nkulikwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2015
- 721
- 813
Bahati mbaya ni kwamba bibilia haisemi alizaliwa wapi ina inasema alikolazwa! Ukiwa uko darasa la Tatu unaweza kudhani ni tofauti la Kwanza, inaweza kuwa Kweli au isiwe Kweli, ufahamu tu ndiyo tofauti na Bahati mbaya ni kwamba ujuzi wa darasa la tatu ni tofauti na la Kwanza!