Hebu fafanua yani waislamu wanaingia kanisani kwenye ibada?Ndio sababu waislamu wanaingia kanisani kwenye ibada lakini mkristo hawezi kuingia kiswali msikitini.
Inategemea mkuu hata wengine huona Kusema Mungu baba,Mungu mwana na Roho mtakatifu ni Miungu mitatu ila wengine huaminisha watu kuwa ni Mungu mmoja.na huu ndio ukweli ila kuna watu wanataka kuaminisha watu kwamba ni mmoja.
Kwahiyo unataka kusema mkuu kila chenye kuitwa Mungu ni Mungu kweli kwa sababu kimeitwa Mungu?Jibu ni rahisi tu kuna Mungu na kuna allah, hawa ni vitu viwili tofauti.
Nachosema mie ni kwamba mkusudiwa ni mmoja tu,wewe unasema ni watu wawili tofauti kwa sababu waislamu wanamaelezo yenye kumuhusu Yesu ambayo ni tofauti na uyajuayo wewe lakini mkusudiwa ndiyo huyo huyo na ndiyo maana hata kuna ubishi wa Yesu si Issa na si kwamba Issa sio Paul.Sawa lakini mbona hata kuzaliwa kwao ni tofauti
Hapa ndipo utakapogundua ni watu wawili tofauti na sio mtu mmoja anaongelewa
Wewe maelezo haya ya kuwa Mungu hana dini umeyapata kwa Mungumwenyewe au nawe pia umeyapata kwa mtu?Mkuu hamna dini ya Mungu. Dini zote zimeletwa na watu, tena watu flani wawili tu ndio wanatufanya tubishane. Mungu hana dini, ni Muddy kitonga, ndio aliyeleta uislam na Yesu nae akaleta ukristo.
Mkuu usilaumu waislamu wakati sifa za Mungu hata kwenye Biblia zipo na ndipo utakuta kuwa inasema Mungu hana mfano,sasa kama Biblia hiyohiyo inasema Mungu hana mfano halafu pia inasema tulivyo binaadamu ni mfano wa Mungu basi tatizo ni Biblia yenyewe na si waislamu.Unajua waislamu watu wa ajabu sn......eti john wa mbagala ndo huyohuyo wa masaki. Hata ibrahim anayetajwa kwenye kuran ni tofauti kabisa na wa Wakristo......alafu waislamu wanasema mungu hafanani wala hana mfano wkt Biblia takatifu inatufundisha kuwa Tumeumbwa kwa mfano wake ktk kitabu cha mwanzo Bible ina sema Mungu akasema "Na tuumbe mtu kwa mfano wetu......."
Ukiwa muislamu ni km kujitoa ufahamu inabidi uwe tayari kuelewa na kuamini kuwa unaweza kuua mtu ili uende peponi ukipigania dini ya mnyazimungu
Diamond alivaa alama ya kujumlisha. Nina uhakika kabisa.
Chanzo cha hii stori ni wakati kipozeo anaongea kuhusu mwislamu mwenzake nasibu abduli au dimondMaelezo mafupi lakini yanaeleweka na point zimejaa humo.........sasa naomba kufahamu chanzo cha hii stori ili nikiisoma na mimi tutasaidiana kuumaliza ubishi!
Sawa ni kweli Allah lina maana ya Mungu ila ni Mungu yupi sasa maana Allah huyu inaonekana hakuumba hata mbingu na ardhi na vyote vilivyomoWacha upotoshaji wewe Allah ni neno la kiarabu kwa kiswahili ni Mungu, kingereza ni God.
Maneno aliyoyasema mwenzako si kwamba kuna vitu viwili, makosa ya watu wanaotafsiri shahad isemayo , "Ninashuhudia hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu..."
Wale wanatamka kwa kifupi mno kuwa, "hapana Mungu ila Allah" na si kwamba inamaanisha vitu viwili tofauti. Usichoelewa uliza si kupotosha, kama ni Mkristo safi upotoshaji ni dhambi kubwa. Sijui unafuata kitabu gani kinachokuruhusu upotoshaji
mokomberoHahahaa hicho kiarabu cha Yasu ni rombo mashati au tarakea?
Yesu Kristo hakuzaliwa chini ya shina la mtende ndugu na qurani haitaji nchi wala eneo husika na alizaliwa usiku wa manane kwa mujibu wa bibleNachosema mie ni kwamba mkusudiwa ni mmoja tu,wewe unasema ni watu wawili tofauti kwa sababu waislamu wanamaelezo yenye kumuhusu Yesu ambayo ni tofauti na uyajuayo wewe lakini mkusudiwa ndiyo huyo huyo na ndiyo maana hata kuna ubishi wa Yesu si Issa na si kwamba Issa sio Paul.
Mungu hana mfano katika matendo yake tu na namna anavyotenda kazi zake haina maana nyingineMkuu usilaumu waislamu wakati sifa za Mungu hata kwenye Biblia zipo na ndipo utakuta kuwa inasema Mungu hana mfano,sasa kama Biblia hiyohiyo inasema Mungu hana mfano halafu pia inasema tulivyo binaadamu wa Mungu basi tatizo ni Biblia yenyewe na si waislamu.
Tatizo kama hili pia lipo kwa upande wa Yesu alikuwa Mungu au ni binaadamu tu,maana pia nako huko sifa za Mungu zilikosekana kwa Yesu lakini bado wengine wanasema alikuwa Mungu.
Uongo ukiachwa huonekana kuwa ni kweliUsipende kuingilia Imani za watu waache waislamu na Imani yao na ww baki na Imani yako.... Kwani ww Ni msemaji Wao?
Kwa hiyo tuseme Farao alikuwa anatumia hiziHii alama ni ya Pharao siyo ya Kikristo View attachment 619840
•The ankh is a cross with a looped top which, besides the concept of life, also symbolized eternal life, the morning sun, the male and female principles, the heavens and the earth.