Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

Swali nililo kuuliza umeshindwa kujibu na nikakupa maana ya tamko "msingi" kadhalika ukashindwa kujibu.

Iko hivi,msingi wa mababu zako huko nyuma katika kuabudu miti,wanyama na mfano wake ni UJINGA na HAWAA za nafsi,hayo uliyo yataja ni matokeo ya ujinga na matamani ya nafsi.

Ujinga ni kinyume na elimu,yaani kushindwa kulenga sehemu stahiki. Mpaka kesho ukiwauliza mababu zako kwanini walikuwa wanaabudu miti au mfano wake majibu yake ni ya kusikitisha na upi uhusiano kati ya maombi miti na mfano wake ?

Naomba unithibitishie ya kuwa kweli maombi yao yalikuwa yanajibu kweli,kwa maana waliomba mvua mizimu ikaleta mvua kweli,yaani thibitisha hilo.

Pili,ni zipi sifa za kitu kinacho stahili kuombwa ?


Nacheka sana,ndio nataka unithibitishie hilo sasa.

Sababu sisi mtume wetu alikuwa haongei kwa matamanio isipokuwa ni ufunuo toka kwa Mola wake,sasa ndio uniambie hili alilionaje maana bishara zote toka kwake tunazo.

Lakini pili,je unajua wanao pigwa kule Yemeni ni kina nani na kwanini wanapigwa ?

Kadhalika unaweza kuniambia au kunipa ubaya wa kitendo cha Wasaudia kuwapiga wale wa Yemeni ?

Mnacho feli nyinyi huko mnakochukua habari za nchi za kiarabu ni kuwa mnasahau ya kuwa migogoro yao imejengeka katika misingi ya dini,yaani kama huujui Uislamu kamwe huwezi kupatia katika kuzungumzia siasa za mashariki ya kati.

Naendelea ........
1. Bado unaendelea kutapata misingi ya dini za mababu
1.Matendo (umri, jinsia na wakati )
11. Miiko husika ya matendo yale
kama unaswali uliza mbona unalazimisha jambo ambalo halipo

2.Ujinga ni kuamini Mohammed katokewa na malaika na wewe ukakubali , huo ndio ujinga mkuu kwasababu huwezi kuthibitisha dai hili milele , yaani mtu anakaa tu anaamua kuja anatoka jasho anadai kutokewa na malaika ambaye anampa mamlaka kuwa yeye ndio kiongozi wa kiimani dunia nzima sasa unataka ujinga gani kama sio huu, unafikir wewe ungedai kutokewa na malaika ukaenda huko Arabuni ukatangaza wewe ni mtume wao wakuamini , unafikir kuna mwarabu angekusikiliza !! ahahahaa wangekufunga kamba wakakuona tahira , wewe kwa kukosa akili umeingia mkenge kwenye miungu ya kiarabu ahahhaaha

3. Kuhusu uislamu huwezi kutenganisha machafuko ya Uarabuni na waislamu , hivi unafikiri hatujui kwamba wale waasi wa Yemen ni Mashia wanaungwana mkono na Iran na serikali inaungwa mkono na Masuni Saudia na wenzao ,damu itamwagika mpaka Masuni waishe au Mashia waishe ahahahaaaha
- Mashia
-Masuni

hawa wote hawaelewani kila mtu anamuita mwenzie Amelaaniwa mashia awawataki kabisa maswahaba wa mtume wale wa3, wanahisi wamepora mamlaka ya Ally sasa utapataje Amani hapo wakati kuna maswahaba wanaonekana Majizi na mashia ahahahaha ukiondoa Ally , Mtauana kama Mbuzi sababu ni vita ya uroho wa madaraka unaomitafuna Omary, abubakar, othman wote hao ni Majizi kwa imani ya shia halafu unaongea utumbo gani , nyie.mtauana sana sana sana kumwaga damu kupo ndani yenu Mungu wa kiarabu anapenda damu imwagike atetewe
 
Elimu maana yake ni kukidiriki kitu kama kilivyo. Hii ndio maana ya elimu,kila elimu ina misingi kumi.

Elimu haina mwenyewe bali elimu ina watu wake ndio maana yeyote anakuwa na elimu.

Uthamani wa jambo haupimwi katika asili,bali katika uhalisia na uhalali wa jambo husika. Kutokana na umuhimu wa elimu huwezi kulinganisha elimu na asili ya mtu.

Nikikuuliza swali hapa wewe asili yako ni nini au wapi,nanga itapaa.Asili bila elimu ni sawa na hakuna.

