Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Afrika ina dini ambazo ni nyingi sana kuliko bara lolote lile Duniani. Dini hizi nyingi zimepigwa ban na watu wa nje(whites) kwa sababu tu ya inferior ya mtu mweusi wa zamani. Kuishi kwa kumtegemea mzungu kwa kila kitu hadi ikapelekea hadi sasa watu wanategemea pia dini za kizungu.

Hakuna kabila hata moja Afrika ambalo limepoteza imani ya dini yao, ndio maana hata waendao makanisani hutembelea kwa mababu zao kupata kinga. Dini zote Afrika zilikuwa hazihusiani na uchawi ila mtu mweupe ndiye aliempa mtu mweusi uchawi kwa mafunzo maalumu akimdanganya ya kiimani.

Uchawi Afrika uliletwa na mzungu na ukweli huu haupingiki. ukiachana na hayo lakini pia upande wa maadili hapa nianze kwa salamu


U hai? ndugu hata kama haupo hai ila ukweli ukifikie huko huko ulipo. Nani aliyekuambia kuwa Afrika watu walikuwa wanavaa nguo full mwili mzima? Angalia wamasai japo na hao pia wamejaribu kubadilika. Ila hali ilikuwa mbaya sana zamani.

Watu walikuwa wanazuii tupu tu, Vikande vyote vya nyuma vilikuwa wazi na hakukuwa wa kushangaa katika hili kwa sababu ndiko tulikotoka. Ujio wa white man ukatibua hali ya hewa wakabadili,mtindo wa mavazi,dini, elimu, lugha, biashara na kila kitu.

Sasa katika mambo waliobadili pamoja na nidhamu na kusema nchi za Afrika hawajastarabika kwa sababu wanatembea uchi, wanaabudu madudu, wanaongea lugha chafu n.k. Watu wa Afrika walilazimishwa kukopi mila na mitindo yote ya Kizungu.

Unaposema vijana wetu hawana maadili ni kutukana wazee wetu wa zamani ambao walikuwa wanawinda,na kupiga ngoma uchi.

Hawa wapuuzi wa kizungu ndio walioita matabibu wetu kwa jina baya eti Matabibu wa kichawi(witch doctor) na wao kujiita Doctors, physician mara sijui wakemia n.k. Wakasema kupiga ngoma ni ushamba ila tupige miziki ya kisasa n.k.

Sioni jema la wazungu katika imani, wala tamaduni na wala technology kwa sababu naamini tungepigana na hali zetu. Wale wanaoenzi mababu zetu siku hizi wanajiita TIBA MBADALA sijui ndio nini. Wajiite wauguzi na wataalamu wa tiba na magonjwa mbalimbali.

Afrika without White's countries is possible, hatujachelewa sana tuanze ku uphold vya kwetu ili vitusaidie na sisi kwa masilai yetu. Hivi vya kuletewa havitufai kwani "NGUO YA KUAZIMA HAISITIRI MA**KO" na ndio mana mambo hayaendi kama ilivyotakiwa.

Nawachukia wa Asia na dini zao i.e Christian and Muslims. Ww ndugu yangu mtoto na mjuu wa Likangamai hayo mambo utayaweza? Ndio maana kulikuwa na mabala na aina ya watu na mila tofautitofauti, sasa ya nje ya nn na kuona kama vile ulichelewa kuvipata?

Kwani wao walikuwa hawajui kama Afrika kuna watu? mbona wamefika baada ya manyanyaso mauaji na dhulma kwa ndg zetu? Nini za Asia ni dini za ukweli kwa Asia na dini za Afrika ni za kweli kwa Afrika tu?

Jambo gani jema limewahi semwa na hao watu juu ya mababu zetu? wamewatukana sana kupitia imani zao na leo wamefanikisha kutufanya ndg,jamani tunaenda wapi na ilihali tunakotoka tunakudharau?

NAIPENDA AFRIKA SANA NA HATA NIKIWA JIRANI NA MZUNGU WOTE WE FEEL DIFFERENCES ON EACH AND EVERYTHING.RELIGION, LANGUAGE, STYLES,CUSTOMS, COLOUR, AWARENESS, ASSERTIVENESS STATUS, RECOGNITION e.t.c.

