Ukweli Usemwe: Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto

Ukweli Usemwe: Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto

Sisi watumishi wa umma tunamshukuru katupandishia mishahara tuna uwezo wa kumudu gharama za maisha. Wengine mtajua wenyewe
Mkuu Sasa si utatumia pesa nyingi kulipia huduma ya kawaida.
Kuna mtu nilimuuliza ni Bora ulipwe laki 5 kwa mwezi alafu mahitaji gharama iwe laki 4
Au ulipwe laki 3 alafu mahitaji gharama iwe laki 1.
Huwezi amini alichagua laki 5.

Kupandisha mshahara ni jambo zuri, Ila mfumuko ukiwa mkubwa thamani ya pesa inapungua hivyo hata huo mshahara uliopanda unakua hauna maana tena. Anyway......
 
Kwa ufupi nionavyo mimi serikali ya ccm imeshindwa na haitaweza kuleta maendeleo tz kwasababu hawana sera nzuri ya kumkomboa mwananchi wa kawaida na utitili wa kodi.

Serikali ina matumizi makubwa sana. Wanatumia magari yenye gharama kubwa nayenye kutumia mafuta mengi. Rais wa ccm kitu kikubwa anachofikiria ni uchaguzi tu na kukibakiza chama madarakani kwa njia yoyote ile maana kuna genge kubwa lililojihalalisha kwamba keki ya taifa wanayokula isiwaponyoke kwa namna yoyote ile.

Mbaya zaidi serikali ya ccm sio wabunifu wa kujipatia mapato. Inchi ina rasilimali nyingi sana lakini linapokuja swala la kuongeza mapato ya Serikali, wanachoangalia ni kumkandamiza mwananchi wa kawaida kwa kumuwekea kodi lukuki na ndio sababu kubwa ya kila kitu kuwa na bei kubwa
Watanzania tupo radhi tule nyasi CCM iendelee kubaki madarakani.
 
Mkuu Sasa si utatumia pesa nyingi kulipia huduma ya kawaida.
Kuna mtu nilimuuliza ni Bora ulipwe laki 5 kwa mwezi alafu mahitaji gharama iwe laki 4
Au ulipwe laki 3 alafu mahitaji gharama iwe laki 1.
Huwezi amini alichagua laki 5.

Kupandisha mshahara ni jambo zuri, Ila mfumuko ukiwa mkubwa thamani ya pesa inapungua hivyo hata huo mshahara uliopanda unakua hauna maana tena. Anyway......
We unashangaa hiyo laki 5 kwa matumizi ya laki 4? Hii bongo mtu analipwa laki 2 matumizi ni milioni 1 mzee.
 
Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.

Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.

Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.

Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.

Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?

Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.

Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.

Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Sio samia sema CCM nzima wameishindwa nchi. Hebu jiulize hivi tuna makamu wa raisi nchi hii?
 
Sio samia sema CCM nzima wameishindwa nchi. Hebu jiulize hivi tuna makamu wa raisi nchi hii?
Makamu kapooza kama mkojo wa ngedere yaani huo umakamu ni kama kapewa ihsani. Tukidai katiba ifanyiwe marekebisho hawa mbwa wa ccm wanabweka humu JF. Wacha twende hivo hivo.
 
Kimsingi Huyu MAMA Hana Huwezo Wa Kumaimaliza Miradi Ya Jpm Kwa Wakati.
.
Na Naona Kabisa Mradi Wa Bwawa La Nyerere Ukisitishwa na Kufa Kabisa.
.
Maana wasiopenda Mradi Ndio Hao Hao wameweka Wizara ya Nishati.
.
Wameanza Issue ya Gesi Asilia Wakijinasibu Eti Wao Watakuwa Monopoly Kwenye Gesi zaidi Ya Urusi na USA.
.
Yetu Macho Achana Tuone
 
Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.

Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.

Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.

Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.

Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?

Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.

Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.

Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Mtanikumbuka
 
Nimekuelewa mkuu, hapo mwanzo nimesema kama unasimama nafasi ya Mwananchi wa kawaida nilikuwa na maana kubwa sana.... Tukiachana na hilo kuhusu Msumbiji kikubwa ni usimamizi mzuri usio na ubabaishaji mfano kwenye pembejeo serikali ya Msumbiji huwa inasimama kidete kuhakikisha si tu pembejeo zinapatikana kwa wakati bali pia zenye ubora, viuatilifu vyote ambavyo tunavipata kutoka Msumbiji huwa ni bora sana sana sana ukilinganisha na vya kwetu, SERIKALI YETU haina nia ya dhati ya kutusaidia, wanachohakikisha wao ni neema za matumbo yao tu!
Mfano huo wa "pembejeo, na ubora wa wa viutilifu", ni mfano mzuri sana, kwa maana unawagusa wananchi moja kwa moja.
Tunalia na ukosefu wa mafuta ya kula, kila mwaka. Ukisikiliza kelele zinazopigwa na viongozi wetu juu ya uwezekano wetu kujitosheleza na kuuza nje bidhaa hiyo, utadhani Tanzania tuna nema ya ajabu sana.