Nakuja kukwambia sasa msingi wa mababu zako ulikuwa nini ......?!
Sio kila elimu inafaa , wewe umemezeshwa Yesu sio Mungu , wakristo wamemezeshwa Yesu ni Mungu , wewe muislamu unawaona wenzio wakristo wamepotea kweli kwa ile elimu waliokua nayo,hivyo hivyo Miungu yetu ilikuwa na thamani kubwa Kulko huyo Yesu na Allah , ni ujinga mkubwa kuacha Miungu Yetu kisa elimu ya ovyo eti Yesu sijui ni Mungu mara Mohammed kaoa katoto kamiaka 6, elimu kama hizi ni upuuzi mtupu kwanza zinafundisha ubakaji kwa vitoto
 
Sasa hawa waislamu ambao nao walisoma zamani unaweza kuniambia elimu yao waliipatia wapi?
Unaijua historia mbona unauliza vitu vya kitoto , nchi ilipopata uhuru mambo yakabadilika serikali haina dini watu wakaanza kwenda shule wote,
 
Unaona sasa unashangaa babu kuoa kabinti wakati mabibi zetu wameolewa katika umri mdogo(chini ya miaka 18) ambao sasa hivi ukioa binti wa umri huo inahesabika umebaka,inaonesha uzungu umekuingia sana ila hapa unapiga kelele tu.
Mababu zetu katu hawakuoa kabinti ambako akajabalehe , Mohammed kaoa kabinti ambako ata kubalehe masikini bado , tafadhali acha kufananisha mababu zetu na Mohammed asie na chembe ya aibu
 
Hana hoja ya kuonyesha ubaya wa hiyo tangu na anza kujadiliana nae kuhusu ndoa hiyo zaidi ya kulalama tu na hatoweza hilo mpaka anakufa.
Unataka ubaya gani watu wanajifunza nini kwa babu la miaka 50 kuoa kabinti ambako katu akabalehe ? ukitaka kujua ubaya wake tafuta katoto kali ka miaka 6 niletee mimi kawe mke wangu
 
Tatizo la afrika hatukuwa na dini bali tulikuwa na imani tofauti tofauti kutokana na makabila yetu,
Dini ni maisha unayoishi kijana acha kukariri , afrika dini zilikuwepo kwasababu watu walikuwa na mifumo yao ya maisha ebu kasome tena urudi hapa
 
Mababu zetu katu hawakuoa kabinti ambako akajabalehe , Mohammed kaoa kabinti ambako ata kubalehe masikini bado , tafadhali acha kufananisha mababu zetu na Mohammed asie na chembe ya aibu
Nakuuliza sasa hivi unaweza kuoa binti chini ya miaka?
 
Unaijua historia mbona unauliza vitu vya kitoto , nchi ilipopata uhuru mambo yakabadilika serikali haina dini watu wakaanza kwenda shule wote,
Umeelewa nilichokuuliza?tatizo unaongea ilimradi umeongea.
 
Dini ni maisha unayoishi kijana acha kukariri , afrika dini zilikuwepo kwasababu watu walikuwa na mifumo yao ya maisha ebu kasome tena urudi hapa
Ukisema dini ni maisha unayoishi basi hata Kiranga atakuwa na dini, sisi tulikuwa na imani tu mbalimbali na si dini.
 
1. Bado unaendelea kutapata misingi ya dini za mababu
1.Matendo (umri, jinsia na wakati )
11. Miiko husika ya matendo yale
kama unaswali uliza mbona unalazimisha jambo ambalo halipo

Naona umeamua kuwa mjinga. Hili nimelimaliza.
2.Ujinga ni kuamini Mohammed katokewa na malaika na wewe ukakubali , huo ndio ujinga mkuu kwasababu huwezi kuthibitisha dai hili milele

Nacheaka sana,kuthibitisha hili ni kwa muda mchache sana na ninaweza kufanya hivyo.

Kabla sijakuthibitishia,kwanza naomba uniambie kwako wewe ithibati ni nini ? Ili mtu akuthibitishie jambo anatakiwa akidhi vigezo gani ? Nauliza hivi ili usije kukutaa uthibitisho nitakao kupa.
yaani mtu anakaa tu anaamua kuja anatoka jasho anadai kutokewa na malaika ambaye anampa mamlaka kuwa yeye ndio kiongozi wa kiimani dunia nzima sasa unataka ujinga gani kama sio huu,
Jaribu na kufanya hivyo au mfano wake,uone au ndipo utakapo jua kwanini tulipewa akili na nikuonyeshe vipi akili inavyotumiwa.