Ukweli haupingiki hata mniue hadi nife
lakini pia upo sahihi kwa kila ulichokisema maana kila bara lina asili yake, kwa nini sisi Afrika sana sana ndiyo tumepoteza asili yetu? Afrika ndiyo tumechukua kila tabia, asili, na mienendo ya mabara mengine kwa nini? ili swali la msingi sana...
 
lakini pia upo sahihi kwa kila ulichokisema maana kila bara lina asili yake, kwa nini sisi Afrika sana sana ndiyo tumepoteza asili yetu? Afrika ndiyo tumechukua kila tabia, asili, na mienendo ya mabara mengine kwa nini? ili swali la msingi sana...
Mkuu asia kumeathirika na utamaduni wa magharibi hata afrika hatufikii,ukitaka kubaki na asili yako bako inabidi ujitenge na wengine hakuna kwenda wala kutoka kwenye taifa lako.
 
Mkuu
Tutakaokuelewa ni wachache sana humu, watu wengi walishafanyiwa kitu ninachookiita " kuuwawa kwa tabia zao halisi" Yaani karibu kila kitu hapa Afrika kimeharibiwa. Angalia maisha yetu, mathalani lugha zetu, mavazi yetu, sayansi yetu, dini zetu, usomaji wetu, majina yetu n.k hadi unajiuliza hivi sisi watu weusi tutaacha alama gani hapa duniani!!!???

Kuna jamaa mmoja nilimponda tukiwa wengi kwa kumwita mtoto wake mchanga jina la kiingereza la ajabu ajabu kisa tu eti ni zuri (si ni la kizungu bwana) nilipomwambia kuwa asiendekeze utumwa wa fikra aliniita mimi mshamba yaani akasema sijaelemika! Nikamtazamaaaa, nikamwambia waziwazi mimi naitwa TATA MKURIA na najisikia fahari kuwaita watoto wangu majina yao kama Bhoke, Ghati,Marwa, Mwita n.k.

Mkuu Frustration hakuna bara linadharauliwa kidini kama Afrika! Yaani ni aibu, halafu waafrika hawa wa sasa tena wasomi wanaendelea kuwatumikia wale jamaa wakidhani wapo sahihi yaani waafrika tumeenda hatua zaidi ya wao kujiona hizi dini zao ni bora sana hadi zinatugombanisha! Zinafanya tuuwane! Ni aibu.

Ukienda mabara mengine, huwaambii kitu kuhusu dini zao! Kama hujui nenda nchi za Ulaya, nenda nchi za Uarabuni, nenda Uhindini, nk. Ila sasa njoo Afrika! Yaani akili zetu ni nyepesi nyepesi mno. Kila kitu kinaaminika kirahisi tu, tumesoma sasa lakini bado tunaendekeza yale yale yaliyotuletea madhila siku za nyuma. Tumelala fofofo tunadhani kila kitu kipo sawa. Yaani hadi nimewakumbuka Prof Ngugi wa Thiong'o na maelekezo yake katika kitabu cha "Decolonizing the Mind" pamoja na Okoth p'Bitek na vile vitabu vyake pendwa (najua wengi mlisoma kile maarufu Song of Lawino na Song of Ocol) hawa waafrika wenzetu wametuandikia tushtuke kidogo lakini bado tupo ziii!

Wale wenzangu wanaopenda dini zetu, tuendelee nazo ingawa tunaitwa washirikina mi nasema ni sawa tu nitaendelea kutambika ila siyo kwa kafara za watu kama hawa washenzi wa baadhi ya dini hizi za kisasa wanavyofanya!

Najua tupo wengi tu ingawa makanisani na misikitini pia tunaingia mara kwa mara ila mioyoni mwetu tunaujua ukweli na pia tumeisha enda wapi na wapi kupata tiba zetu za kujikinga na mabalaa. Ukituona kwa nje tuna heshima lukuki katika jamii ila kiundani tunaamini dini za Kiafrika kimya kimya.

Tata mkuria.
Mkuu umenena sana shukrani mno
 
Afrika ina dini ambazo ni nyingi sana kuliko bara lolote lile Duniani. Dini hizi nyingi zimepigwa ban na watu wa nje(whites) kwa sababu tu ya inferior ya mtu mweusi wa zamani. Kuishi kwa kumtegemea mzungu kwa kila kitu hadi ikapelekea hadi sasa watu wanategemea pia dini za kizungu.

