Ukweli wa fedha za haraka: Tunadanganywa au ni kawaida ya kila mtanzania kununuliwa ndoto?

Ukweli wa fedha za haraka: Tunadanganywa au ni kawaida ya kila mtanzania kununuliwa ndoto?

Rafiki yako yupo sahihi,.......,...ni mtu mwenye akili sana na yupo real
1.2022 Solana ilishuka hadi $8,2025 imepanda hadi $232,...........
2.2022 Terra/Luna imecollapse from $60 up to less than $0.1,na Hadi leo haijavuka hapo
Sasa imagine angukuambia ununue kisha ukahold Terra,Yeye akahold,Solana?..............
3.Binafsi 2021 niliwatumia ndugu jamaa na wale watu wote naowajua wamine Pi coins,........Leo Pi moja imefika $2,chukulia wangekua wameunlock 30% ya Pi zao,hakuna angayekosa $600=1,500,000/=na hii ni Bure huweki hata shilingi moja..........
Then ndani ya hao Kuna Wapumbavu watakuja kunisema kua sijawai kuwasaidia kwa chochote mimi nina roho mbaya sana😁😀😆
Dah kwahiyo mkuu najifunza wapi cryptocurrency
 
Dah kwahiyo mkuu najifunza wapi cryptocurrency
Elon Musk aliwahi sema "Except for Law and Medicine,you can learn any skills,in you tube for free,university is for Choire"
Haiwezekani mtu anayetumua smartphone ashindwa kujifunza kifu YouTube,google na Sasa Kuna chart GPT,............wengi ni wale wanataka wajifunze leo ,wiki ijayl waanze kupata faida.
Kama upo serious kujufunza niandikie scanned hand written one copy each of the following;-
1.What is trading?
2.whay is the difference between trading and investing?
3.who is Satoshi nakamoto?
4.what are the cryootcurrencies?
5.what is the proof of work?
6.wht is the proof of stake?
7.what is the DEFI?
8.What is DAPP?
9.What is he difference between gambling and trading?
10.whag is leverage trading?
Tuanzs na hizo kwanza,each task 3 or more reference
NOTE:Masikini wengi ni wapumbavu,wanasema hujawapa fursa,ukiwapa taski ya kuzitafuta hizo fursa wanakukimbja na kulakamika kua hujawasaidia
 
Achana na matapeli, Crypto is the FUTURE, Crypto ni maisha na maisha ni Crypto, inashangaza kuona wahuni wakiivamia hii secta na kuichakachua kwa kuwapotosha wengine kwa maslahi yao ya kuwaibia.

Kiufupi katika industry ya cryptocurrency kuna risks nyingi na faida nyingi vile vile inategemea na wewe upo katika factory ipi, kuna daily trading through memecoins/shitcoins, au stable coins selling, pia kuna fursa ya kufanya daily trading ya crypto exchanging, alafu kuna iyo future trading ambayo ndiyo wengi huiongelea ya kuhold coin fulani kwa malengo na matarajio ya kupata faida baada ya coin husika kupanda thaman kwa 2x, 3x, 5x, 10x.

Pia kuna hii fursa katika crypto inayohusika na mining ya coin/token(Airdrops) kwa muda fulani ambapo mnaichimba token/coin kwa matarajio ya kupata faida kulingana na kiwango/idadi ya coins ulizo-min na token/coin hizo kuja kuingizwa katika masoko ya crypto trading kama vile binance, OKX, Bybit nakadharika.

Vile vile kuna fursa ya kuuza Coin through P2P kwa malengo ya kutengeneza faida kupitia mauzo ya USDT kwenda katika sarafu halisia kama vile Tsh, Ksh nakadharika.

Haya acha kudanganywa na hao makanjanja, fursa iko wazi ukiwa interest PM yangu iko wazi jikadilie pesa ya somo upewe darasa.
 
Achana na matapeli, Crypto is the FUTURE, Crypto ni maisha na maisha ni Crypto, inashangaza kuona wahuni wakiivamia hii secta na kuichakachua kwa kuwapotosha wengine kwa maslahi yao ya kuwaibia.

Kiufupi katika industry ya cryptocurrency kuna risks nyingi na faida nyingi vile vile inategemea na wewe upo katika factory ipi, kuna daily trading through memecoins/shitcoins, au stable coins selling, pia kuna fursa ya kufanya daily trading ya crypto exchanging, alafu kuna iyo future trading ambayo ndiyo wengi huiongelea ya kuhold coin fulani kwa malengo na matarajio ya kupata faida baada ya coin husika kupanda thaman kwa 2x, 3x, 5x, 10x.