Huwa nawashangaa sana watu nyie,jambo hamlijui lakini mnalizungumzia matokeo yake mnaonekana vituko. Huu ujinga mimi siwezi kuufanya,kuongelea jambo ambalo silijui,nyinyi ujasiri huu sijui mnaupata wapi ?

Vipi kuhusu wale waliomsadikisha mtume baada ya kupata habari za Namus al Akbari ? Nao walidanganywa ? Vipi walidanganywa hali ya kuwa walikuwa na elimu ya vitabu vya kale ? Nawazungumzia kina Waraqah bin Nawfal na Bahira ?
unafikir wewe ungedai kutokewa na malaika ukaenda huko Arabuni ukatangaza wewe ni mtume wao wakuamini , unafikir kuna mwarabu angekusikiliza !! ahahahaa wangekufunga kamba wakakuona tahira , wewe kwa kukosa akili umeingia mkenge kwenye miungu ya kiarabu ahahhaaha

Hilo si kwangu tu,hata wewe nimekuuliza tu dai kwamba wewe ni mtume huku kwetu uzaramuni tu uone shughuli yake.

Watu wa kale walikuwa na elimu juu ya mitume,ndio maana mtu muongo ambae alikuwa anadai utume walikuwa wana mizani yao ya kupima kujua kweli au sio kweli,na wapo watu ambao hata wakipewa ushahidi wa wazi kiasi gani hawaamini.

Kwahiyo mtume alikubalika sababu watu wale walimpa katika mizani wakajua kweli huyu mtume. Kwahiyo walimsidikisha sababu walikuwa na elimu tayari.


Naendelea .....
 
Sio kila elimu inafaa , wewe umemezeshwa Yesu sio Mungu , wakristo wamemezeshwa Yesu ni Mungu , wewe muislamu unawaona wenzio wakristo wamepotea kweli kwa ile elimu waliokua nayo,hivyo hivyo Miungu yetu ilikuwa na thamani kubwa Kulko huyo Yesu na Allah , ni ujinga mkubwa kuacha Miungu Yetu kisa elimu ya ovyo eti Yesu sijui ni Mungu mara Mohammed kaoa katoto kamiaka 6, elimu kama hizi ni upuuzi mtupu kwanza zinafundisha ubakaji kwa vitoto
Naomba unipe sifa tano tu za miungu yenu kisha,uniambie kwanini mlikuwa mnaiabudu na kuiomba ?
 
Unataka ubaya gani watu wanajifunza nini kwa babu la miaka 50 kuoa kabinti ambako katu akabalehe ? ukitaka kujua ubaya wake tafuta katoto kali ka miaka 6 niletee mimi kawe mke wangu
Hili jambo linakushinda tangu siku ya kwanza najadiliana na wewe,na bado unazidi kukimbia swali.
 
Umeelewa nilichokuuliza?tatizo unaongea ilimradi umeongea.
Umetaka kujua waislamu wa hapa kwetu walisomaje , nimekujibu vizuri tu baada ya uhuru wote waliruhusiwa kwenda shule , tatizo liko wapi ?
 
Nakuuliza sasa hivi unaweza kuoa binti chini ya miaka?
Naweza kuoa binti aliebalehe na mwenye utimamu wa akili, Mohammed kaoa katoto ka miaka 6 ambako ata kubalehe bado kwa lugha nyepesi Mohammed kafungishwa ndoa kwa katoto ambako bado akana utimamu wa kupambanua mambo , hii ndoa ni batili , swali jingine
 
Naomba unipe sifa tano tu za miungu yenu kisha,uniambie kwanini mlikuwa mnaiabudu na kuiomba ?
Sifa za miungu yetu ni hizi
1. Ulinzi wa jamii na majanga
2. Kubariki jamii
3. Kuadhibu pale miiko inapovunjwa
masifa kibao ya nini huku kwetu , tatu bomba hizo hapo
 
Nakuuuliza swali mtoto asiebalehe anaelewa nini kuhusu ndoa ?
Anaelewa ya kuwa ndoa ni kuishi na mume na mengineyo kuhusu ndoa. Kuna ndoa na kuna kuishi na mume,usichanganye viwili hivi.

Nakukumbusha pia,alioelewa akiwa na miaka sita akaenda kuishi na mumewe akiwa ana miaka tisa. Hapa kwenye miaka tisa huwa unapakimbia sababu huwezi kupajengea hoja.