Hakuna kabila hata moja Afrika ambalo limepoteza imani ya dini yao, ndio maana hata waendao makanisani hutembelea kwa mababu zao kupata kinga. Dini zote Afrika zilikuwa hazihusiani na uchawi ila mtu mweupe ndiye aliempa mtu mweusi uchawi kwa mafunzo maalumu akimdanganya ya kiimani.

Uchawi Afrika uliletwa na mzungu na ukweli huu haupingiki. ukiachana na hayo lakini pia upande wa maadili hapa nianze kwa salamu


U hai? ndugu hata kama haupo hai ila ukweli ukifikie huko huko ulipo. Nani aliyekuambia kuwa Afrika watu walikuwa wanavaa nguo full mwili mzima? Angalia wamasai japo na hao pia wamejaribu kubadilika. Ila hali ilikuwa mbaya sana zamani.

Watu walikuwa wanazuii tupu tu, Vikande vyote vya nyuma vilikuwa wazi na hakukuwa wa kushangaa katika hili kwa sababu ndiko tulikotoka. Ujio wa white man ukatibua hali ya hewa wakabadili,mtindo wa mavazi,dini, elimu, lugha, biashara na kila kitu.

Sasa katika mambo waliobadili pamoja na nidhamu na kusema nchi za Afrika hawajastarabika kwa sababu wanatembea uchi, wanaabudu madudu, wanaongea lugha chafu n.k. Watu wa Afrika walilazimishwa kukopi mila na mitindo yote ya Kizungu.

Unaposema vijana wetu hawana maadili ni kutukana wazee wetu wa zamani ambao walikuwa wanawinda,na kupiga ngoma uchi.

Hawa wapuuzi wa kizungu ndio walioita matabibu wetu kwa jina baya eti Matabibu wa kichawi(witch doctor) na wao kujiita Doctors, physician mara sijui wakemia n.k. Wakasema kupiga ngoma ni ushamba ila tupige miziki ya kisasa n.k.

Sioni jema la wazungu katika imani, wala tamaduni na wala technology kwa sababu naamini tungepigana na hali zetu. Wale wanaoenzi mababu zetu siku hizi wanajiita TIBA MBADALA sijui ndio nini. Wajiite wauguzi na wataalamu wa tiba na magonjwa mbalimbali.

Afrika without White's countries is possible, hatujachelewa sana tuanze ku uphold vya kwetu ili vitusaidie na sisi kwa masilai yetu. Hivi vya kuletewa havitufai kwani "NGUO YA KUAZIMA HAISITIRI MA**KO" na ndio mana mambo hayaendi kama ilivyotakiwa.

Nawachukia wa Asia na dini zao i.e Christian and Muslims. Ww ndugu yangu mtoto na mjuu wa Likangamai hayo mambo utayaweza? Ndio maana kulikuwa na mabala na aina ya watu na mila tofautitofauti, sasa ya nje ya nn na kuona kama vile ulichelewa kuvipata?

Kwani wao walikuwa hawajui kama Afrika kuna watu? mbona wamefika baada ya manyanyaso mauaji na dhulma kwa ndg zetu? Nini za Asia ni dini za ukweli kwa Asia na dini za Afrika ni za kweli kwa Afrika tu?

Jambo gani jema limewahi semwa na hao watu juu ya mababu zetu? wamewatukana sana kupitia imani zao na leo wamefanikisha kutufanya ndg,jamani tunaenda wapi na ilihali tunakotoka tunakudharau?

NAIPENDA AFRIKA SANA NA HATA NIKIWA JIRANI NA MZUNGU WOTE WE FEEL DIFFERENCES ON EACH AND EVERYTHING.RELIGION, LANGUAGE, STYLES,CUSTOMS, COLOUR, AWARENESS, ASSERTIVENESS STATUS, RECOGNITION e.t.c.

