilimali nyingi sana lakini linapokuja swala la kuongeza mapato ya Serikali, wanachoangalia ni kumkandamiza mwananchi wa kawaida kwa kumuwekea kodi lukuki na ndio sababu kubwa ya kila kitu kuwa na bei kubwa
We unashangaa hiyo laki 5 kwa matumizi ya laki 4? Hii bongo mtu analipwa laki 2 matumizi ni milioni 1 mzee.Mkuu Sasa si utatumia pesa nyingi kulipia huduma ya kawaida.
Kuna mtu nilimuuliza ni Bora ulipwe laki 5 kwa mwezi alafu mahitaji gharama iwe laki 4
Au ulipwe laki 3 alafu mahitaji gharama iwe laki 1.
Huwezi amini alichagua laki 5.
Kupandisha mshahara ni jambo zuri, Ila mfumuko ukiwa mkubwa thamani ya pesa inapungua hivyo hata huo mshahara uliopanda unakua hauna maana tena. Anyway......
Sio samia sema CCM nzima wameishindwa nchi. Hebu jiulize hivi tuna makamu wa raisi nchi hii?Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.
Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.
Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.
Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.
Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?
Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.
Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.
Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Makamu kapooza kama mkojo wa ngedere yaani huo umakamu ni kama kapewa ihsani. Tukidai katiba ifanyiwe marekebisho hawa mbwa wa ccm wanabweka humu JF. Wacha twende hivo hivo.Sio samia sema CCM nzima wameishindwa nchi. Hebu jiulize hivi tuna makamu wa raisi nchi hii?
Ujenzi wa mahospitali na mashule unakwenda kwa kasi na unakomba pesa nyingi.Huyu ana humanity lkn ndo hivyo uchumi wa wananchi unadorora.
Haya tuvumilie tuache kulalamika
MtanikumbukaUnaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.
Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.
Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.
Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.
Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?
Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.
Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.
Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Mfano huo wa "pembejeo, na ubora wa wa viutilifu", ni mfano mzuri sana, kwa maana unawagusa wananchi moja kwa moja.Nimekuelewa mkuu, hapo mwanzo nimesema kama unasimama nafasi ya Mwananchi wa kawaida nilikuwa na maana kubwa sana.... Tukiachana na hilo kuhusu Msumbiji kikubwa ni usimamizi mzuri usio na ubabaishaji mfano kwenye pembejeo serikali ya Msumbiji huwa inasimama kidete kuhakikisha si tu pembejeo zinapatikana kwa wakati bali pia zenye ubora, viuatilifu vyote ambavyo tunavipata kutoka Msumbiji huwa ni bora sana sana sana ukilinganisha na vya kwetu, SERIKALI YETU haina nia ya dhati ya kutusaidia, wanachohakikisha wao ni neema za matumbo yao tu!
Wajinga ndio mtamkumbuka Dhalimu wenu.Mtanikumbuka
Tozo ya mafuta imerejeshwa upyaaaaa !!Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.
Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.
Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.
Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.
Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?
Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.
Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.
Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Hameni Nchi nyie wazee wakulamu kila awamu, mbuzi nyie"UVIKO-19, ambapo kwa miaka miwili hapakuwa na uzalishaji"? Tanzania gani hiyo iliyozuia watu kwenda shambani na kufanya shughuli zao?
Labda aseme, bidhaa zinazotegemewa na wakulima, zinazoagizwa toka nchi za nje, kama Mbolea haikuweza kuagizwa toka huko, kwa vile nchi hizo zilifunga shughuli na usafirishaji wa bidhaa uliathirika. Lakini kama ni kwa wakulima wetu kulima alizeti, karanga, pamba, hakuna mkulima aliyeacha kwenda shamba kwa sababu ya UVIKO-19.
Yuko in right direction nchi iliharibiwa sana na mwendazake