Je binti wa miaka tisa hawezi kuishi na mume ?

Binti wa miaka tisa hawezi kuwa amebaleghe ?

Binti wa miaka tisa haingiliwi ?

Na kuuliza swali kadhalika,ndoa inahitaji nini hasa ?


Unaweza kunithibitishia alipokuwa na miaka hiyo tisa alikuwa bado hajabaleghe ?

Nipe ubaya wa hiyo ndoa sasa,usilalamike na maswali yangu uyajibu vizuri na kielimu.
 
Sifa za miungu yetu ni hizi
1. Ulinzi wa jamii na majanga
2. Kubariki jamii
3. Kuadhibu pale miiko inapovunjwa
masifa kibao ya nini huku kwetu , tatu bomba hizo hapo

Kwanza sifa hizi zina mapungufu nazinadondoshwa na swali moja tu,vipi nyinyi mmeumbwa au mmejiumba ?

Pili naomba uzithibitishe hizo sifa kama kweli hao miungu wengu wanazo ?!
 
Naona umeamua kuwa mjinga. Hili nimelimaliza.


Nacheaka sana,kuthibitisha hili ni kwa muda mchache sana na ninaweza kufanya hivyo.

Kabla sijakuthibitishia,kwanza naomba uniambie kwako wewe ithibati ni nini ? Ili mtu akuthibitishie jambo anatakiwa akidhi vigezo gani ? Nauliza hivi ili usije kukutaa uthibitisho nitakao kupa.

Jaribu na kufanya hivyo au mfano wake,uone au ndipo utakapo jua kwanini tulipewa akili na nikuonyeshe vipi akili inavyotumiwa.

Huwa nawashangaa sana watu nyie,jambo hamlijui lakini mnalizungumzia matokeo yake mnaonekana vituko. Huu ujinga mimi siwezi kuufanya,kuongelea jambo ambalo silijui,nyinyi ujasiri huu sijui mnaupata wapi ?

Vipi kuhusu wale waliomsadikisha mtume baada ya kupata habari za Namus al Akbari ? Nao walidanganywa ? Vipi walidanganywa hali ya kuwa walikuwa na elimu ya vitabu vya kale ? Nawazungumzia kina Waraqah bin Nawfal na Bahira ?


Hilo si kwangu tu,hata wewe nimekuuliza tu dai kwamba wewe ni mtume huku kwetu uzaramuni tu uone shughuli yake.

Watu wa kale walikuwa na elimu juu ya mitume,ndio maana mtu muongo ambae alikuwa anadai utume walikuwa wana mizani yao ya kupima kujua kweli au sio kweli,na wapo watu ambao hata wakipewa ushahidi wa wazi kiasi gani hawaamini.

Kwahiyo mtume alikubalika sababu watu wale walimpa katika mizani wakajua kweli huyu mtume. Kwahiyo walimsidikisha sababu walikuwa na elimu tayari.


Naendelea .....
1. Unajua unachekesha sana nimekupa msingi wa dini za mababu zetu kuwa ni
-Matendo
- miiko yake
Lakini cha kushangaza unalazimisha mambo ambayo hayapo , ata kwa rafiki zetu MABBUDHA misingi mikuu ya imani yao kwao wote ni 4
- Dukkha
- Samudaya
-Nirodha
- Magga

ila kwa vile wewe ni mvivu hakuna unalojua , misingi haina idadi kijana ahahhahaaaaa

2. mimi nakwambia uthibitishe kweli Mohammed katokewa na malaika unaanza ngonjera

3. KUDAI UTUME sio jambo kubwa unacheza na akili za watu wasiojielewa kama wewe , Nyie waislamu mpaka leo mnakataa utume wa Paulo lakini wakristo wanaukabali, Wakristo wanakataa utume wa Mohammed lakini wewe unaukubali , kwahiyo kukubali na kukataliwa ni jambo liliopo wazi ata mimi wapo watakao nikubali na watakao nikataa , wewe umeingia mkenge kukubali miungu ya kiarabu kisa kadai kutokewa na vitu alivyovitangaza mwenyewe , huo ni ujinga wako , ata Nabii Tito alipata wafuasi atakuwa Mohammed alieoa katoto kamiaka 6 !! wajanga hawaishi wapo tu kama alivyowapata Mohammed na kama alivyowapata Tito
4. Umezungumza vitabu vya kale , vitabu gani hivyo vilivyomtaja Mohammed halafu niambie nikasome ,ahahaahaahaaa
 
Back
Top Bottom