Pia kuna hii fursa katika crypto inayohusika na mining ya coin/token(Airdrops) kwa muda fulani ambapo mnaichimba token/coin kwa matarajio ya kupata faida kulingana na kiwango/idadi ya coins ulizo-min na token/coin hizo kuja kuingizwa katika masoko ya crypto trading kama vile binance, OKX, Bybit nakadharika.

Vile vile kuna fursa ya kuuza Coin through P2P kwa malengo ya kutengeneza faida kupitia mauzo ya USDT kwenda katika sarafu halisia kama vile Tsh, Ksh nakadharika.

Haya acha kudanganywa na hao makanjanja, fursa iko wazi ukiwa interest PM yangu iko wazi jikadilie pesa ya somo upewe darasa.
 
Achana na matapeli, Crypto is the FUTURE, Crypto ni maisha na maisha ni Crypto, inashangaza kuona wahuni wakiivamia hii secta na kuichakachua kwa kuwapotosha wengine kwa maslahi yao ya kuwaibia.

Kiufupi katika industry ya cryptocurrency kuna risks nyingi na faida nyingi vile vile inategemea na wewe upo katika factory ipi, kuna daily trading through memecoins/shitcoins, au stable coins selling, pia kuna fursa ya kufanya daily trading ya crypto exchanging, alafu kuna iyo future trading ambayo ndiyo wengi huiongelea ya kuhold coin fulani kwa malengo na matarajio ya kupata faida baada ya coin husika kupanda thaman kwa 2x, 3x, 5x, 10x.

Pia kuna hii fursa katika crypto inayohusika na mining ya coin/token(Airdrops) kwa muda fulani ambapo mnaichimba token/coin kwa matarajio ya kupata faida kulingana na kiwango/idadi ya coins ulizo-min na token/coin hizo kuja kuingizwa katika masoko ya crypto trading kama vile binance, OKX, Bybit nakadharika.

Vile vile kuna fursa ya kuuza Coin through P2P kwa malengo ya kutengeneza faida kupitia mauzo ya USDT kwenda katika sarafu halisia kama vile Tsh, Ksh nakadharika.

Haya acha kudanganywa na hao makanjanja, fursa iko wazi ukiwa interest PM yangu iko wazi jikadilie pesa ya somo upewe darasa.
Amna shida ngoja tuje PM
 
Kuna jamaa alikuwa anakodisha miziki kwenye shuguli zozote iwe sherehe zozote iwe harusi au misiba, akaanza kuporomosha mijengo ya maana watu wakasema kumbe hii ni deal nzuri.

Now yupo ndani kakutwa na madawa ya kulevya.

Kama ameamua kukugomea kukufundisha huenda ana maana yake nyingine, usimlazimishe.
 
Na Mimi nataka kucheza huu
Mchezo jamaani nipeni maarifa maana ni 0 sina nachojua kabisaa kuhusu hela za mtandaoni
Crypto haichezwi kiongozi, sijui kwanini watu hawaelewi na serikali zetu hazitii uzito katika hili jambo la kuelimisha watu ili kuondoa huu utata wa watu kuitafsiri Cryptocurrency kana vile kamari na hiyo michezo ya kubahatisha.

Crytpo kiufupi ni biashara ya fedha/sarafu za kidigital zenye thamani halisi, ambapo unaweza kuzitumia kufanya miamala ya bidhaa na huduma mbalimbali za malipo ya mtandaoni na manunuzi mitandaoni au kuzi invest kwa muda fulani kwa matarajio ya kupanda kwake thamani ili uje kuziuza baada ya kupanda kwake thamani.

Pia unaweza kuzitumia kwa kujipatia faida kwa kuzibadili sarafu hizo kwenda sarafu zingine kwa target ya kupata faida ya kati ktk masoko tofauti, mfano, Pesa ya Tanzania kuinunua ktk soko A, kwa thamani ya kiasi fulan mfano elfu5(5000) na kuiuza ktk soko B kwa faida ya 5700Tsh, yaan unatengeneza faida baada ya mauzonya sarafu ya aina moja ktk masoko tofauti.

Karibu PM
 
Kuna jamaa alikuwa anakodisha miziki kwenye shuguli zozote iwe sherehe zozote iwe harusi au misiba, akaanza kuporomosha mijengo ya maana watu wakasema kumbe hii ni deal nzuri.

Now yupo ndani kakutwa na madawa ya kulevya.