Leo hii rais anasimama mbele za wananchi anazungumzia uhaba wa bidhaa hiyo hiyo. Anatoa amri bidhaa hiyo iagizwe toka nje kwa bei yoyote ile..., halafu anaishia hapo!

Kwani alizeti, karanga, pamba ..., mazao haya yanahitaji muda mrefu kiasi gani kuweza kuyazalisha ya kutosha ili tupate mafuta ya kutosha? Kwa nini tumeshindwa kila mwaka kuwahudumia wakulima ili wazalishe mazao haya kwa wingi ili tuondokane na adha hii ya kila mwaka?

Rais kasema, viwanda vipo, lakini havizalishi mafuta! Anaamrisha mafuta yaagizwe..., anaishia hapo! Huu ndio uongozi? Kweli anao moyo wa kujali maslahi ya nchi hii?
Kinachoonekana hapa, rais anao watu wake walio mstarini tayari kuagiza mafuta. Hawa ndio anaowajali. Wakulima na hivyo viwanda vilivyopo yeye hana habari navyo kabisa!

Samia ataididmiza Tanzania. Anaua kabisa hata ule moyo wa kudhani tunaweza kufanya na kujitegemea katika mambo kadhaa. Kujitegemea na Kujitosheleza katika mambo tuliyo nayo uwezo ndiyo njia sahihi kabisa ya nchi yetu kuendelea. Hatuwezi kuwa nchi ya kutegemea wachuuzi ndio watuletee maendeleo.
 
Ukweli mchungu ila umeze tuu

Screenshot_20220330-205324.png


Screenshot_20220330-163223.png
 
Nyumbu wameanza kusafiri kwenda Kenya kuzaa sasa, ilikua wasiojulikana sasa maisha. Kwa hiyo yeye ana kisima cha mafuta
 
Kuna kjj wese la mboga ni 8k kwa lita, kipande cha sabuni kinaanzia 700, ....
Nimekumbuka sehemu ya ule wimbo ..... Bora Nirudi Jela.
 
Hapo nchumbiji ndo vitu viwe bei nafuuuu, in mmakonde voice...
 
"UVIKO-19, ambapo kwa miaka miwili hapakuwa na uzalishaji"? Tanzania gani hiyo iliyozuia watu kwenda shambani na kufanya shughuli zao?

Labda aseme, bidhaa zinazotegemewa na wakulima, zinazoagizwa toka nchi za nje, kama Mbolea haikuweza kuagizwa toka huko, kwa vile nchi hizo zilifunga shughuli na usafirishaji wa bidhaa uliathirika. Lakini kama ni kwa wakulima wetu kulima alizeti, karanga, pamba, hakuna mkulima aliyeacha kwenda shamba kwa sababu ya UVIKO-19.
 
Unaposimama katika nafasi ya mwananchi wa kawaida ndio utaelewa ninachomaanisha.

Ni majuzi tu nilisafiri kwenda Mozambique.

Ile nchi haijatulia na haijawahi kutulia lakini nimeshangaa kukuta bei ya mafuta ya kula ikiwa ni nafuu mno.

Bei ya mafuta ya Kula ya Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya ile ya Msumbiji.

Dizeli, Petrol na Mbolea Msumbiji ni nafuu sana ukilinganisha na Tanzania, wanatuzidi wapi?

Nikirudi kwa mama, Mwaka mmoja wa kuwa madarakani kila kitu kimebadilika gharama za Maisha zimepanda mno, uonevu kwa wakulima wa Korosho umerudi upya.

Bei ya magari, TV, Computer n.k zimekuwa juu kabisa.

Kama hali itaendelea hivi uchaguzi unaofuata.
Tozo ya mafuta imerejeshwa upyaaaaa !!
 
"UVIKO-19, ambapo kwa miaka miwili hapakuwa na uzalishaji"? Tanzania gani hiyo iliyozuia watu kwenda shambani na kufanya shughuli zao?

Labda aseme, bidhaa zinazotegemewa na wakulima, zinazoagizwa toka nchi za nje, kama Mbolea haikuweza kuagizwa toka huko, kwa vile nchi hizo zilifunga shughuli na usafirishaji wa bidhaa uliathirika. Lakini kama ni kwa wakulima wetu kulima alizeti, karanga, pamba, hakuna mkulima aliyeacha kwenda shamba kwa sababu ya UVIKO-19.
Hameni Nchi nyie wazee wakulamu kila awamu, mbuzi nyie
 
Back
Top Bottom