Elimu kitu kidogo mkuu? naona unafanya utani mkuu.Kama sio imani hizi za ovyo walizoleta hawa watu weupe mapangoni tungeenda bila tabu maana ndicho ambacho kingekuwa fahari yetu , tumeshindwa kupenda na kukienzi chetu kwa tamaa ya vitu vidogo kama elimu n.k tumepotoka
Hujui maana ya misingi au msingi,nakupa maana ya msingi au misingi kisha ujibu swali.Matendo( kulingana na umri, jinsia na wakati husika ) na miiko yake ndio misingi ya dini za kiafrika , ndio maana nikakwambia wakati ambao hakuna mvua watu wanakwenda mlimani wanafanya tambiko wana mwaga damu mambo saaafi, mambo ya kuvaa mabomu na kupigana mapanga ni miungu wa huko mashariki ya mbali , wanaotegemea watu wauane ili wapate kutajwa
Ahahahaahah wenzako wana future plan unafikiri ni mambumbu kama wewe !! hivi unafikir walipokuwa wakitangaza imani yao duniani walijua watu kama wewe mtaingia mkenge na kuamini tena mtakuwa wengi sanaaa, hii ni heshima kwa nchi yao na Pesa mnawapelekea , ahahahaahah unafikir kila mtu anawaza leo tu ,Mohammed alikuwa mjanja sana alijua kuna vilaza wataingia mkenga nchi itapata pesa mingi badae, eti ukienda kuhiji unasamehe dhambi unakuwa kama mtoto huu ni mpango mkakati ili mkatalii kwao mpeleke pesa hizo, amka wewe ata hili mpaka upigwe viboko ndio uelewe !!
Ahahahahahaa uwezi Ingiza pua hapa , mmeamini madini ya kigeni kibubusa lazima uingie mitini ahahahaaahhaa, Mohammed alikuwa na future plan kuwa mtaongezeka mtakuwa wengi mtakao muamini hivyo nchi yake itapata jina na pesa za kutosha kila mwaka mkienda kuhiji , sasa wewe kwa akili yako fupi unawaza ya leo tu , watu walipanda mbegu sasa wanavuna pesa za watalii wa kiislamu eti ukienda Maka kuhiji unasamehe dhambi , hizi ni kauli za kula pesa ya watu wasiojielewa kama weweUkipata jibu la swali langu nistue,hapa hujajibi kitu chochote sababu huwezi kuthibitisha hilo.
Huwa mnapokosa majibu mnachekesha sana.
Nipo .....
Usilazimishe dini za majahazi ziwe sawa na za mababu zetu uelewi kitu gani !! nimekujibu Dini za asili misingi yake ni Matendo ( kufaatana na umri, jinsia na wakati) pamoja na miiko yake , sasa unalazimisha kitu gani !! au unataka tukahiji tuwaingizie wasaudia pesa , waendelee kununua silaha na kuua watu YemeniHujui maana ya misingi au msingi,nakupa maana ya msingi au misingi kisha ujibu swali.
Msingi ni kila jambo ambalo juu yake kunazalikana mengine,yaani kunapatikana matawi.
Mfano wa mti,msingi wa mti kuchipukia ni mzizi kisha shina. Yaani ukikosekana msingi jambo haliwi.
Sasa jibu swali langu kutokana na hiyo maana ya msingi.
Kitu kidogo sana ndio maana wenzetu wengi waligoma wakabaki kwenye asili yao , sisi tu ndio shida sanaElimu kitu kidogo mkuu? naona unafanya utani mkuu.
Sijui unaongea nini mkuu,hivi elimu kwako ni nini?Kitu kidogo sana ndio maana wenzetu wengi waligoma wakabaki kwenye asili yao , sisi tu ndio shida sana
Ahahahahahaa uwezi Ingiza pua hapa , mmeamini madini ya kigeni kibubusa lazima uingie mitini ahahahaaahhaa, Mohammed alikuwa na future plan kuwa mtaongezeka mtakuwa wengi mtakao muamini hivyo nchi yake itapata jina na pesa za kutosha kila mwaka mkienda kuhiji , sasa wewe kwa akili yako fupi unawaza ya leo tu , watu walipanda mbegu sasa wanavuna pesa za watalii wa kiislamu eti ukienda Maka kuhiji unasamehe dhambi , hizi ni kauli za kula pesa ya watu wasiojielewa kama wewe
Usilazimishe dini za majahazi ziwe sawa na za mababu zetu uelewi kitu gani !! nimekujibu Dini za asili misingi yake ni Matendo ( kufaatana na umri, jinsia na wakati) pamoja na miiko yake , sasa unalazimisha kitu gani !! au unataka tukahiji tuwaingizie wasaudia pesa , waendelee kununua silaha na kuua watu Yemeni
Sijui unaongea nini mkuu,hivi elimu kwako ni nini?
Hao waliyobaki kwenye asili yao ni asili yao ipi? kwamba hawatumii madawa ya kizungu wala tiba za kizungu,hakuna mashule au vp yani sielewi hebu niweke sawa.
Endelea kupuyanga nimekujibu misingi ya dini za asiliKazi kweli nimekupa mpaka maana ya "msingi" bado unashindwa kujibu swali nililokuuliza,ndio maana sijaona ajabu ukaizungumzia hijja kwa mtindo ule.
Naona unabadilisha mada tena umeenda kwenye silaha na kuwauwa wayemeni. Hili linataka mada pweke na wewe huna elimu nalo hili na hao unao chukua habari kwao nao hawajui hakika ya kadhia hiyo.
Swali langu hujalijibu,ukishindwa mara hii ya mwisho na kuja kukupa jibu la misingi ya dini za mababu zako.
