ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Bora alieishi tukamuona kuliko ambaye ujamuona lakini umeshupalia mishipa kumuabuduYani mtu aliyekufa na kutukamzika wenyewe halafu tena sisi ndio twende kumuomba mambo yetu mtu tuliyemlaza chini huko!!!!
Vitu vyengine hata akilini tu haviingii.