Ukweli usiopingika Paul Makonda amerudisha heshima ya CCM kwa kila Mtanzania

Ukweli usiopingika Paul Makonda amerudisha heshima ya CCM kwa kila Mtanzania

Huwezi kuwa na chama tawala ambacho hakiwezi kuwajali wananchi waliokiweka madarakani.

Kero zao, shida zao lazima zisikilizwe kana kwamba wanawaamrisha waliowaweka madarakani

Makonda yupo sahihi kutoa matamko ili mawaziri wa CCM wasikilize kero za Watanzania.

View attachment 2829945
Kwa hiyo Makonda kupanda Punda Mbwa na Kuku kwenye Mikutano ndio kuifufua ccm? WAJINGA mpo wengi sana

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Umeme umeacha kukatika Hovyo, Nilikuwa simkubali kabisa makonda ila tangu siku kachaguliwa Umeme haukatiki hovyo tena, hali ilishakuwa mbaya sana.
 
Naunga mkono hoja, huu ndio ukweli wenyewe halisi, wanaopinga ni wanapinga tuu for the sake of kupinga tuu lakini ukweli huu nao wanauona kwa macho yao wenyewe!

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze!

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze..

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, piga kazi, tuko nyuma yako!

P
Mkuu hata wewe kabisa kwa umahiri na ubobevu wako mambo ya habari unaamini Makonda anatatua matatizo na kero za watanzania kwa njia hii ya show off barabarani?

Kwamba watanzania wasikilizaji masikini akirudi nyumbani kero na changamoto zinazowasibu zinayeyuka?

Kwamba Rais Samia, Makamo wa Rais, Waziri mkuu, Chongolo, mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya walivyo na wanavyo zunguka nchi hii hawasikilizi na kutatua kero za wananchi isipokuwa Makonda??

Mkuu niishie hapo maana unafikirisha!!!
 
Huwezi kuwa na chama tawala ambacho hakiwezi kuwajali wananchi waliokiweka madarakani.

Kero zao, shida zao lazima zisikilizwe kana kwamba wanawaamrisha waliowaweka madarakani

Makonda yupo sahihi kutoa matamko ili mawaziri wa CCM wasikilize kero za Watanzania.

View attachment 2829945
OVYO KABISA, HII NI DHARAU, YOU MEAN TEAM ILIYOKUWEPO ILIKUWA HAIFA'S AU ILISHINDWA INCL MWENYEKITI WAKE!, ACHA DHANA MFU, CHAMA KIKO HAI NA IMARA WAKATI WOTE, HUYO NDUGU YUPO HAPO KIMKAKATI,KUNA ZONE FULANI YENYEWE INAPENDA "MOVIE AND ACTIONS!" KANA KWAMBA ACTIONS NDICHO KIPIMO CHA UTENDAJI.
 
Huwezi kuwa na chama tawala ambacho hakiwezi kuwajali wananchi waliokiweka madarakani.

Kero zao, shida zao lazima zisikilizwe kana kwamba wanawaamrisha waliowaweka madarakani

Makonda yupo sahihi kutoa matamko ili mawaziri wa CCM wasikilize kero za Watanzania.

View attachment 2829945

Dhalimu alipora uchaguzi wa nchi nzima akajaza wanaccm tu, hao wote hawawezi kuwasikiliza wananchi, wanasubiri huyo mtu muovu asikilize matatizo Yao! Kweli wajinga ndio waliwao.
 
Mkuu hata wewe kabisa kwa umahiri na ubobevu wako mambo ya habari unaamini Makonda anatatua matatizo na kero za watanzania kwa njia hii ya show off barabarani?

Kwamba watanzania wasikilizaji masikini akirudi nyumbani kero na changamoto zinazowasibu zinayeyuka?

Kwamba Rais Samia, Makamo wa Rais, Waziri mkuu, Chongolo, mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya walivyo na wanavyo zunguka nchi hii hawasikilizi na kutatua kero za wananchi isipokuwa Makonda??

Mkuu niishie hapo maana unafikirisha!!!
Huyo bro zamani nilimuoverrate, ila alipoingia magufuli madarakani ndio nilijiona mjinga kiasi gani.
 
Kunge kuwa na Uhuru wa mahakama na katiba bora 85% viongozi wa ccm wangekuwa magereza.
 
Huyo bro zamani nilimuoverrate, ila alipoingia magufuli madarakani ndio nilijiona mjinga kiasi gani.
Acha kujichetua. Hujaona matokeo ya migogoro ya ardhi inavyotatuliwa Dodoma?
 
Dhalimu alipora uchaguzi wa nchi nzima akajaza wanaccm tu, hao wote hawawezi kuwasikiliza wananchi, wanasubiri huyo mtu muovu asikilize matatizo Yao! Kweli wajinga ndio waliwao.
Najua machungu ya uchaguzi 2020 hayawezi kuisha maana uliwekeza na kutegemea ushindi.

Lakini positive impact ya anchofanya Makonda inaoenakana.
 
OVYO KABISA, HII NI DHARAU, YOU MEAN TEAM ILIYOKUWEPO ILIKUWA HAIFA'S AU ILISHINDWA INCL MWENYEKITI WAKE!, ACHA DHANA MFU, CHAMA KIKO HAI NA IMARA WAKATI WOTE, HUYO NDUGU YUPO HAPO KIMKAKATI,KUNA ZONE FULANI YENYEWE INAPENDA "MOVIE AND ACTIONS!" KANA KWAMBA ACTIONS NDICHO KIPIMO CHA UTENDAJI.
You lack sense
 
Huwezi kuwa na chama tawala ambacho hakiwezi kuwajali wananchi waliokiweka madarakani.

Kero zao, shida zao lazima zisikilizwe kana kwamba wanawaamrisha waliowaweka madarakani

Makonda yupo sahihi kutoa matamko ili mawaziri wa CCM wasikilize kero za Watanzania.

View attachment 2829945
Wewe ni mmojawao mapoyoyo na machawa! Unaina anayoyafanya ni sahihi.
Hata mkuu wake hayafanyi.
 
Back
Top Bottom