Ukweli haupingiki hata mniue hadi nife

Mkuu umeandika facts tupu ila napenda kutoa angalizo la kutochanganya au "confuse" vitu viwili...1. "Utamaduni" na 2. "Ukale" Wewe au Mimi kuwa waafrika wa kweli kindakindaki tunaotukuza utamaduni wetu haituzuii kuvaa Suti au Jeans!
Kwa watakaonielewa sawaa na ambao hawajanielewa Poaa
 
Unasema "huyu vip mbona aelewi , sababu ya kutengana ni Dini" wakati mimi nimeshakubali tangu mwanzoni kwamba sababu ya kutengana ni dini, lakini ilikuwa ni kwa sababu ya matakwa ya waislamu. Ndio maana kwenye katiba yao Pakistan imejitangaza rasmi kwamba ni nchi ya waislamu na imejiita Islamic Republic of Pakistan. Kwa nini kwenye katiba yao India haikujitangaza kuwa ni nchi ya wahindu na dini zingine za kiasili na badala yake wamesema nchi ya India haina dini????
INDIA kuna dini nyingi za Asili japo WAHINDU ni wengi , hivyo hakuna haja ya kujitangaza kwasababu itanyima uhuru wengine ambao pia waamini dini asili ya pale pale INDIA , ndio maana kwenye hoja yangu ya msingi wenzetu wamekumbatia ASILI na wala ASILI haijawaangusha wanasonga mbele , hivyo kuacha asili na kuparamia madini ya watu ni ushamba tu
 
Unazungumzia kuanzishwa kwa ukristo au madhehebu na vitabu vyao? maana hata afrika kila kabila lina mila zake ila kwa pamoja mnaita imani au dini za kiafrika.

Na kwanini nifuate walichokiamini watu kabla yetu kisa tu walikuwa mababu zetu wakati wao walifuata hizo imani kwa uamuzi wao kwa manufaa yao kipindi chao,sasa hiki ni kizazi chengine hivyo tunafuata tuamuacho sie kwa kipindi chetu na tunaofaidika ama kutokufaidika ni sisi na pia hata sisi tutakuja kuitwa mababu pia kwa vizazi vijavyo kama mababu ni ishu sana.
1. Yesu ameondoka hakuna Ukristo , madhehebu ndio ukristo wenyewe watu walioamua kuutengeneza kwa maslahi yao.

2. Kuhusu mababu , Ukishasema wewe ni mgogo maana yake unawaasisi wako hao ndio chimbuko lako wewe , hivyo ukikataa kufata imani zao wewe umejitoa kwenye ugogo tafuta kabila jingine sawasawa, Ata huo uislamu kuna muislamu wa kwanza huyo ndio muasisi sasa iweje useme wewe fulani bila kujua waasisi waliishije !!!
 
Vizuri kwanza mwenyewe umekubali madhara yapo sasa point ni kwamba mimba kwa hao mabinti athari zake ni kubwa kuliko faida zake(kama zipo) na uzuri ni jambo lenye kuweza kuepukika hivyo ni uamuzi sahihi kuepuka hilo jambo ili kuepusha hayo madhara ni tofauti na chakula ambapo kula ni lazima na ni jambo tusiloweza kuliepuka hivyo pamoja na kuwepo na hizo ajari za chakula kupita katika njia ya hewa.

Leo hii kuna ulazima gani wa kumkatisha masomo binti kwa kumbebesha mimba?
Nimekwambia hakuna jambo lisilo na madhara , lakini tunachoangalia faida na hasara zipi nyingi , nikakwambia maelfu na maelfu wamezaliwa duniani na hawa hawa mabinti , waliokufa ni wachache sana hivyo , kipimo cha balehe ndio kipimo sahihi sio miaka , miaka ni mambo ya kubahatisha
 
1.Yesu ameondoka hakuna Ukristo , madhehebu ndio ukristo wenyewe watu walioamua kuutengeneza kwa maslahi yao ,
2.Kuhusu mababu , Ukishasema wewe ni mgogo maana yake unawaasisi wako hao ndio chimbuko lako wewe , hivyo ukikataa kufata imani zao wewe umejitoa kwenye ugogo tafuta kabila jingine sawasawa, Ata huo uislamu kuna muislamu wa kwanza huyo ndio muasisi sasa iweje useme wewe fulani bila kujua waasisi waliishije !!!
Sizungumzii habari za Yesu nimekuuliza ukristo ulianza wapi huko ?

Makabila nao yana waasisi?
 