Nipo ......
Elimu ya kigeni aina thamani kuliko asili yako , yaani unaacha asili ili uamini sijui Yesu ni Mungu ili wakupe elimu ya kigeni !! huu ni uzwazwa , ndivyo wazee wetu walifanyiwa hiki ndio nimemaanisha msitulishe maneno kijana, kweli ujanja ni babu(Mohammed) la miaka 50 kuoa katoto ka miaka 6 (Aisha ) AhahaahahahahaaahahHawa kwao elimu kitu kidogo ndio maana wanadanganywa na kuwa wajinga wa kutupwa.
Ujanielewa walipoingia wamisionari ili wakupe elimu yao ya kigeni unafahamu ilikuwa mpaka ubatizwe unalijua hilo ? watu wakabatizwa wakafundishwa Yesu ndio kila kitu imani ikawaingia , wakarithisha vizazi vyao imani hii, wakawa wa kwanza kupinga imani zao za asili sababu ya Yesu waliomuamini ili kupata ELIMU, wenzetu waligoma upuuzi huu ndio maana mpaka leo India kama uamini kwenye HINDUISM uwaziri mkuu utausikia kwa jirani , wanataka mtu atakae linda asili yao, ndio maana walikuwa tayari kugawana nchi na waislamu maana watawaambukiza vijana ujinga ndio ile Pakistan, hivyo basi ELIMU haina shida ila kama watoa elimu watakuja na MASHARTI ambayo yatakuondolea mambo yako ya asili ya kiimani , basi wakataeni na elimu yao waondokenayo , kabla ya hiyo Elimu yao ya kigeni watu waliishi kama kawaida aya wapi ujaelewaSijui unaongea nini mkuu,hivi elimu kwako ni nini?
Hao waliyobaki kwenye asili yao ni asili yao ipi? kwamba hawatumii madawa ya kizungu wala tiba za kizungu,hakuna mashule au vp yani sielewi hebu niweke sawa.
Unaona sasa unashangaa babu kuoa kabinti wakati mabibi zetu wameolewa katika umri mdogo(chini ya miaka 18) ambao sasa hivi ukioa binti wa umri huo inahesabika umebaka,inaonesha uzungu umekuingia sana ila hapa unapiga kelele tu.Elimu ya kigeni aina thamani kuliko asili yako , yaani unaacha asili ili uamini sijui Yesu ni Mungu ili wakupe elimu ya kigeni !! huu ni uzwazwa , ndivyo wazee wetu walifanyiwa hiki ndio nimemaanisha msitulishe maneno kijana, kweli ujanja ni babu(Mohammed) la miaka 50 kuoa katoto ka miaka 6 (Aisha ) Ahahaahahahahaaahah
Sasa hawa waislamu ambao nao walisoma zamani unaweza kuniambia elimu yao waliipatia wapi?Ujanielewa walipoingia wamisionari ili wakupe elimu yao ya kigeni unafahamu ilikuwa mpaka ubatizwe unalijua hilo ? watu wakabatizwa wakafundishwa Yesu ndio kila kitu imani ikawaingia , wakarithisha vizazi vyao imani hii, wakawa wa kwanza kupinga imani zao za asili sababu ya Yesu waliomuamini ili kupata ELIMU, wenzetu waligoma upuuzi huu ndio maana mpaka leo India kama uamini kwenye HINDUISM uwaziri mkuu utausikia kwa jirani , wanataka mtu atakae linda asili yao, ndio maana walikuwa tayari kugawana nchi na waislamu maana watawaambukiza vijana ujinga ndio ile Pakistan, hivyo basi ELIMU haina shida ila kama watoa elimu watakuja na MASHARTI ambayo yatakuondolea mambo yako ya asili ya kiimani , basi wakataeni na elimu yao waondokenayo , kabla ya hiyo Elimu yao ya kigeni watu waliishi kama kawaida aya wapi ujaelewa
Unaona sasa unashangaa babu kuoa kabinti wakati mabibi zetu wameolewa katika umri mdogo(chini ya miaka 18) ambao sasa hivi ukioa binti wa umri huo inahesabika umebaka,inaonesha uzungu umekuingia sana ila hapa unapiga kelele tu.
Elimu ya kigeni aina thamani kuliko asili yako , yaani unaacha asili ili uamini sijui Yesu ni Mungu ili wakupe elimu ya kigeni !! huu ni uzwazwa , ndivyo wazee wetu walifanyiwa hiki ndio nimemaanisha msitulishe maneno kijana,
Endelea kupuyanga nimekujibu misingi ya dini za asili
1.Matendo (kulingana na umri, jinsia na wakati)
2. Miiko husika ya matendo hayo
Kwasababu umeishiwa la kusema au umekuja na majibu yako unatapata kama kuku mwenye mdondo
Nacheka sana,ndio nataka unithibitishie hilo sasa.Kuhusu Yemen huo ni mfano tu wa matumizi ya pesa zenu tu, nimekwambia Mohammed akuwa mbumbumbu kama wewe alijua wazi itafika muda waumini wa imani yake watakuwa wengi , hivyo wakiwa wengi faida za kitaliii nchini kwake zitakuwa kubwa ,Pesa za kigeni kedekede kutoka kwa watu kama wewe, yaani ukienda Maka unasameha dhambi huko Maka anga lake la dhahabu !!! Shtuka unaibiwa wewe nyie akili zenu zinakwenda likizo ata mambo madogo kama aya amuelewi , Miungu ya magharibi yote imeleta umwagaji mkubwa wa damu kwa sababu imewatoa chambo waumini ahahaha Syria, somalia , Iraq , n.k Miungu gani iyo inatetew