Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
For sure ,even resurrection is not a historical event !! We believed blindly without understanding .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
what do u know about resurrection?
For sure ,even resurrection is not a historical event !! We believed blindly without understanding .
Sent using Jamii Forums mobile app
For sure ,even resurrection is not a historical event !! We believed blindly without understanding .
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutaacha Ma pyramids,sisi watu weusi tutaacha alama gani hapa duniani!!!???
Wameharibu mfumo mzima wa maisha yetu kuanzia kufikiri hadi tunavyokula
Ahsante sanakuna sababu kwanini imani za kiafrika hazikuwa na nguvu, nazo ni;
1) hazikuwa zikijitambua kama dini, kila kabila liliamini mizimu ya mababu zao kuwa iliwaunganisha na mungu (ni kama saints ktk ukatoliki), hivyo kila kabila na kila mtu alitegemea mababu zake, hakuna aliyeamini mababu wa wezake wangeweza kumsaidia
hiyo ikapelekea kujengeka kwa utamaduni wa kutotafuta wafuasi na waumini, (wakati uislamu na ukristo ni imani zinazotamani dunia nzima wafuate imani hizo)
hiyo ilipelekea kutokuwa na umoja miongoni mwa waafrika maana ilikuwa mtu akiacha kuamini mababu zake ama jamii nzima ikiacha kuamini mizimu ya mababu haikuwa ikionekana kama tatizo kwa wengine ambao wao hawakuona kitisho katika idadi yao, maana wao wakijiona hawahusiki na kuamuni mababu wa wezao , lilikuwa jambo lisilowahusu, hivyo hawakupinga ushawishi wa wamishionari katika kuwabadili waafrika wezao kufuata imani zisizo za kiafrika ( tofauti na ilivyo kusambaza dini mpya huko asia ama ulaya, ni kazi ngumu kila muumini hapendi kusikia wezie wa imani moja wana imani mpya, wao wana hamu dunia nzima waamini chao wao)
pia sie hatuna scriptures, wezenu wana bibbles, qurani, wahindu wana veda, pia wana makanisa, misikitu, temples nk
sisi hatuna
wezetu wana sikukuu zao sie hatuna
wezetu wana siku za ibada sie hatuna
wana miezi ya mfungo, japokuwa unaweza kudharau funga za waja kipindi cha mifungo ila huo huwa ni muda wa kuwakumbusha imani yao, mavazi nk, hivyo kuzidi kuwasimika na identity ya umani yao, kitu hicho afrika pia hatuna
halafu dini zetu zilikuwa ni za sababu maalum, huna mtoto, kuna magonjwa na vifo ndio unaenda kuabudu sio kwenda kuabudu kila jpili ama kila ijumaa
zilikuwa ni imani zisizoeleweka na viongizi wa dini hawakuwa na elimu hiyo ilipelekea kutumia vitisho na kutishatisha kuimarisha taswira zao. plus mambo ya kafara na uchawi, imani hazikueleweka zikaachwa
😂😂😂 Kumbe ndivyo ilivyo!Ukienda kuhiji Makka unasamehewa dhambi zako unakuwa kama mtoto , !! jamani huu siupuuzi yaani unafanywa mtalii wenyewe wanapiga pesa wewe unadanganywa kusamehewa dhambi ahahahah
Sasa hili Kabila si litaisha kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe,😂😂😂Rais moja Mzungu wa Afrika Kusini aliwahi kufanya utafiti juu uwezo wa Mwafrika Mweusi katika kufikiri, kutenda na kuongoza wengine .
Utafiti huu ulimwezesha kupata PHD.
Katika utafiti wake alihitimisha kwa kusema kuwa , " Mwafrika Mweusi mwenye Akili kuliko wote hawezi kufikiri zaidi ya mwaka moja. (The most Intelligent black African can not think beyond one year).
Hata hivyo hii sio asilimia mia moja kwa sababu bado wazungu walikiri kuwa Viongozi kama Hayati Mwalimu J.K.Nyerere walikuwa tofauti sana na dhana hii ya utafiti wa Mzungu huyu.
Mwafrika akikukuta unakula usipomkaripisha atakuita mlafi. Mwafrika akikukuta unafanya kazi akikusaidia atadai pesa.
Mzungu akikukuta unakula hata ukimkaribisha hatokula kama ulikuwa hujamwalika. Mzungu akikukuta unafanya kazi atakusaidia na hatakudai pesa.
Kuna kabila moja siwezi kulitaja jina, Vijana wao wakiwa sita wakienda kuiba ng'ombe, wataiba ng'ombe na watamuua mwenye Ng'ombe.
Baadaye wakiwa safarini kurudi kwao watatu watafanya hila na kuwaua wenzao watu.
Watatu wakifika salama na ng'ombe wa wizi mgawo unakuwa mzuri na hutoa taaifa kuwa wenzao wameuwawa wakati wanaiba ng'ombe.
Nataka niseme tu kuwa nasononeka sana na hulka ya Mtu mweusi kuhusu uchoyo, fitina, wivu, ulafi, majivuno, ukatili, uonevu na mengine mengi.
Udhaifu huu ndiyo unatufanya tusiendee pamoja na kuwa na raslimali nyingi.
Katika kitu kigumu sana kufanya katika karne hii ni kumwambia & kumbadilisha mwafrika atoke kwenye mlengo wake wa mawazo uliopandikizwa na mzungu na kurudi kwenye mlengo huru.