Sizungumzii habari za Yesu nimekuuliza ukristo ulianza wapi huko ?

Makabila nao yana waasisi?
Kuna ukristo ulioanzia Roma na ukristo ulioanzia ujerumani , wote huu ni ukristo , sawa na dini za kiafrika ziko tofauti kidogo lakini zote za kiafrika , ni suala la mfumo tu, hakuna kabila ambalo halina waasisi (Ancestors) duniani
 
INDIA kuna dini nyingi za Asili japo WAHINDU ni wengi , hivyo hakuna haja ya kujitangaza kwasababu itanyima uhuru wengine ambao pia waamini dini asili ya pale pale INDIA , ndio maana kwenye hoja yangu ya msingi wenzetu wamekumbatia ASILI na wala ASILI haijawaangusha wanasonga mbele , hivyo kuacha asili na kuparamia madini ya watu ni ushamba tu
Soma post yangu #398 nikisema : "Ukweli ni kwamba dini ni nyingi pale India na hawakutaka dini moja ipewe nafasi maalum, ndio maana katiba ikasema nchi haina dini' Lakini bado nini iliwazuia kusema kwenye katiba yao India ni nchi ya watu wenye dini zote za kiasili tu - all indigenous religions only? Ushamba unaonyesha wewe - huna la kujitetea iliyo based kwenye facts lakini bado unajitokeza! Totally hopeless!
 
Nimekwambia hakuna jambo lisilo na madhara , lakini tunachoangalia faida na hasara zipi nyingi , nikakwambia maelfu na maelfu wamezaliwa duniani na hawa hawa mabinti , waliokufa ni wachache sana hivyo , kipimo cha balehe ndio kipimo sahihi sio miaka , miaka ni mambo ya kubahatisha
Sizungmzii miaka ukubwa wala udogo,haya maneno nishaacha kuyatumia bali nazungumzia hao mabinti waliyobalehe.

Nimeeleza hapa athari zake kwa hao mabinti kupata ujauzito na nimesema ni madhara ambayo yaweza kuepukwa maana si kitu ambacho kina ulazima wa kukifanya kama mfano wa chakula kwamba hata kama unaweza kupata madhara ila mtu lazima ale huwezi kuepuka kula. Sasa wewe hujaeleza hizo faida za kuwajaza mimba hao mabinti ni zipi na ulazima wake ni upi hadi tushindwe kuziepuka ili tuepushe madhara yanayowakumbuka hao mabinti?

Kuna mambo kibao huko wazee wetu walikuwa wakiyafanya kutoka na uelewa wao kipindi hicho na hali iliyokuwepo wakati huo.
 
Kuna ukristo ulioanzia Roma na ukristo ulioanzia ujerumani , wote huu ni ukristo , sawa na dini za kiafrika ziko tofauti kidogo lakini zote za kiafrika , ni suala la mfumo tu, hakuna kabila ambalo halina waasisi (Ancestors) duniani
Nakuuliza nani kaanzisha ukristo unakuja kuniambia kuna ukristo uliyoanzishwa sijui wapi na wapi!!! sawa nakuuliza mchezo wa soka ulianzisha wapi we unakuja kusema kuna soka la brazir na soka uingereza.

Hivi ancestors na waasisi ni sawa? sijasema hakuna ancestors lakini sio waasisi,hebu nitajie wasisi wa makabila.
 
Nakuuliza nani kaanzisha ukristo unakuja kuniambia kuna ukristo uliyoanzishwa sijui wapi na wapi!!! sawa nakuuliza mchezo wa soka ulianzisha wapi we unakuja kusema kuna soka la brazir na soka uingereza.

Hivi ancestors na waasisi ni sawa? sijasema hakuna ancestors lakini sio waasisi,hebu nitajie wasisi wa makabila.
Wafuasi wa Yesu wa mwanzo ndo waanzilishi wa Ukristo..ingawa wao hawakujiita Wakristo ( wakristo ni jina walilopewa na warumi/wayahudi waliokuwa wanawawinda na kuwakamata wawaue after Yesu kuondoka) Wao walijiita "Wafuasi wa Kristo" . Kwahiyo Ulianzia huko Israel.
Baadae Waroma ndo wakaurasimisha kwao maana ulikiwa hauruhusiwi na wakauchanganya na upagani wakaita UKATOLIKI.
WAKATOLIKI SIO WAKRTISTO.
 
