ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
1. Bado unaendelea kutapata misingi ya dini za mababuSwali nililo kuuliza umeshindwa kujibu na nikakupa maana ya tamko "msingi" kadhalika ukashindwa kujibu.
Iko hivi,msingi wa mababu zako huko nyuma katika kuabudu miti,wanyama na mfano wake ni UJINGA na HAWAA za nafsi,hayo uliyo yataja ni matokeo ya ujinga na matamani ya nafsi.
Ujinga ni kinyume na elimu,yaani kushindwa kulenga sehemu stahiki. Mpaka kesho ukiwauliza mababu zako kwanini walikuwa wanaabudu miti au mfano wake majibu yake ni ya kusikitisha na upi uhusiano kati ya maombi miti na mfano wake ?
Naomba unithibitishie ya kuwa kweli maombi yao yalikuwa yanajibu kweli,kwa maana waliomba mvua mizimu ikaleta mvua kweli,yaani thibitisha hilo.
Pili,ni zipi sifa za kitu kinacho stahili kuombwa ?
Nacheka sana,ndio nataka unithibitishie hilo sasa.
Sababu sisi mtume wetu alikuwa haongei kwa matamanio isipokuwa ni ufunuo toka kwa Mola wake,sasa ndio uniambie hili alilionaje maana bishara zote toka kwake tunazo.
Lakini pili,je unajua wanao pigwa kule Yemeni ni kina nani na kwanini wanapigwa ?
Kadhalika unaweza kuniambia au kunipa ubaya wa kitendo cha Wasaudia kuwapiga wale wa Yemeni ?
Mnacho feli nyinyi huko mnakochukua habari za nchi za kiarabu ni kuwa mnasahau ya kuwa migogoro yao imejengeka katika misingi ya dini,yaani kama huujui Uislamu kamwe huwezi kupatia katika kuzungumzia siasa za mashariki ya kati.
Naendelea ........
1.Matendo (umri, jinsia na wakati )
11. Miiko husika ya matendo yale
kama unaswali uliza mbona unalazimisha jambo ambalo halipo
2.Ujinga ni kuamini Mohammed katokewa na malaika na wewe ukakubali , huo ndio ujinga mkuu kwasababu huwezi kuthibitisha dai hili milele , yaani mtu anakaa tu anaamua kuja anatoka jasho anadai kutokewa na malaika ambaye anampa mamlaka kuwa yeye ndio kiongozi wa kiimani dunia nzima sasa unataka ujinga gani kama sio huu, unafikir wewe ungedai kutokewa na malaika ukaenda huko Arabuni ukatangaza wewe ni mtume wao wakuamini , unafikir kuna mwarabu angekusikiliza !! ahahahaa wangekufunga kamba wakakuona tahira , wewe kwa kukosa akili umeingia mkenge kwenye miungu ya kiarabu ahahhaaha
3. Kuhusu uislamu huwezi kutenganisha machafuko ya Uarabuni na waislamu , hivi unafikiri hatujui kwamba wale waasi wa Yemen ni Mashia wanaungwana mkono na Iran na serikali inaungwa mkono na Masuni Saudia na wenzao ,damu itamwagika mpaka Masuni waishe au Mashia waishe ahahahaaaha
- Mashia
-Masuni
hawa wote hawaelewani kila mtu anamuita mwenzie Amelaaniwa mashia awawataki kabisa maswahaba wa mtume wale wa3, wanahisi wamepora mamlaka ya Ally sasa utapataje Amani hapo wakati kuna maswahaba wanaonekana Majizi na mashia ahahahaha ukiondoa Ally , Mtauana kama Mbuzi sababu ni vita ya uroho wa madaraka unaomitafuna Omary, abubakar, othman wote hao ni Majizi kwa imani ya shia halafu unaongea utumbo gani , nyie.mtauana sana sana sana kumwaga damu kupo ndani yenu Mungu wa kiarabu anapenda damu imwagike atetewe