Kama ameamua kukugomea kukufundisha huenda ana maana yake nyingine, usimlazimishe.
Duh aise some people Wana maeneo wamewekeza yao nje ya public business zao
 
Jamaa hii thread yako imekaa kimchongo sana, kuna harufu naisikia hapa
 
Mie naona ni kujilipua tu, kuna hii sijui FIC, kama miezi 4 iliyopiya watu wamejiunga, kujilipua sasa saa hivi watu wanaogelea kwenye mamilioni.
Ukiangalia sana ni risk, yanaweza yakawa kama ya DECI. Zaidi sana, kwa jicho la kiroho, ni hatari hata kwa usalama wa nchi. Ebu fikiria mtu anaweka 1m anafaida 50,000 hivi kwa siku. Hivi huyu anweza waza kulima, akiuza bodaboda 3m aka bet kwa faida hiyo, si anakula bila jasho. Pamoja Serikali kukata kodi kwa mihamala ya simu, personally bado ni risk! Cheap ia expensive.

Mtu awake 100m faida yake vipi, labda ni polisi, mjeda itokee uhalifu wa ku risk maisha, atakwenda? si ndio inakuwa kama Congo!!
Ndio maana huyo mwamba amekataa kumwambia chochote kwasababu anajua madhara ya kufundisha watu namna za kujipatia pesa bila kuzalisha mali au bidhaa au kutoa huduma.

Vijana wa sasa wanatafuta mafanikio ambayo hupatikana kwa njia ya kufanya kazi kwa bidii na kupatikana baada ya muda fulani.

Sasa mtu anataka aende tu sehemu wamgawie pesa awe tajiri na yeye aanze kupost Instagram kuwa ana maisha mazuri ya kifahari ila story ya kuvipata hivyo vitu hana.

Vijana pigeni kazi,taifa linawategemea,tutaishia kuwa taifa la mwisho kimaendeleo kwa kuendekeza njia za mkato za kujipatia pesa.
 
Jamaa hii thread yako imekaa kimchongo sana, kuna harufu naisikia hapa
Palipo na wengi kuna fursa pia kuna makanjanja, ukichukulia kila jambo ktk negativity way na kweli utapigwa na hao makanjanja.
Mifano iko mingi humu, tusichoke kujifunza mambo mapya
 
Habari za Sasa hivi hope everyone is fine,
Bhana eeh siku moja, nilikuwa naongea na rafiki yangu wa muda mrefu, Rasi. Nilijua kuwa alikuwa ameanza kufanya kazi online, lakini sikuwahi kuelewa vizuri ni kazi gani hasa alikuwa anafanya. Tulikuwa tunakutana mara chache, lakini kila tukikutana, maisha yake yalikuwa yanabadilika kwa kasi sana.

Nilianza kushangaa baada ya kuona mabadiliko yake—kutoka kwa kuvaa kawaida hadi kuvaa mavazi ya kifahari, kutoka kwa kutumia simu ya kawaida hadi kuwa na flagship ya iPhone mpya kila mwaka.

Siku moja, nilimkazia macho na kumwambia, “Rasi eeh, sikuelewi kabisa. Juzi tu tulikuwa tunahangaika wote kutafuta hela, leo hii maisha yako ni kama ya mtu aliyeshinda jackpot. Nifungukie basi, unafanya nini?”

Alitabasamu, kisha akasema kwa sauti ya utulivu, “Bro, ni cryptocurrency. Hapa ndipo pesa ipo.”

Nilishtuka kidogo. Nilishasikia kuhusu crypto mara nyingi, lakini sikuwahi kuichukulia kwa uzito. “Basi nifundishe nami nianze?” nilimuuliza kwa hamu.

Alitingisha kichwa na kunitazama kwa macho makali. “Hapana bro, hii mishe si ya kila mtu. Ukiingia bila kuelewa, unaweza kupoteza kila kitu.”

Nilimsihi, nikamwambia niko tayari kujifunza, lakini bado hakutaka kunifundisha. Nilijaribu kumuuliza jamaa zetu wa karibu kama wanajua anachofanya hasa, lakini hakuna aliyekuwa na majibu kamili.

Ndipo nikajua kuwa si kila mtu atakusaidia kwenye njia ya mafanikio. Nikasema, ikiwa Rasi hataki kunifundisha, basi siwezi kukata tamaa. Nikaamua kutafuta njia mbadala.

Nikajiunga na magroup mbalimbali, nikasoma makala, na nikaanza kufuatilia mijadala ya cryptocurrency. Hatimaye, nikagundua kuwa wadau wengi wanashare maarifa kwenye forum kama Jamii Forums. Nikajiambia, kama kuna mtu anayeweza kutufundisha, basi ni wadau wa JF.

Sasa, wadau, njooni hapa mtufundishe. Crypto ni real, lakini bila mwongozo, mtu anaweza kuingia kichwa kichwa na kuumia. Kama kuna mtu mwenye maarifa ya kutosha kuhusu crypto, mining, staking, trading, na hata airdrops, tafadhali tujuzeni!

Wadau mpo?
Kuna wajinga wajinga wenye tamaa utawanasa.
 
Back
Top Bottom