Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

Status
Not open for further replies.
Duh...alafu unakuta Genious kama huyu ni bank teller tu ......hii elimu yetu hii ....
 
Amefanya kazi nzuri, sikatai ila kama scientist ni muhimu kukubali critics, yeye kameza matango pori yake tuyakubali yote? Na wewe huoni uongo hapo eti mchanga wa dunia nzima ulihesabiwa...kweli na wewe unaamini tuu! IQ yako itakuwa ndogo sana mkuu.
 

Ukitoa mawazo tufauti ni hate?? Nimekudharau ghafla
 
Amefanya kazi nzuri, sikatai ila kama scientist ni muhimu kukubali critics, yeye kameza matango pori yake tuyakubali yote? Na wewe huoni uongo hapo eti mchanga wa dunia nzima ulihesabiwa...kweli na wewe unaamini tuu! IQ yako itakuwa ndogo sana mkuu.

hayo matango pori amekusokomeza kwa nguvu?!!! kama una theory tofauti shusha hapa, si ndiyo wanazuoni wanavyotakiwa kukosoana? au wewe iq yako kubwa inakwambia kubisha bila kuwa na wazo mbadala? acha mawazo mgando kijana, yeye kaleta ilmu kwa kadri anavyoifahamu, kama wewe unaifahamu vinginevyo shusha watu wajadili, siyo unatoapovu tu na kupiga makerere kama kanga waporini!
 
duh! vilaza walikimbia hesabu lakini wanajiita namba namba ..mara ziroseventytwo mara threesixteen heheheh kaazi kwei kwei.

hesabu kitu gani wewe! Sio kila kitu unachoambiwa kiko sahihi. Chakuambia changanya na za kwako...we kwa fikra zako huko anga za mbali kuna hayo manyota mengi mtu unaandika masifuri mpaka basi. Aargh!
 
umenichekesha, hivi jua letu haliko angani?
Na dunia.iko wapi?

 
Last edited by a moderator:

Mkuu Ziroseventytwo twende taratibu naamini tutafika. Link umezisoma? Mbona kila kitu kiko wazi tu wala hamna kificho. Hata wewe pia unatumia hesabu na makadirio katika kuwasilisha kile unachokisema wala haijaanza leo na kwenye mada hii. Hapa chini ni bandiko lako mwenyewe ukisisitiza pupulation ya dunia. Sasa nikuulize lini umefanya sensa ya kuhesabu watu dunia nzima? Leta ushahidi!

 
Sayansi sio imani.

Unakumbuka enzi tunaambiwa kwenye hesabu, asaume x=y, ulikuwa unaamini au una solve?

Kila theory ina critiques/limitation, ukifuatilia hizo theory ndio utachambua mbivu na mbichi.

Ila umenifurahisha ulivyokataa, so innocently.

hesabu kitu gani wewe! Sio kila kitu unachoambiwa kiko sahihi. Chakuambia changanya na za kwako...we kwa fikra zako huko anga za mbali kuna hayo manyota mengi mtu unaandika masifuri mpaka basi. Aargh!
 
umenichekesha, hivi jua letu haliko angani?
Na dunia.iko wapi?

Aliyekuja kubadili mfumo wa elimu na kuruhusu watoto kukimbia sayansi toka form two aliharibu kila kitu, matokeo yake ndiyo haya mtu anakuja kuanza kustruggle ukubwani kuelewa misingi ya fizikia! Nakumbuka mwalimu wetu mmoja akawa anatufundisha elsticity, akawa ameshikakipande cha nondo anasema nacho ni elastic tulicheka sana, yeye akawaanatucheki tu mwalimu yule jicho nyanyaaa na hereni yake skioni na nywele zisochanwa, R.I.P Mwalimu!
 
mie mara ya kwanza kusikia galaxy, milky way, light year, universe ni fomu wani, nashangaa nini kimetokea. Au mhaya yule alitu overdose?

Kuna kitu hakiko sawa, japo hata kama sikuelewa in detail sana, lakini from fomu wani najua hivi vitu vipo.

 
Amefanya kazi nzuri, sikatai ila kama scientist ni muhimu kukubali critics, yeye kameza matango pori yake tuyakubali yote? Na wewe huoni uongo hapo eti mchanga wa dunia nzima ulihesabiwa...kweli na wewe unaamini tuu! IQ yako itakuwa ndogo sana mkuu.

Ndugu umeelekezwa huko nyuma ukiwa una mawazo tofauti toa hoja zenye mashiko...wewe unaishia kubwabwaja tu...hata Hufanyi reviews kidogo tu hata kwenye Google angalau ujipatie Ufahamu kidogo..

Unachoshangaa ni nini Mchanga kuhesabiwa?? Mbona Dunia Imepimwa Uzito na Unajulikana? Wewe Upeo wako kwenye Sayansi ni mdogo sana..

Najaribu kutafuta hata post moja uliyoshuka nondo za kuonyesha Matango Pori ya Mtoa mada Sioni..naona blahblah tu...Piga kimya kama huna maswali yenye Mantiki..
 
mie mara ya kwanza kusikia galaxy, milky way, light year, universe ni fomu wani, nashangaa nini kimetokea. Au mhaya yule alitu overdose?

Kuna kitu hakiko sawa, japo hata kama sikuelewa in detail sana, lakini from fomu wani najua hivi vitu vipo.

vilikuwapo kidato cha kwanza mkuu, nadhani ilikuwa kwenye somo la jiografia, sasa hivi vijana sijui hata wanasoma nini! Nakumbuka mzee wangu tulipenda kukaa nje anatuonesha nyota, alitufundisha namna gani unawezakutofautisha nyota, sayari, vimondo nk kwa kutizama tu kwa macho, milky way alikuwa akiita kiluga "Ibhalabhala Lya Mabhele", siku hizi hata wazazi hawana muda huo!
 

aah kaka! Salama lakini? Long tym sana mkuu.
 
Atakuja anahema kwa ukali huyo, hapendi kabisa ubishe anachoandika

Mbona haya mambo unayoandika ni ya kawaida sana ila wewe unatulazimisha tuone ni mambo makuuuuubwa!!

Amefanya kazi nzuri, sikatai ila kama scientist ni muhimu kukubali critics, yeye kameza matango pori yake tuyakubali yote? Na wewe huoni uongo hapo eti mchanga wa dunia nzima ulihesabiwa...kweli na wewe unaamini tuu! IQ yako itakuwa ndogo sana mkuu.

1. "Atakuja, hapendi,"
2. "unayoandika," "unatulazimisha,"
3. "Amefanya kazi nzuri, kameza matango pori"

kisungu, naangalia bado sioni chochote cha msingi unachojaribu kuwasilisha. Where is your critics? I could only see character assassination. πŸ™‚

Kwa calculation ya kadirio la mchanga wote wa beaches za dunia nzima mbona iko straight forward kabisa:

iangalie vizuri




Source:http://www.hawaii.edu/suremath/jsand.html
.
 

hahaha mkuu unazidi kumuingiza kichakani yule mbishi pori.nina hakika kwa yaliyomo ktk post hii,kwake ni ★★ tu.lol...this sh*it is too big for him.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…