St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Mkuu kama una pua mbovu hio kweli hutoweza kunusa harufu ya kwapa yako. Hivi ushawahi kunya na harufu huisikii? [emoji15] Nimemtaka ataje huo ubaguzi wa waislam. Sitaki ubaguzi wa tamaduni za watu nataka ubaguzi wa waislam alio uona na wewe unaweza kuueleza pia.Hivi unajua ukinuka kikwapa mara nyingi hujisikii bali uliokaa nao ndio hujua jamaa anatema. Kama kisasi ni suna, basi ubaguzi lazma uwepo.
Allah ni jina LA muumba Wa dunia, waweza muita Ya Razaq, Ya latwif nkHakuna Mungu isipokuwa allah, fuatilia kwa makini hii nahau.
Wewe usichojuwa ni kwamba ukristo siyo dini ni kumfuata kristo kama bwana na muokozi wako.Mbona umesahau kutwambiya YESU alikuwa anaingia ktk SINAGOGI?na sinagogi ni MSIKITI kwa kiyahudi.....pia YESU anasema sikuja mimi bali kwa makabila 12 ya wana israel waliopotea wewe kabila gani?halafu kaulize kesho NABII IBRAHIM,,NABII YUSUPH,,NABII YAKOBO wote wsmezikwa MASJIDIL ABRAHAM huko israel ...kwann wazikwe msikitini?na sio kanisani?elewa kuna tofauti kubwa kati ya YESU NA UKRISTO....YESU hakuwa mkristo....
Ni kweli ila kizuri Mungu muumba mbingu na ardhi ana sifa zake.Inawezekana kabisa wengine wanaamwabudu Mungu wasiemjua bila wao kujua huku wakiamini wanamwamini Mungu alieumba mbingu na ardhi
Kwahiyo mkuu Ukristo ni imani tu ya kuamini Yesu ni muokozi wako?Wewe usichojuwa ni kwamba ukristo siyo dini ni kumfuata kristo kama bwana na muokozi wako.
Tatizo lugha ndio inawaaumnuwa wafuasi wa Mwamedi hata TB Joshua kanisa lake analiita Sinagogi.
na hao rastafari wanatumia kitabubgani vileWewe na huyo Kipozeo wote mambumbu hamjui kitu, mmedandia treni la waarabu tu mnapelekwa kama ng'ombe. Ule msalaba aliovaa Diamond sio wa Yesu, ile inaitwa Ethiopian cross na Rastafari wengi wanavaa ile kitu. Naweza kusema aina ya muziki na collable na Morgan Heritage ndio maana Diamond akavaa kwenye video. Mwambie Kipozeo atafute kazi ya kufanya maana hajui kitu.
na hao rastafari wanatumia kitabubgani vile
unaijua maana ya Allah? na unajua kwanini waisalamu wa kiswahili au nchi nyengine wanasema "hakuna Mungu isipokuwa Allah?" au kwa kiingereza "there is no God but Allah"Hakuna Mungu isipokuwa allah, fuatilia kwa makini hii nahau.
Ndio sababu waislamu wanaingia kanisani kwenye ibada lakini mkristo hawezi kuingia kiswali msikitini.Kwahiyo mkuu Ukristo ni imani tu ya kuamini Yesu ni muokozi wako?
Jibu ni rahisi tu kuna Mungu na kuna allah, hawa ni vitu viwili tofauti.unaijua maana ya Allah? na unajua kwanini waisalamu wa kiswahili au nchi nyengine wanasema "hakuna Mungu isipokuwa Allah?" au kwa kiingereza "there is no God but Allah"
Ebu kajifunze maana ya hilo Jina Allah,ukishapata ufafanuzi wa kutosha,sasa unganisha dots kwanini watu wamtaje Mungu halafu hapo hapo mbele waseme tena Allah.
na huu ndio ukweli ila kuna watu wanataka kuaminisha watu kwamba ni mmoja.Jibu ni rahisi tu kuna Mungu na kuna allah, hawa ni vitu viwili tofauti.
aise..mkuu nimekwambia kajifunze kwanza,usitumie hisia kujibu mambo yanayohitaji Elimu kuyajua.Jibu ni rahisi tu kuna Mungu na kuna allah, hawa ni vitu viwili tofauti.
Sinagogi ni msikiti...sio kanisa...kinachofanyika SASA KWENU ni kufanyia maboresho mapungufu na kuyafanyia kazi..KAMA HIYO SINAGOGI....tangu lini KANISA LIKAITWA MSIKITI?..UKRISTO NI DINI ya WATU...SI DINI YA MUNGU..Wewe usichojuwa ni kwamba ukristo siyo dini ni kumfuata kristo kama bwana na muokozi wako.
Tatizo lugha ndio inawaaumnuwa wafuasi wa Mwamedi hata TB Joshua kanisa lake analiita Sinagogi.