Sio kila Mtu yupo free kuruhusu mawazo huru.....
Tuko pamoja mkuu... TawileeeeeMkuu
Tutakaokuelewa ni wachache sana humu, watu wengi walishafanyiwa kitu ninachookiita " kuuwawa kwa tabia zao halisi" Yaani karibu kila kitu hapa Afrika kimeharibiwa. Angalia maisha yetu, mathalani lugha zetu, mavazi yetu, sayansi yetu, dini zetu, usomaji wetu, majina yetu n.k hadi unajiuliza hivi sisi watu weusi tutaacha alama gani hapa duniani!!!???
Kuna jamaa mmoja nilimponda tukiwa wengi kwa kumwita mtoto wake mchanga jina la kiingereza la ajabu ajabu kisa tu eti ni zuri (si ni la kizungu bwana) nilipomwambia kuwa asiendekeze utumwa wa fikra aliniita mimi mshamba yaani akasema sijaelemika! Nikamtazamaaaa, nikamwambia waziwazi mimi naitwa TATA MKURIA na najisikia fahari kuwaita watoto wangu majina yao kama Bhoke, Ghati,Marwa, Mwita n.k.
Mkuu Frustration hakuna bara linadharauliwa kidini kama Afrika! Yaani ni aibu, halafu waafrika hawa wa sasa tena wasomi wanaendelea kuwatumikia wale jamaa wakidhani wapo sahihi yaani waafrika tumeenda hatua zaidi ya wao kujiona hizi dini zao ni bora sana hadi zinatugombanisha! Zinafanya tuuwane! Ni aibu.
Ukienda mabara mengine, huwaambii kitu kuhusu dini zao! Kama hujui nenda nchi za Ulaya, nenda nchi za Uarabuni, nenda Uhindini, nk. Ila sasa njoo Afrika! Yaani akili zetu ni nyepesi nyepesi mno. Kila kitu kinaaminika kirahisi tu, tumesoma sasa lakini bado tunaendekeza yale yale yaliyotuletea madhila siku za nyuma. Tumelala fofofo tunadhani kila kitu kipo sawa. Yaani hadi nimewakumbuka Prof Ngugi wa Thiong'o na maelekezo yake katika kitabu cha "Decolonizing the Mind" pamoja na Okoth p'Bitek na vile vitabu vyake pendwa (najua wengi mlisoma kile maarufu Song of Lawino na Song of Ocol) hawa waafrika wenzetu wametuandikia tushtuke kidogo lakini bado tupo ziii!
Wale wenzangu wanaopenda dini zetu, tuendelee nazo ingawa tunaitwa washirikina mi nasema ni sawa tu nitaendelea kutambika ila siyo kwa kafara za watu kama hawa washenzi wa baadhi ya dini hizi za kisasa wanavyofanya!
Najua tupo wengi tu ingawa makanisani na misikitini pia tunaingia mara kwa mara ila mioyoni mwetu tunaujua ukweli na pia tumeisha enda wapi na wapi kupata tiba zetu za kujikinga na mabalaa. Ukituona kwa nje tuna heshima lukuki katika jamii ila kiundani tunaamini dini za Kiafrika kimya kimya.
Tata mkuria.
Aisee safi Sanakila siku watu wanajiuliza nani katuroga? hatujarogwa ila tumelaaniwa na mababu na miungu yetu kwa kuisaliti, kuikana na kiita 'imani potofu' kisha tumekumbatia miungu/mizimu ya kigeni. badala ya kuongea na 'mzimu' wa bibi yako anayekujua unakomaa na 'mzimu' wa bikira maria. Turudi kwenye njia zetu za mababu zetu.
Imagine... Mungu gani ambaye ni mbaguzi kiasi hichoEti Mungu mmoja alafu alikuwa anawapa utume watu wa Asia tu, si upuuzi huu jamani.
Mbaya zaidi tunawaomba watakatifu wa kizungu watuombee, kwani Afrika hapakuwahi kuwa na watakatifu. China, Japan na nchi nyingine za bara la Asia wana practice dini zao na wako mbali kimaendeleo. Wazungu wenyewe hata kanisani hawaendi na wengi ukiwauliza wanasema hawana dini. Angalia diplomatic community za kutoka Ulaya, Marekani, yaani wengi hawana dini. Halafu wao mtu kuwa shoga ni human rights etc.mabara yote duniani yana mfumo wao wa kuabudu ambao ni tofauti na mabara mengine. Hii sio tu Afrika, hadi Amerika, Australia, Europe etc. Asia wameiteka sana Africa na ndio maana tamaduni za America mnaona kama wanakufuru hivi kwa imani za Asia. Ukiwa wa Asia anayofanya American ukitenda ww ni kosa na kinyume chake. Sasa sisi wa Africa tumeacha ya kwetu tunatenda ya Asia huoni ni kosa?. Kwa hiyo huyo Mungu alikaa miaka mingapi hadi alipowaambia watu sasa waweza enda Afrika nao mkawape habari zangu? Baada ya kutuumba tuliachwa wapi? Kwa imani uliyonayo basi tuseme GOD IS UNFAIR. katika nyanja zote eg kupendelea manabii na mitume katika bara la Asia tu.
Resurection is historical...Jesus existed and was crucified.For sure ,even resurrection is not a historical event !! We believed blindly without understanding .
Sent using Jamii Forums mobile app