Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Since X- tianity is centred at resurrection , I don't like to go in detail but for me personally I don't believe , I mean I'm no longer a X-tian

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I used first person plural rather than singular because we're many. Even you you don't know about 'resurrection " I don't know even the meaning of the "the sign of the cross " I was even baptized blindly, I have realized that is better you understand before you believe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana
Nalog off
 
Ukienda kuhiji Makka unasamehewa dhambi zako unakuwa kama mtoto , !! jamani huu siupuuzi yaani unafanywa mtalii wenyewe wanapiga pesa wewe unadanganywa kusamehewa dhambi ahahahah
😂😂😂 Kumbe ndivyo ilivyo!
Nalog off
 
Sasa hili Kabila si litaisha kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe,😂😂😂
Nalog off
 
Mwandishi mwenyewe anajiita frustration badala ya kujiita majina kama Ngwanalabaka, Masopakyindi,Bujurugwa au Kereng'ende.

Uchawi walileta wazungu? Mwandishi hujasoma.nenda kasome the River Between na Things Fall Apart. Kapate hbr za kuabudu Mizimu n.k.

Mwandishi hujui kuwa uchawi,ushirikina ulikuwa Dunia nzima hata kwa hao wazungu. Nao walikuwa wana miungu yao na imani zao za hovyo hovyo. Za kutoa kafara binadamu kuuana n.k. na unatakiwa ufahamu hata wao Ukristo uliingiia kwao kwa shida sana na mateso. Kasome ufahamu Dark Ages ilikuwa ni nini.

Ni ukosefu wa fikra sahihi kukaa kulaumu wazungu kila wakati na tunafahamu madhara makubwa ya dini za kale.nenda kaangalie mabaki ya dini hizi shinyanga wanakoamini mtu mwenye macho mekundu ni mchawi. Nenda kaangalie watendaji wa dini hizi waganga,wapiga ramli n.k

Kaangalie imani za kutupa mapacha au kuua albino na walemavu. Kutoa sadaka watoto au binadamu.haya ni matatizo ambayo yalikuwepo hata ulaya na asia.dini hizi zilikuja kuyaondoa kwa kiasi kikubwa na kujenga ustaarabu ambao at least unaheshimu ubinadamu km ktk amri 10 za Mungu ni universal.

Waafrika tuache kulalamika na kulia lia hata kwa mambo yasiyo na msingi.kama kuna mabaya ktk dini hizi si tuyaache na tuyafanye mema?na mazuri ktk imani za kiafrika tuyachukue pia?

Suala ni kuanzia asia?then why wazungu hawalalamiki coz hawa wao si zao?mbona sisi afrika tuna mlima kilimanjaro na asia hawana husikii wakilalamika?nao wanakuja kuhiji(kutaliii tanzania)?

Waafrika mmpewa roho ya ulalamishi wa kipuuzi.basi tungekuwa tunajikwamua kuliko kukaa kulalamika.hii dini like ukristo siyo dini ya mataifa ya wazungu.wapo wengi tu wanaupinga.wapo waarabu uislamu ni utamaduni ndo hao wanaofurahi kukata vichwa au kuua wenzao.

Kama ilivyo tu nchi zetu za kiafrika.why malalamiko kila kona miaka nenda rudi?ugumu upo wapi waaafrika kuanzisha dini zao?nani kawazuia?kama kitu kipo strong kitasimama na kama ni weak kitajifia chenyewe au kitashindwa ku nourish/kustawi/kusurvive.

Tufanyeni kazi,tugundue vitu tuacheni kulalamika kila siku. Imani zetu za kiafrika ndizo zilitusaidia kubadilisha risasi ziwe maji katika majimaji war?na unadhani wazungi waliokuwa wanapigana nasi walikuwa na dini?kuitwa john speke ,david au hussein siyo kuwa dini hiyo yenye jina.

Na ndo maana umejiita frustration ila bado umebaki wewe mswahili.
 
Katika kitu kigumu sana kufanya katika karne hii ni kumwambia & kumbadilisha mwafrika atoke kwenye mlengo wake wa mawazo uliopandikizwa na mzungu na kurudi kwenye mlengo huru.
Sio kila Mtu yupo free kuruhusu mawazo huru.....


Sure
 
Mimi huwa wananichanganya tu pale mtu anaposema flani alikufa kwa dhambi zetu yani hizi dini jamani ni kuongopeana ty
 
Tuko pamoja mkuu... Tawileeeee
 
Aisee safi Sana
 
Mbaya zaidi tunawaomba watakatifu wa kizungu watuombee, kwani Afrika hapakuwahi kuwa na watakatifu. China, Japan na nchi nyingine za bara la Asia wana practice dini zao na wako mbali kimaendeleo. Wazungu wenyewe hata kanisani hawaendi na wengi ukiwauliza wanasema hawana dini. Angalia diplomatic community za kutoka Ulaya, Marekani, yaani wengi hawana dini. Halafu wao mtu kuwa shoga ni human rights etc.

Pia watanzaniaa wengi wana practice dini 2. Yaani kila kukicha matatizo lukuki Africa huku viongozi wakijinasibu wanamjua Mungu kumbe unafiki tu. Nilishawahi kwenda Fiji, wale watu ni full mila zao. Kwenye ufunguzi wa hafla za kitaifa na kimataifa yanapigwa matambiko ya kufa mtu. Yaani more than one hour, tena yanafanywa public huku raisi akishuhidia.
 
Big up! Ila ulipochanganya tena kizungu umeshaingi utamadumi wao. Kuna mambo mazuri ya kuiga kutoka kwao achilia mbali mambo ya imani. Kwa imani tumepigwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…