Wafuasi wa Yesu wa mwanzo ndo waanzilishi wa Ukristo..ingawa wao hawakujiita Wakristo ( wakristo ni jina walilopewa na warumi/wayahudi waliokuwa wanawawinda na kuwakamata wawaue after Yesu kuondoka) Wao walijiita "Wafuasi wa Kristo" . Kwahiyo Ulianzia huko Israel.
Baadae Waroma ndo wakaurasimisha kwao maana ulikiwa hauruhusiwi na wakauchanganya na upagani wakaita UKATOLIKI.
WAKATOLIKI SIO WAKRTISTO.
Hizo tofauti za madhehebu.
 
Yap
Kwani dini za waafrika kabla ya wageni zilikuwaje ?
Ndiyo ,na hadi Leo zipo .Ukitafakari utaona Africa tuna tembea na dini mbili 1.Za asili 2 , za kisasa na watu husema dini haiuwi Ila mila inauwa !!!! Ukisoma vitabu hususani agano la kale lina mafungamano makubwa na baadhi ya tamaduni na imani nyingi za kiafrica ,,,,kuna kabila nalifahamu ukiangalia mila na desturi zinakaribiana na old testament
 
Soma post yangu #398 nikisema : "Ukweli ni kwamba dini ni nyingi pale India na hawakutaka dini moja ipewe nafasi maalum, ndio maana katiba ikasema nchi haina dini' Lakini bado nini iliwazuia kusema kwenye katiba yao India ni nchi ya watu wenye dini zote za kiasili tu - all indigenous religions only? Ushamba unaonyesha wewe - huna la kujitetea iliyo based kwenye facts lakini bado unajitokeza! Totally hopeless!
Mbona unalazimisha mambo nimekwambia yale ndio maisha yao hakuna ulazima kwa sababu ndio maisha yao , unapolazimisha eti waseme " waseme watu wenye dini zote za kiasili " hapa ndio unachekesha kweli kweli angalia maisha yao ndio yanasadiki kwa namna gani dini za kiasili zimepewa thamani kubwa kuliko za kigeni , na kwakukumbatia asili yao wamefanikiwa bila tabu yeyote , sasa wewe lazimisha waandike wakati huku kwenye Field watu wanaishi maisha yao , Mama Gandi alishindwa kuwa waziri mkuu japo katiba ilimruhusu kwa sababu huku mtaani watu wanamaisha yao wayapendayo ,alikuwa si muhindi wa asili wa kuzaliwa , hivyo akajiweka pembeni , unapotaka kila kitu kiandikwe pole sana
 
Hizo tofauti za madhehebu.
Tofauti za madhehebu wakati ata Mungu wanatofautiana , ata kuowana awaoani mpaka huyu aje huku au yule aende kule , hizo ni dini tofauti kabisaaa , usidanganywe na maneno ya mtaani
 
Nakuuliza nani kaanzisha ukristo unakuja kuniambia kuna ukristo uliyoanzishwa sijui wapi na wapi!!! sawa nakuuliza mchezo wa soka ulianzisha wapi we unakuja kusema kuna soka la brazir na soka uingereza.

Hivi ancestors na waasisi ni sawa? sijasema hakuna ancestors lakini sio waasisi,hebu nitajie wasisi wa makabila.
1. Umetoa mifano tofauti soka linasimamiwa na FIFA duniani , lakini katika kila ukristo wale walioanzisha ndio wasimamizi , kiufupi katoliki hawezi mwambia kitu protestant na kinyume chake , hivyo mfano wako umekurudia mwenyewe haufai

2. Ancestors kiswahili ni MABABU ambao ndio waasisi , ndio maana ata watu weusi tunaomba kwa mizimu ya mababu zetu itusaidie pale penye uzito , sasa maswali yako yanashangaza sana kama hili ulijui
 
Tofauti za madhehebu wakati ata Mungu wanatofautiana , ata kuowana awaoani mpaka huyu aje huku au yule aende kule , hizo ni dini tofauti kabisaaa , usidanganywe na maneno ya mtaani
Mungu wanatofautiana kvp ?
 
Back
Top Bottom