Ukweli wa alichokisema Sheikh Kipozeo kuhusu Diamond

Kipozeo kafanya kazi sahihi. Yeye ni mwalimu wa dini na ni jukumu lake kumkumbusha diamond kama muislam mwenzie. Msalaba iwe wa marasta au wa mapasta kwenye uislam haukubalik. Msalaba ni ishara ya laana. Kipozeo sio wa kutafuta kazi ya kufanya. Hapo kafanya kazi yake
 
Huyu nae kaona Diamond ndio muislamu wa kwanza kuvaa msalaba? by The way Mungu wetu Sote! Kinachonikera toka kwa Waislamu ni Ubaguzi wao! Sasa huyo anaongelea nn hapo
Kwa upuuzi wako huwezi kuelewa. Ile ni dini yenye utaratibu wake. Na moja kati ya utaratibu ni kukumbushana. Sometimes sio lazima utangaze ujinga na chuki zako
 
Ona maswali yako ya kizwazwa shehe mmoja alipata kusema [emoji117] hebu kachukue udhu dogo[emoji12]
Huyo SHEHE UBWABWA ,,si kila mwenye kanzu ni shehe.....hakuna kitu kama hicho....
 
Yes u ni Mungu Kamili na Mwanadamu Kamili[emoji123] [emoji106] kataa sasa MWENYEZI Kihivyo Uwezo huo Hana [emoji4]
Hivi MUNGU amezaliwa? MUNGU kabebwa,,,MUNGU anakula na kujisaidia kama binadamu wengine?MUNGU analala?MUNGU anapigwa makofi na kusulubiwa? hivi mnajuwa sifa za MUNGU?kama YESU NI MUNGU basi hata wale wanaochonga KINYAGO na kusema ni MUNGU wapo sahihi,, labda nikueleze sifa za MUNGU, ,,KWANZA MUNGU ni mmoja tu....hana mshirika,,.hana rafiki wala hakuzaa wala hakuzaliwa,,,,hanywi wala hali wala halali,, na hafanani na chochote na AKISEMA KUWA INAKUWA......YESU ni mtume wa MUNGU kama mitume mingine iliyopita......aliyeletewa INJILI...NA ALIKUJA KWA MATAIFA 12 ya wana wa ISRAEL....
 
kiukweli wabongo tunapenda kushabikia stori za ajabu-ajabu sana.
ona kama hivi watu wanabishana kuhusu mshenzi-mshenzi taipu tu mnamuita MUNGU
 

Wewe unaejua hebu tueleze historia ya msalaba na utatu mtakatifu. Kama unasema kweli kwamba msalaba wa yesu ni tofauti na msalaba wa Ethiopia tueleze ni lini wakristo walianza kutumia msalaba kama kweli wewe ni mkweli
 
We jamaa ni muongo mpaka basi kumbukumbu tangu lini ikawa na habari za Pilato na yesu
 
Luka anaandika Injil kama nani !?
Alikuwa miongoni mwa wanafunzi 12 !?
Soma Luka 1;1
Yesu hakuwa na wanafunzi hao 12 tu
Walikuwa zaidi ya 70
Hao 12 ni wale walioapa kufa nae tu
 
Ukiwa huna roho Mtakatifu ni ngumu kukubali Yesu Kristo ni mwana wa Mungu mwenye mamlaka mbinguni na duniani mpaka hapo mwisho wa huu ulimwengu utakapofika
Na pia ukiwa hauna roho Mtakatifu ni ngumu kukubali Bikira Maria ni mama wa Mungu kama alivyotamka elizabeti
 
Kwa Hiyo yesu anavyosema hakuja kuleta Amani bali upanga anamaanisha nini
Anamaanisha kila neno lake litaibua sintofahamu kati ya watu kutokana na kupotea kwa watu
Maneno yake yatawachoma watu na wale watakaoelewa na Kuwafundisha wengine habari njema basi watazua vita kati ya watu na huenda wakauawa kabisa
Ndio maana alisema anaetaka kunifuata ajikane mwenyewe kwanza na aubebe msalaba wake na kumfuata
Ndio maana akasema atakayetaka kuyaokoa maisha yake atakufa na yule ambaye yuko tayari kuyapoteza ataishi
Hii ni falsafa ya Yesu na kazi yake ya ukombozi wa dhambi
 
Ungekuwa wa maana kama ungeyuletea Sura zilizosema hayo uliyoandika. Vinginevyo ukae kimya tu.
 
Wewe unapayuka tu ndugu Ila hata Diamond anaelewa kwamba alichokumbushwa na kiongozi wake wa dini ni sahihi. Kilichobaki ni kufuata tu amri ya Shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…