Endelea kupuyanga nimekujibu misingi ya dini za asili
1.Matendo (kulingana na umri, jinsia na wakati)
2. Miiko husika ya matendo hayo
Kwasababu umeishiwa la kusema au umekuja na majibu yako unatapata kama kuku mwenye mdondo
Swali nililo kuuliza umeshindwa kujibu na nikakupa maana ya tamko "msingi" kadhalika ukashindwa kujibu.
Iko hivi,msingi wa mababu zako huko nyuma katika kuabudu miti,wanyama na mfano wake ni UJINGA na HAWAA za nafsi,hayo uliyo yataja ni matokeo ya ujinga na matamani ya nafsi.
Ujinga ni kinyume na elimu,yaani kushindwa kulenga sehemu stahiki. Mpaka kesho ukiwauliza mababu zako kwanini walikuwa wanaabudu miti au mfano wake majibu yake ni ya kusikitisha na upi uhusiano kati ya maombi miti na mfano wake ?
Naomba unithibitishie ya kuwa kweli maombi yao yalikuwa yanajibu kweli,kwa maana waliomba mvua mizimu ikaleta mvua kweli,yaani thibitisha hilo.
Pili,ni zipi sifa za kitu kinacho stahili kuombwa ?
Kuhusu Yemen huo ni mfano tu wa matumizi ya pesa zenu tu, nimekwambia Mohammed akuwa mbumbumbu kama wewe alijua wazi itafika muda waumini wa imani yake watakuwa wengi , hivyo wakiwa wengi faida za kitaliii nchini kwake zitakuwa kubwa ,Pesa za kigeni kedekede kutoka kwa watu kama wewe, yaani ukienda Maka unasameha dhambi huko Maka anga lake la dhahabu !!! Shtuka unaibiwa wewe nyie akili zenu zinakwenda likizo ata mambo madogo kama aya amuelewi , Miungu ya magharibi yote imeleta umwagaji mkubwa wa damu kwa sababu imewatoa chambo waumini ahahaha Syria, somalia , Iraq , n.k Miungu gani iyo inatetew
Nacheka sana,ndio nataka unithibitishie hilo sasa.
Sababu sisi mtume wetu alikuwa haongei kwa matamanio isipokuwa ni ufunuo toka kwa Mola wake,sasa ndio uniambie hili alilionaje maana bishara zote toka kwake tunazo.
Lakini pili,je unajua wanao pigwa kule Yemeni ni kina nani na kwanini wanapigwa ?
Kadhalika unaweza kuniambia au kunipa ubaya wa kitendo cha Wasaudia kuwapiga wale wa Yemeni ?
Mnacho feli nyinyi huko mnakochukua habari za nchi za kiarabu ni kuwa mnasahau ya kuwa migogoro yao imejengeka katika misingi ya dini,yaani kama huujui Uislamu kamwe huwezi kupatia katika kuzungumzia siasa za mashariki ya kati.
Naendelea ........